Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 640
- 1,141
Utoke mkoani uje ukojoe dsm?Nilipo fika Stendi ya Mbagala siku imenyesha mvua,then nikaenda kwenye vyoo kukojoa......palivyo pachafu.Toka hapo nikapazereuuu sana Dasalamuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoke mkoani uje ukojoe dsm?Nilipo fika Stendi ya Mbagala siku imenyesha mvua,then nikaenda kwenye vyoo kukojoa......palivyo pachafu.Toka hapo nikapazereuuu sana Dasalamuu!
Sasa mkuu hapo Malawi utafananishaje na dsm,Dar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
Wewe unaona Dar Kuna miundombinu gani ya barabara kuifikia hiyo Lilongwe? Sijataja Blantyre.Sasa mkuu hapo Malawi utafananishaje na dsm,
Lete maneno kwa tuhuma za jiji lako hapo juuNimefika mkuu
Kaka Dar hapa hakuna lolote kama unamichongo yako mkoani huko bora ubaki huko huko!Hizi nyuzi za kuiponda Dar zimekuwa nyingi...au ni mpango wa kutuzuia tusije Dar? Sasa kwataarifa yenu sisi wa mkoani tunakujaaaa dar , tumewagunduaa 😁😁
Hata kama Nidharau Lilongwe ulinganishe na DarDar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
Ujuaji Ukizidi ShidaDar is overrated, ni mji ambao serikali imewekeza sana lakini bado hauna standard ya maana. Ni mji ambao watu wake wanausifia sana lakini hakuna maajabu!! Ukimuuliza mtu Dar kuna maajabu gani, utasikia we acha tu, hapa ndio Tanzania, hapa sijui nini, hakuna lolote, tuliotembea tunaona Dar kama mashenzini tu. Na ni mashenzini kweli. Ikinyesha mvua ni kubayaaa, kunanukaa🤣
Mji ambao kila kitu ni substandard, vyakula quality ya hovyo, jiji halina ata miti ya kuzugia, majengo ya kuungaunga, wanawake fake, wanaume fake, Yani mji so superficial, ndio mji ambao kusema uongo na utapeli ni sifa na utaitwa "mtoto wa mjini" , nguvu ambayo serikali imeweka hapo ingeweka pengine hakika tungekuwa mbali sana.
Pole mkuu. Kumbe uliishia Mbagala ukadhani umefika Dar?Nilipo fika Stendi ya Mbagala siku imenyesha mvua,then nikaenda kwenye vyoo kukojoa......palivyo pachafu.Toka hapo nikapazereuuu sana Dasalamuu!
Sasa hii na Moshi inachekana wapi na weweDar ni Jiji Kwa kulinganisha na Mbeya,Mwanza,Dodoma na Miji ya hivyo.
Dar is overrated,hapa ni Lilongwe-Malawi angalia miundombinu Bora View attachment 2834292View attachment 2834293View attachment 2834294
kwaiyo saivi upo Mkoa gani huo ambao upo vizuri kuliko Dsm.Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneze image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
BINAFSI before sifika Dar nilidhan Dar Nzima inafanana n'a Posta, kariakoo au makumbusho Yan Watu wanaish kwenye appartements kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie dar wabak mikoani wachape Kaz na majobless konk WA dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Dar ni likijiji likubwaSasa mkuu hapo Malawi utafananishaje na dsm,
Nimekwambia nioneshe interchange kama hiyo hapo Dar unazunguka zunguka mara Moshi mara nini,nataka Dar sio MoshiSasa hii na Moshi inachekana wapi na wewe
Ukisema dar kwamba ni mji unaokuzwa basi walau useme ni mji gani unaizidi hiyo dar kwa hapa nchiniKama haijawah kufika Dar brain inatengeneze image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio
BINAFSI before sifika Dar nilidhan Dar Nzima inafanana n'a Posta, kariakoo au makumbusho Yan Watu wanaish kwenye appartements kali mixer nyumba za maana.
Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta
Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie dar wabak mikoani wachape Kaz na majobless konk WA dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.
Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Intachange ipo ila hazifanani. Kila nchi ina kipaumbele chake.Nimekwambia nioneshe interchange kama hiyo hapo Dar unazunguka zunguka mara Moshi mara nini,nataka Dar sio Moshi
Sasa Dar Kwa Lilongwe si kama dampo kubwa tuu kwani Kuna miundombinu ya Barabara kulinganisha na Lilongwe?Intachange ipo ila hazifanani. Kila nchi ina kipaumbele chake.
Sasa Lilongwe ni mji wa kulinganisha na Dar?
Hamna aibu!
SawaSasa Dar Kwa Lilongwe si kama dampo kubwa tuu kwani Kuna miundombinu ya Barabara kulinganisha na Lilongwe?
Dar hakuna interchange Kuna upuuzi