Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

Mesehomie

Member
Joined
Oct 25, 2023
Posts
30
Reaction score
180
Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio

Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.

Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta

Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.

Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
 
Kama hujawahi kufika coco beach mkuu basi wewe hujawahi kufika Dar.
 
Ule mji ndio Tanzania yenyewe, ni mji mkubwa nchi nzima, ukisikia mji mkuu wa kibiashara ndio huo.

Ikulu ya nchi ipo Dar, Dar ndio lango la nchi, ndio jiji kubwa kuliko majiji yote Tanzania. Kuhusu kulima, kijana hajui hata kushika mpini wa jembe au zana yoyote ya kilimo na hana hobby ya kulima kazaliwa na wazazi ambao nao hawajui kilimo ni nini ataenda kulima nini?
 
Huna hela wewe!!! Unaijua Dar??
 
Dar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.

Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora
 
Dar is overrated, ni mji ambao serikali imewekeza sana lakini bado hauna standard ya maana. Ni mji ambao watu wake wanausifia sana lakini hakuna maajabu!! Ukimuuliza mtu Dar kuna maajabu gani, utasikia we acha tu, hapa ndio Tanzania, hapa sijui nini, hakuna lolote, tuliotembea tunaona Dar kama mashenzini tu. Na ni mashenzini kweli. Ikinyesha mvua ni kubayaaa, kunanukaa🤣
Mji ambao kila kitu ni substandard, vyakula quality ya hovyo, jiji halina ata miti ya kuzugia, majengo ya kuungaunga, wanawake fake, wanaume fake, Yani mji so superficial, ndio mji ambao kusema uongo na utapeli ni sifa na utaitwa "mtoto wa mjini" , nguvu ambayo serikali imeweka hapo ingeweka pengine hakika tungekuwa mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…