ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
[emoji1787][emoji1787]Dar kuna kazi kibao ww hata uchawa unalipa. Dar mtu akiwa na chumba akanunua kasofa na ka tv akamalizia na subwufa ...ahaaa huyo anajiona katoboooaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Dar kuna kazi kibao ww hata uchawa unalipa. Dar mtu akiwa na chumba akanunua kasofa na ka tv akamalizia na subwufa ...ahaaa huyo anajiona katoboooaaa
Huku dar asilimia kubwa kuna vijana wa hovyo[emoji1787][emoji1787]Dar watu wengi wanafanyia kazi kodi, chakula, usafiri! Hata mwenye mshahara mkubwa kiasi sio rahisi kuwa na saving! Na kama unapenda starehe zisizo na mpangilio ndo kabisa! Pia changamoto ya Dar ni ulimbukeni wa kuigana lifestyle na mambo kama hayo!
Ila kwa Dar ukiwa mtu wa malengo kuna fursa nyingi! Ila kuna pia kundi kubwa la wakazi wa Dar wanajua mkoani maisha hakuna, na watu wote ni mafukara. Ila ukibahatika kuja nae, hata Mwanza anaona wanaume wanavyojenga majumba wala hawana amawazo ya kuja kuishi Dar ananza kubadili mawazo!
Bundle unalo la kutosha sana, sema tu ulikua busyLeo nimechelewa kuingia sina bundle boss [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 kuna comment nimesoma nimecheka sana!!!Bundle unalo la kutosha sana, sema tu ulikua busy
Hii kazi inaanza kukushinda
Ingilia basi hata kati kati hapo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] umeanza uoga. Vichwa vilishapata moto hapo amekosekana tu mtu wa kuchochea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna comment nimesoma nimecheka sana!!!
Wewe unataka nipigwe na wanaume wa mikoani na nisutwe na wanaume wa dar nishakuona
Ha ha ha bro toughlendon_1 umesikia jamaa mbishi anavyosema wanaume wa dar eti mnatembea na kiberiti 😂😂😂😂Dar kila kitu ni fake, wanaume wao si marijali wa ukweli, wasanii wao ni fake, mademu wao ndiyo kabisaaaa, hawafai hata kuwasalimu. We umeona wapi mwanamme analilia kubinywa matako kama si Dar peke yake au sheikh anatembea na kibiriti kilichojaa mavi ya msenge wake yamechanganishwa na ubani, akihisi tu anammiss anakitoa mfukoni na kukinusa huku akisema Hewallaaaaaa!
Mikoani anaweza kuwa na saving interm of mbuzi,kondoo,ng'ombe,mahind na maharagwe!!!ambapo saa yoyote ana convert kuwa pesa tena pesa nyingi !! Mfano mtu ana emergency akipeleka ng'ombe mnada anarud na lak 6 mpaka milion mojaHata wa mikoani hatuna savings huo ndo ukweli
Unawazungumzia hawa wenye magenge!? Hebu acheni mzaha jamaniAlafu kitukingine nimezungua mikoa mingi hapa Tanzania ila town own tu mkuu, hakuna namna kila kitu kikubwa cha nchii hi kipo huku hiyo ni wazi kabisa kuwa dar kuna fursa nyingi, dar hata muuza chapati anatamba mzee lakini mikoani muuza chapati mnyonge tu mkuu, dar buyers and sellers wote kwa pamoja wapo wengi.
Dar kuna mtu anauza nyaya tu za usb hizi kwa jumla annyumba kali tu huko mbez na maisha mazuri tu, watoto wanaenda choo na nini, ila mkoani asingeweze kufanya ivyo….
Usafiri na joto ni vitu vinavyonifanya nisiwe na hamu ya kurudi huko tenaKabisa mkuu,
Kwenye usafiri ni kero tupu, Watu
wana jazwa na kushindiliwa kwenye Mwendokasi kama mapanya...
Daah mwanangu yan sijui hata nsemaje 😂😂😂. Wahuni hao washavuta bangii…Ha ha ha bro toughlendon_1 umesikia jamaa mbishi anavyosema wanaume wa dar eti mnatembea na kiberiti 😂😂😂😂
Ya kweli haya?
Nyanya zinatokea mkoani inakuwaje zishindwe kumtajirisha wa mkoani zimtajirishe wa dar?Alafu kitukingine nimezungua mikoa mingi hapa Tanzania ila town own tu mkuu, hakuna namna kila kitu kikubwa cha nchii hi kipo huku hiyo ni wazi kabisa kuwa dar kuna fursa nyingi, dar hata muuza chapati anatamba mzee lakini mikoani muuza chapati mnyonge tu mkuu, dar buyers and sellers wote kwa pamoja wapo wengi.
Dar kuna mtu anauza nyaya tu za usb hizi kwa jumla annyumba kali tu huko mbez na maisha mazuri tu, watoto wanaenda choo na nini, ila mkoani asingeweze kufanya ivyo….
Dar na Kanda ya Ziwa ndio Ina idadi kubwa ya maskini kuliko hata Mikoa inayotajwa ya maskini kama Singida.Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Hakuna Cha upambanaji, umaskini wa Dar kiukweli unatisha maana vijumba na mlundikano,uchafu yaani maisha Kwa watu wengi ni horribleWatu wanajifariji tuu, mimi kwa sasa sipo Dar, ila ukiongelea kwa ujumla dar ina advantage kubwa sana kwa mpambanaji.
Tena Kwa Sasa hivi Mimi Mkoa niliko watu hawana tena shobo za kuhamia mjini maana vitu basic vyote vinapatikana huko Huko Vijijini kama umeme,maji,Barabara,Huduma za Afya,Elimu.Dar watu wengi wanafanyia kazi kodi, chakula, usafiri! Hata mwenye mshahara mkubwa kiasi sio rahisi kuwa na saving! Na kama unapenda starehe zisizo na mpangilio ndo kabisa! Pia changamoto ya Dar ni ulimbukeni wa kuigana lifestyle na mambo kama hayo!
Ila kwa Dar ukiwa mtu wa malengo kuna fursa nyingi! Ila kuna pia kundi kubwa la wakazi wa Dar wanajua mkoani maisha hakuna, na watu wote ni mafukara. Ila ukibahatika kuja nae, hata Mwanza anaona wanaume wanavyojenga majumba wala hawana amawazo ya kuja kuishi Dar ananza kubadili mawazo!
Kwa hili uko sahihi kabisaUzuri WA dsm ni kupata utelezi kirahisi .......