Dar es Salaam: Machinga wa Karume waandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wasema hawana imani na Viongozi. Mabomu ya machozi yarindima

Hoja za wadau mabli mbali zimeanza kupata mashiko sasa, Bujibuji Simba Nyanaume tia neno hapa.
Huenda tukio limefanywa ili wawapange wamachinga. Maana huyu anauza mboga hapa, pembeni anauza mafuta ya taa, kulia anauza viatu.

Sasa wanataka wa mboga wakae kwao, viatu kwao. Pia wanataka pia kutengeneza barabara ili hata moto ukitokea, gari iweze kwenda hadi ndani kabisa kudhibiti majanga
 
Kimsingi hio ilikuwa ni mbinu ya kuwahamisha wamachinga mjini ili hayo maeneo wapewe wenye hela, kwahiyo mbinu nzuri ya kuwatoa bila shida bdo hiyo kuwachomea vitu vyao, kwakua moto utatafasirika kama janga la kijamii.

Ile issue ya Kariakoo mpaka Sasa serikali imekaa kimya, hâta hii tegemeeni hivyo. Huyu mama yenu haeshimiki.
 
Magufuli aliwatendea haki Watanzania walio wengi na waliofanya kazi halali. Ulitegemea wampinge alipowashughulikia mafisadi kama wewe?
 
kabisa yani, hapo utakuta wote ni ccm na hata wanaoonekana kulaumu wanatupia lawama kwa awamu hii na kusema ingeluwa awamu iliyopita haya yasingetokea

Yani kiufupi hawajaona tatizo la kuongozwa na ccm
 
Unawapanga kwa kuwaunguzia Mali zao? Soko la karume ni la mitumba
 
Naona mabilionea mnakenua sasa, zamu ya mamalishe na machinga kukipata cha moto..dadeq!!
 
Wanadeserve wanachokipata kwa kuwa wakati CCM inapora chaguzi walikenua meno.

Watulia hivyo hivyo sindano iingie vizuri hadi watakapopata akili ya kuikataa CCM na mambo yake yote.

Nashukuru sana Mungu kuwa leo wamepelekewa askari wa kikosi cha mbwa ambao wameenda kubomoa vile vibanda vyao ambavyo walikuwa wameshaanza kuvijenga jana.
 
Amini kwamba msiba hauwi msiba mpaka ukukute, hapo hakuna hâta kiongozi mmoja anayeona wanayoyapitia hawa raia ndomaana hâta mabomu wamepigwa.
 
Piga hao wahuni kipigo cha mbwa koko. Wanataka kuichezea Dola??
 
kabisa yani, hapo utakuta wote ni ccm na hata wanaoonekana kulaumu wanatupia lawama kwa awamu hii na kusema ingeluwa awamu iliyopita haya yasingetokea

Yani kiufupi hawajaona tatizo la kuongozwa na ccm
Huenda CCM tumeichoka sana, lakini hakuna mbadala wake. Hatuna upinzani imara, ni kikundi tu cha wachumia tumbo wachache.
 
Tukisema ccm na viongozi wake ndio laana ya hii nchi..mnatuona sisi hatufai..haya pambaneni sasa..hilo eneo ndio hivyo tena..

Unadhani..kuweka mtu wizara aridhi aliwekwa kwa makosa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo hayana Vyama.

Ila tukichagua upinzani utaleta vita🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…