ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hapana supply ni kubwa kuliko demand na competition ni very highDar kwa biashara ni mji mzuri sana.
Dar huwez kukosa kazi ukiwa na ujuzi labda kama umezubaa.
Wanasemaga, Kazi na dawa....Dar kuna viwanja wewe, na vimechangamka ileile...Elements, Samaki Samaki, Kitambaa cheupe, unataka kusema nn ww??
Dar kuna watoto wewe wa kila namna.
Nimezaliwa hapahapa na nitambana hapahapa, nitahamia mkoani nikipata dili la maana, hata nikitaka kulima ntakuja huko mkoani kulima nikimaliza ntarudi Dar.
Chezea Dar ww.
Ukiangalia maskini wa Dar na WA Mkoani aisee unawahirumia maana maskini wa mkoani ana kwake Sasa maskini wa Dar na like joto duu wanaoteseka sana.Umeongea ukweli mtupu. Dar kuna masikini na hohehahe na kina pangupakavu
Na washamba wapo wengi sana Dar ,wamejificha kwenye kivuli cha mji mashuhuriAcha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Sasa shida inayopelekea hao maskini wa kutosha ni ulimbikeni wa kudhani maskini anaweza toboa huko Jijini.Lkn hii tabia ipo karibu miji yote mikubwa duniani. Sehemu yenye matajiri wengi ina masikini wengi pia wa ajabu
Daslam shuleAcha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Dar es salaam is slowly becoming a dystopia. Na ni kweli watu wengi wanaishi nje ya malengo au kwa kutegemea kazi/shughuli zao. Inawezekana kabisa ingetokea lockdown kipindi cha COVID-19 tungeona uhalisia wa ugumu wa maisha ya DSMAcha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Ukweli mtupu.Dar ndio sehemu pekee mtu anakuja kwa nauli ya kupewa na anaishi. Uko Dodoma kwenu nani aje vijijini Godegode, Kibakwe au Chololo bila connection na atoboe?
Dar mtu anakuja analala kwenye maboksi anaweka juhudi anapiga hatua kidogo kidogo. Mtu anaamka asubuhi hajui kazi ataipata wapi na atafanya nini ila ana uhakika wa kazi. Dar kila siku ni msimu, hakuna bidhaa utakosa hata iwe bei ghali. Nachingwea unapata maembe mwaka mzima? Sasa mtengeneza juisi Nachingwea kama hakuna msimu huwa anafanya nini vibarua au.
Labda kwa wafanyakazi wa serikali. Mwalimu wa Dar anaweza zidiwa na mwalimu wa Morogoro kama wote wana akili sawa za kujiongeza. Ila fundi ujenzi au mshona viatu sahau
Mkuu, hiyo kauli ina ukweli ndani yake ila ni watu wachahe ndio wenye asilimia ya kutoboa huku wengi wao wakishatoboa kuamua kujenga na kuishi pembezoni mwa jiji. Umaskini wa dar ni umaskini wa kukosa pesa mfukoni ila umaskini wa mkoani ni kukosa maarifa, pesa na sababu zinginezo ambazo sizifahamu sana.Daslama inawachengua sana wakuja, mbona mikoani watu ndio maskini sana ? Mkuu umetumia data gani ? Daslama mtu anaweza kuja hana hata mia na akawa tajiri, na hata watu ni wengi pia so hiyo inatosha kueleza kuwa kutakuwa na kitu tu kwanini watu wakimbilie dar ? Mkuu simba inayokupeleka vip B , kwanini isiwepo kantalamba huko ? Kila mkoa unamaskini mkuu, kila mtu ashinde match zake, maskin wengi yes ila na maboss wengi, ukitoka vip b nenda hata kule kama unaenda bahari beach kashangae utaacha kutukana watu hovyo hovyo mkuu…
Juz hapa jamaangu hana shule wala nini mjanja mjanja kwenye dili la kuuza simu ndogo izi kamtengeneza mchina kapiga milion 80, wakati jamaa kama yule angekuwa yupo simiyu huko angekuwa apeche alolo, Dar kwakweli imewatoa wapambanaji wengi sana, kina harmonize , diamond, marioo bila dar wangekuwa wapi ? Watu wanakuja na vizarau vyao kisa wana vialteza wanaziendesha mkoani huko ambavyo walikuja kuvifuata Dar na wakaomba waendeshewe mpaka kwa Matias ndio wapumue leo wanaleta dharau. Kisa kufanya kazi halmashauri na wamejenga vinyumba vyamkopo basi wanataka kila mtu awaheshimu kama wanavyoheshimiwa na wanakijiji.Watu wanajifariji tuu, mimi kwa sasa sipo Dar, ila ukiongelea kwa ujumla dar ina advantage kubwa sana kwa mpambanaji.
Sijawahi kutamani kuishi darYaan takriban nusu muongo Sasa sijasafir kwenda mkoa nilienda mkoa sio Siri naona pa kishamba sanaaaa pamekaa kishamba hakuna mzunguko wa pesa kabisa ukiwa police au mwalimu wa primary Au secondary unajiona umetusua maisha...
Dar ndio DUBAI ya Tanzania NDIO Washington DC ama New York City ndio Johannesburg ndio Amsterdam ya Tanzania dar es salaam [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241] [emoji1241] maisha ni rahisi MNO kutoboa kuliko sehemu yeyote TANZANIA
1. POPULATION ina fevor kutokana na population kua Caucasoid in nature.......
2. Government makao makuu haina ubishi dar ndio Tanzania na Dar es salaam TANZANIA [emoji1241][emoji1241][emoji1241]
3. Financially [emoji383][emoji857] haina ubishi kua Tanzania dar es salaam TANZANIA NDIO mkoa pekee unao changia Kwa kiwango kikubwa Pato la taifa Kwa kukusanya mapato....
4. Fursa nyingi sana sema tu watu wengi hawajui ndio maana Kuna mapolice , ma doctor na WALIMU wengi WALIO acha ajira na wapo hapa mjini dar es salaam
5. Ni ndoto za watu wengi wa mikoani kuishi Dar es salaam TANZANIA [emoji1241][emoji1241] na mtu akifa bila kufika dar es salaam lazima ajilaumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu yapo mengi mkuu [emoji4][emoji851][emoji851][emoji851]
Dogo kuhamia chuga juzi tu unaponda kwenu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3526][emoji3526][emoji1][emoji1]Wanakuja kukusuta wakiwa wamevaa vile vipensi vyao kama vya Ali Kiba
Kaka siku ukienda kanda ya ziwa huko geita na kahama hutarudia tena kuongelea ujinga wa milon 80!Juz hapa jamaangu hana shule wala nini mjanja mjanja kwenye dili la kuuza simu ndogo izi kamtengeneza mchina kapiga milion 80, wakati jamaa kama yule angekuwa yupo simiyu huko angekuwa apeche alolo, Dar kwakweli imewatoa wapambanaji wengi sana, kina harmonize , diamond, marioo bila dar wangekuwa wapi ? Watu wanakuja na vizarau vyao kisa wana vialteza wanaziendesha mkoani huko ambavyo walikuja kuvifuata Dar na wakaomba waendeshewe mpaka kwa Matias ndio wapumue leo wanaleta dharau. Kisa kufanya kazi halmashauri na wamejenga vinyumba vyamkopo basi wanataka kila mtu awaheshimu kama wanavyoheshimiwa na wanakijiji.
Kuna bush moja nlienda nkaagiza nyama ya elfu 7 tu na zile bia zilikuwa kama sita nikaomba nishushiwe zote nideal nazo, wakasema ni za mwalimu na mwenyekiti alafu wakati nakula nyama mgambo akaja na wanakijiji wakaniweka kizuizini eti me ni nani, daah sa maisha hayo hadi lini ? Vitu vizuri vya walimu na wenyeviti 😂😂😂 kudadeki….
😀😄😀😄Vipensi vya kama Ali kibaWanakuja kukusuta wakiwa wamevaa vile vipensi vyao kama vya Ali Kiba