Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Dar es Salaam kilo moja ya mchele wanashiba watu wanne, Mikoani kilo moja mtu mmoja tatizo liko wapi?

Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu,cross multiplication HiI Imekaaje...
Hiyo inategemea na hali ya hewa pia

Dar kuna joto kwahy metabolic activities zipo very slow ili kupunguza heat production within the body ndo maana kiasi cha chakula kuwa oxidized ili kuzalisha nguvu na joto kinakuwa kidogo

Lakini kwenye mikoa yenye kabard kwa mfan mbeya,iringa nk

Kukiwa na baridi, mwili unahitaji kuzalisha joto kwahy metabolic activities zitakuwa faster na hivo chakula kitahitajika kwa kiwango kikubwa ili kuzalisha nguvu na joto
 
Semeni ukweli ni kwamba Dar kuna njaa sana kila kitu kinaenda kwa bajeti na uchoyo uchoyo. Sisi huku mkoa piga dusko la uwezo wako tembea sio dar unapakua mwingi familia nzima wanakutolea macho😀😀

Nilienda kwa ndugu zangu fulani back years nilikua nakula mtaani kisha nikirudi napakua kidoogo ili kuendana na beat.

Kilo moja watu 8? What a shame
 
Dar ubwabwa una kaangwa, unakuwa shata shata, mchele kilo moja nazi 5, mafuta robo lazima mlaji umkinai.. Ndy maana kilo moja watu 4, na kiporo kinabaki...

Back tu mikoani, ubwabwa unachemshwa kama kande, ndy maana kilo moja watu 2 na kiporo kinabaki kidogo sana..
 
Back
Top Bottom