Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio

Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.

Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta

Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.

Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
wewe unailinganisha dar we mwenyewe ukoapi kwanza tuanzie apo
 
Nilipo fika Stendi ya Mbagala siku imenyesha mvua,then nikaenda kwenye vyoo kukojoa......palivyo pachafu.Toka hapo nikapazereuuu sana Dasalamuu

Kwani lazima ukae Dar? Rudi mkoani
Hata bulee sikaii. Niko zangu huku Mlowo nakula hewa safiii pasipo stress...nguvu za kiume kama zotee,ningekaa Dar saivi zingenishia saivi ningeingia gharama ya Vumbi🤣🤣
 
Matembele ndo first priority yangu aisee ,kisamvu ndo sikipendi hata wakiunga na Nazi au Karanga
Kisamvu ni dawa

Soma faida za kisamvu utasikitika kwanini umekisema vibaya
 
Hata bulee sikaii. Niko zangu huku Mlowo nakula hewa safiii pasipo stress...nguvu za kiume kama zotee,ningekaa Dar saivi zingenishia saivi ningeingia gharama ya Vumbi🤣🤣
Nguvu za kiume ni hela

Hata uwe wapi, kama huna hela huwezi kuwa na nguvu za kiume
 
We unakuja Dar unafikia mbagala au manzese au unasema Dar overrated
 
Mbagala siyo Dar

Nenda masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, mbezi beach, posta, kkoo, kinyerezi, Kigamboni, mbezi ya kimara, kawe, kinondoni, mwanagati kitunda, ubungo, mwenge, Sinza, bunju
Kimara hii hii ya bonyokwa na king'ong'o au?
 
Mbagala siyo Dar

Nenda masaki, oysterbay, msasani, mikocheni, mbezi beach, posta, kkoo, kinyerezi, Kigamboni, mbezi ya kimara, kawe, kinondoni, mwanagati kitunda, ubungo, mwenge, Sinza, bunju
Kumbe mwanagati ni dar? Nilikuwa sifahamu hilo🤣
 
Dar nimehama ila napamiss ile mitumba..na vidagaa uduvi...unapika ugali unatoka hapo nje unachukua ki mboga chako fasta unakaanga na tembele lako unatia ndimu nyingiii unakulaaa
 
Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio

Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.

Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta

Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.

Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Tafuta pesa mkuu, Dar siyo pa wakuja.
Dar km huna mchongo hata chooni huendi kila kitu pesa
 
Back
Top Bottom