Hiyo inategemea na hali ya hewa piaWale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu,cross multiplication HiI Imekaaje...
😂😂 Acha dharau.Dar ubwabwa una kaangwa, unakuwa shata shata, mchele kilo moja nazi 5, mafuta robo lazima mlaji umkinai.. Ndy maana kilo moja watu 4, na kiporo kinabaki...
Back tu mikoani, ubwabwa unachemshwa kama kande, ndy maana kilo moja watu 2 na kiporo kinabaki kidogo sana..
Mbn ww unapiga KILO pekeako 🙆🙆🙌Dar ubwabwa una kaangwa, unakuwa shata shata, mchele kilo moja nazi 5, mafuta robo lazima mlaji umkinai.. Ndy maana kilo moja watu 4, na kiporo kinabaki...
Back tu mikoani, ubwabwa unachemshwa kama kande, ndy maana kilo moja watu 2 na kiporo kinabaki kidogo sana..
Sasa dharau kweli ubwabwa zimeingiaje Tajiri😂😂 Acha dharau.
Ubwabwa wa mikoani huku kwetu, namaliza kwa siku nzima kilo napiga yoteeee😂😂😂Mbn ww unapiga KILO pekeako 🙆🙆🙌
Khaaaa inatakiwa ukaangaliwe hospital hilo tumbo au godown 😂😂Ubwabwa wa mikoani huku kwetu, namaliza kwa siku nzima kilo napiga yoteeee😂😂😂
Tusaidie akina sisi kwa kiswahili Kishimbe wa Kishimbe... UPCOUNTRY we have materialists while in DAR we have spiritualists!
😅
Kawaidaaaa sanaKhaaaa inatakiwa ukaangaliwe hospital hilo tumbo au godown 😂😂
🙄🙄🙄Ushahidi tafadhari? Unajaribu Kusema washamba ndio wana_____😱😱Dar hakuna mashamba!!
mmmh Kazi kwelikweliKawaidaaaa sana
Au kuna magodowns matumboni labdaWa mkoa tumboni wana MIFUKO YA RAMBO.