Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

Kla mtu na shida zake wapambane na shida zao wamkumbuke na Jiwe kabsa mda wa kuoneana huruma ushapita
Wafanyabiashara wamalia na kulalamika sana ila hawakuonekana wala kuskiliza habar ilikua wamachinga ambao hawachangii pato lolote lwa taifa Tukawaacha wafanyabiasha wanaolipa makodi makubwa makubwa kwa taifa na wameajiri wanyonge kibao
 
Akili za kinyumbu hizi, aliyekwambia vibanda vilivyoungua ni vya wanna CCM tu ni mbowe? Hata vya nyumbu, ACT, na watanzania vimeungua
Wakati mwingine tumia akili ya kwako kufikiria.
Wewe ndiye huna akili ya kufikiria.Hao unaodai kuwa ni nyumbu,MATAGA,chawa wa Samia,ACT na hao unaowaita kuwa ni Watanzania wema akina wewe hapo na kadhalika wote hao wanadeserve walichokipata kwa kuwa walikuwa wanashirikiana na samaki waliooza.

Walikuwa na wajibu wa kubadilisha samaki hao waliooza kuwa samaki safi ila hawakufanya hivyo.Kwa hiyo na wao watulie sindano iingie vizuri.
 
Tuliolia kipindi cha mwendazake sasa ni wakati wa kucheka tu.

Tunataka mamalishe, machinga, wakulima & co wateseke kabisa maana ndiyo kubwa na hao ndiyo waliompa jeuri mwendazake.

Yako wapi sasa tuliwaambia wakashupaza shingo zao, acha sasa zivunjike.
No one knows tomorrow, weka aiba ya maneno na wewe...
 
Back
Top Bottom