Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

Dooh last last week mmewasakama watu wa Mbea na Mbea Yao.. Leo wa daslam tumefikiwa [emoji24][emoji24].. tukatafute Chaka Gani Yallab tukajifiche
 
Bro eti una kiberiti chako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu mhuni huyo Dar jua lilivyokali kweli utaweza weka kiberiti cha mavi mfukoni hilo fukuto lake hakuna sehemu utakaa mhuni huyo jamaa
 
Kuna maeneo ukipita Dar unasema Hawa wamiliki wa haya majengo na ofsi ni watanzania kweli? Masaki, Oestabey, Mikocheni, Mbezi Beach etc.. utajiri uliowekezwa kwenye maeneo hayo ni mkubwa sana .
 
Ku survive Dar sio mchezo. Nadhani watu sio masikini kihivyoo ila tu gharama za maisha Dar huwezi linganisha na mkoani.
 
Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.

Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.

Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.

DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.

Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.

Ni hayo tu tukutane kwenye comments.

Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.

Za kichwa na mjegeje umejaa

Wadiz
Mbona hata msiba tu mpaka mnamsubiri Baba mdogo wa Dar es Salaam na siyo wa Mbinga .
Unaishi Mkoa hauna Ubalozi,hauna Airport hauna bandari hauna viwanda halafu unapiga kelele? . Yaani ufananishe Mkoa wa DSM na Mkoa gani Tz? Yaani Mtu umekuja Dar na ugonjwa wa Ngozi umeondoka ngozi Nyororo unapiga kelele? NAKUKUMBUSHA TU MATAJIRI WA HII NCHI WOTE LAZIMA WAWE NA MAKAZI DSM NA KAMA HANA UJUE HUYO SI TAJIRI MAANA UTAJIRI UPO CONNECTED NA ULAYA NA AMERIKA .
 
Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.

Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.

Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.

DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.

Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.

Ni hayo tu tukutane kwenye comments.

Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.

Za kichwa na mjegeje umejaa

Wadiz
Umesahau kuongeza na karibu kila mtu ni mwizi.
 
Back
Top Bottom