Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Akikujib ni Tag 🤓🤓🤓Wewe kwa kutumia iyo akili yako una saving kiasi kwenye akaunti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujib ni Tag 🤓🤓🤓Wewe kwa kutumia iyo akili yako una saving kiasi kwenye akaunti?
labda kama haujawahi kujenga. mtu anayejenga mkoani mheshimu kuliko anayejenga Dar. kwasababu samani hapo dAr zinauzwa bei ndogo sana kulinganisha na mkoani. Mungu amenisaidia nimejenga kote huko mikoani na Dar. bei ya nondo Dar ni chini sana kulinganisha na mkoani, bei ya cement, bei ya bati, ipo chini mno, ndivyo mnavyojifariji. lakini still, watu wa mikoani wanajenga. you know why? ni kwasababu spending ya mkoani ni ndogo kuliko ya Dar, ninyi hichohicho kidogo mnachokipata mnaspend sana kwenye usafiri, maji na vyakula. ndio maana unaona hata kujenga ni ngumu kwenu kwasababu pesa kuipata sio rahisi na hata ile unayoipata inaisha kizembe sana. nikupe tu mfano mmoja, mtu anayejenga nyumba Mbeya, Iringa au Dodoma, au hata singida, kigae safi, mheshimu sana, ukijua materials alizonunua ni gharama kuliko wewe ulizonunua bongo.Mikoa yenye watu wenye umasikin wa kutopea inafahamika mkuu.
Ukimuona mtu kajenga Dar mheshim Sana ,, huko mkoani hata Fala anajenga .
Usichokijua TASAF ipo busy Zaid mikoani kuliko Dar
Upo pande zipi mkuu tusogee utupe connection? Maisha ni kuinuana80% ya watu wa dar wana stress kali sana za maisha magumu ndo maana wanakunywa sana pombe zote hizo ni stress....dar ndo sehemu pekee mtu ana familia lakini anaishi kwa kuombaomba tu yaani asubuhi anaamka anaenda posta anakaa kijiweni jioni anaomba hela za kumpa mkewe!....dar ndo sehemu kundi la watu (kinondoni)linamtegemea mtu mmoja tu kuwanunulia bia mwaka mzima na kuwapa vinauli na hela za supu wakilewa!...watu hawajui kesho yao itakuwa vipi ila wanaona sifa tu kuwa wanaishi dar,wakisikia tu umetoka mkoani upo dar watakuganda uwape hela na kuwanunulia bia mpaka utaondoka bila kuaga...badilikeni sasa
hivi mambo yamebadilika majiji yameongezeka fursa zipo nyingi mikoani njooni mpige mishe mpate hela ..ukiwa ha hela dar ni karibu kutokea kokote utaenda utajenga na utakula bata time yoyote!..watu wengi tumeishi miaka mingi dar lakini tukashtuka tukaja machaka tunapiga hela na nikitaka kuja dar ni dk 0 nakula mwewe natua hapo bata ndefu na wana then nageuka zangu chunya!...shauri zenu
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Tutabishana Sana, hata hivyo nyumba hazijengwi Kwa Samanilabda kama haujawahi kujenga. mtu anayejenga mkoani mheshimu kuliko anayejenga Dar. kwasababu samani hapo dAr zinauzwa bei ndogo sana kulinganisha na mkoani. Mungu amenisaidia nimejenga kote huko mikoani na Dar. bei ya nondo Dar ni chini sana kulinganisha na mkoani, bei ya cement, bei ya bati, ipo chini mno, ndivyo mnavyojifariji. lakini still, watu wa mikoani wanajenga. you know why? ni kwasababu spending ya mkoani ni ndogo kuliko ya Dar, ninyi hichohicho kidogo mnachokipata mnaspend sana kwenye usafiri, maji na vyakula. ndio maana unaona hata kujenga ni ngumu kwenu kwasababu pesa kuipata sio rahisi na hata ile unayoipata inaisha kizembe sana. nikupe tu mfano mmoja, mtu anayejenga nyumba Mbeya, Iringa au Dodoma, au hata singida, kigae safi, mheshimu sana, ukijua materials alizonunua ni gharama kuliko wewe ulizonunua bongo.
Hiyo mikakati mbona hamuifanyi!? Kwe dar Hali ni mbaya jamani ukweli usemwe watu ni masikini Sana sanaPesa ni mikakati wengi hawana mipango na mitaji
Wewe upo kundi lipi kati ya hao uliowataja?Matajiri namba 1 had 10 Duniani wanatoka nchi tajiri.
Matajiri namba 1 had 10 nchin wanatoka Dar.
Umeelewa au bado?
Labda Kama ushauri wako Una walenga waajiriwa.
Nikujuze kitu kimoja
Wafanyabiashara waliofanikiwa zaidi nchini wapo Dar
Wasanii waliofanikiwa zaidi nchini wapo Dar
Wanamichezo waliofanikiwa zaidi nchini wapo Dar
Wanasiasa waliofanikiwa zaidi nchini wapo Dar
Nimekumbuka wimbo wa sikati tamaa rimix darasa ft Godzilla & joh makiniMikoa yenye watu wenye umasikin wa kutopea inafahamika mkuu.
Ukimuona mtu kajenga Dar mheshim Sana ,, huko mkoani hata Fala anajenga .
Usichokijua TASAF ipo busy Zaid mikoani kuliko Dar
Nitapiga mtu hapaAcha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
zinajengwa kwa nini? kwa ugali? samani za ujenzi namaanisha building materials. kosoa grammar kwasababu umeshindwa kwenye hoja. ati mtu anakuja leo anasema kujenga Dar es salaam ni nguvu kuliko mkoani, ulishawahi kujenga koani ukauziwa cement iliyoongezwa karibu alfu tano juu ya ile inayouzwa Dsm wewe? misumari, bati hati watu tunanunua Dar na kupakia kwenye malori kuleta mkoani kwasababu maajenti wao huku wanatupiga na kutuchanganyika fake. hata hujui unaongea nini.Tutabishana Sana, hata hivyo nyumba hazijengwi Kwa Samani
Mkuu dar huitaji mtaji wa pesa Mingi Kuna watu wanapiga mingo Kwa deals mbalimbali kisa tu wanawateja wengi mzigo unapewa bureeee kikubwa uaminifu mkuu 😊🤓😊😊🤓😊Pesa ni mikakati wengi hawana mipango na mitaji
Nenda naLkn hii tabia ipo karibu miji yote mikubwa duniani. Sehemu yenye matajiri wengi ina masikini wengi pia wa ajabu
Mpaka uijue hiyo mikondo. Information is powerMkuu dar huitaji mtaji wa pesa Mingi Kuna watu wanapiga mingo Kwa deals mbalimbali kisa tu wanawateja wengi mzigo unapewa bureeee kikubwa uaminifu mkuu 😊🤓😊😊🤓😊
Kabisa mkuu,
Kwenye usafiri ni kero tupu, Watu
wana jazwa na kushindiliwa kwenye Mwendokasi kama mapanya...
Yes mkuuNenda na
Mpaka uijue hiyo mikondo. Information is power
Mkuu sisi dar hatuhami 🤣🤣🤣😂😂 nyinyi endeleeni kupeperusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna siku niliamua kutembea uswahilini, nikakaa sehemu wanakaanga mihogo just kuangalia wanunuaji na maisha yao, aisee, watu wananunua mihogo nadhani akila hiyo hadi usiku tena. hana milo mitatu. Dar es salaam watu wachache wana milo mitatu (breakfast, lunch na dinner). mikoani kama hauna milo mitatu umeamua wewe kwa uvivu wako tu, ina inawezekana. hebu nambie, mfano mtu anayeishi hata nzega, au kahama au hata mwanza tu, kwa furaha atalinganishwa na mtu wa dar?
Nimeandika tu hivyo nami huwa napenda kupaita daslama ulitaka niseme Dar au Dar es salaam mkuu ? Ila nasemaje me huku siondoki we sema yoote ila hakuna kona utanidanganya hapa mjini….Daslama!!?! we sio wa dar ww😂😂😂, Hamna mwenyeji wa dar au darslam akapaita daslama sijawahi sikia we kama sio wa njombe itakuwa katavi
Kama ulivyosema mkuu me dar siondoki , dar ndio pamenipa kazi, dar pamenipa maisha siwez enda popote aisee…Mkuu sisi dar hatuhami 🤣🤣🤣😂😂 nyinyi endeleeni kupeperusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huko mikoani
Yan mfano Mbeya ukimpa mwabamke 30 anaona kama umemlipa mahahara wa mwezi ila daslama ni tatizo manHata mzunguko wa pesa ni mkubwa