Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True man yan daaahBora umesema ukweli,jiji lina ramani nyingi sana za kutokea na za kuingilia
Kwani burooo uko pande ipi mbona unavimba sana?Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wanastress, maisha duni ndiomana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Dar watu wengi wanafanyia kazi kodi, chakula, usafiri! Hata mwenye mshahara mkubwa kiasi sio rahisi kuwa na saving! Na kama unapenda starehe zisizo na mpangilio ndo kabisa! Pia changamoto ya Dar ni ulimbukeni wa kuigana lifestyle na mambo kama hayo![emoji1787][emoji1787]Dar kuna kazi kibao ww hata uchawa unalipa dar... Na mtu akiwa na chumba akanunua kasofa na ka tv akamalicmzia na subwufa ...ahaaa huyo anajiona katoboooaaa
Dar ukiwa na uwakika wa kidebe cha unga tu dem ana hamia kwako bila kumuomba ila sio huku mikoani huwezi pata dem kisa msosi sababu misosi imezagaa tuAcha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wanastress, maisha duni ndiomana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Kaka nijuavyo mimi kwa Dar wakuja ndo wana maisha mfano Wachaga, Wakinga, Waha, Wasukuma, Wahaya ambao sio wenyeji wa mkoa huo! Au wewe unakaa mtaa gani hapa Dar?Daslama inawachengua sana wakuja, mbona mikoani watu ndio maskini sana ? Mkuu umetumia data gani ? Daslama mtu anaweza kuja hana hata mia na akawa tajiri, na hata watu ni wengi pia so hiyo inatosha kueleza kuwa kutakuwa na kitu tu kwanini watu wakimbilie dar ? Mkuu simba inayokupeleka vip B , kwanini isiwepo kantalamba huko ? Kila mkoa unamaskini mkuu, kila mtu ashinde match zake, maskin wengi yes ila na maboss wengi, ukitoka vip b nenda hata kule kama unaenda bahari beach kashangae utaacha kutukana watu hovyo hovyo mkuu…
Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wanastress, maisha duni ndiomana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Dar ni mkoa ambao upo unlimited masikini wapo wengi na matqjiri ni wengi ambao ni vijana kuna mahali chips zinauzwa 1000 ukienda sehemu nyingine 7000Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wanastress, maisha duni ndiomana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.
Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.
Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.
DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.
Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Ni hayo tu tukutane kwenye comments.
Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.
Za kichwa na mjegeje umejaa
Wadiz
Watu wa mkoa wanakukimbiza pakubwa tu! Ingia Njombe,Kahama,Arusha au Mwanza ukaone gepu walilolkupiga!Watu wa Mkoa bhana...
Unataka kuzungumzia nini?Watu wa mkoa wanakukimbiza pakubwa tu! Ingia Njombe,Kahama,Arusha au Mwanza ukaone gepu walilolkupiga!
Wewe acha dharau! Maana uanaonesha kuwachukulia poa!Unataka kuzungumzia nini?
Tunafahamiana labda?
Ukiiga maisha hutokuwa na savings, hasa kwa watu wanaopenda starehe, ila sio kwamba watu hawana savings.Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.
Nimekuuliza tunafahamiana?Wewe acha dharau! Maana uanaonesha kuwachukulia poa!
[emoji16][emoji16]vile ni vipendo,hku wamechonga mzuzu ila kalio kama ya kajalaWanakuja kukusuta wakiwa wamevaa vile vipensi vyao kama vya Ali Kiba
Mikoani nimeishi, Dar nimeishi...Dar ni mkoa ambao upo unlimited masikini wapo wengi na matqjiri ni wengi ambao ni vijana kuna mahali chips zinauzwa 1000 ukienda sehemu nyingine 7000
Mikoani wananchi wengi wana uchumi unaofanana na huduma nyingi hazina utofauti wa bei
Kushobokea Dar ilikuwa zamani kaka! usidanganye watu! Kilichokuwa kinawafanya watu wapende kuhamia Dar ni kukosa huduma za msingi kwenye mikoa yao! Ila kwa upande mwingine bado Dar ndo Dubai ya Tanzania!Yaan takriban nusu muongo Sasa sijasafir kwenda mkoa nilienda mkoa sio Siri naona pa kishamba sanaaaa pamekaa kishamba hakuna mzunguko wa pesa kabisa ukiwa police au mwalimu wa primary Au secondary unajiona umetusua maisha...
Dar ndio DUBAI ya Tanzania NDIO Washington DC ama New York City ndio Johannesburg ndio Amsterdam ya Tanzania dar es salaam 😂😂😂😂🤣🤣🤣TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 maisha ni rahisi MNO kutoboa kuliko sehemu yeyote TANZANIA
1. POPULATION ina fevor kutokana na population kua Caucasoid in nature.......
2. Government makao makuu haina ubishi dar ndio Tanzania na Dar es salaam TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
3. Financially 💰🤑 haina ubishi kua Tanzania dar es salaam TANZANIA NDIO mkoa pekee unao changia Kwa kiwango kikubwa Pato la taifa Kwa kukusanya mapato....
4. Fursa nyingi sana sema tu watu wengi hawajui ndio maana Kuna mapolice , ma doctor na WALIMU wengi WALIO acha ajira na wapo hapa mjini dar es salaam
5. Ni ndoto za watu wengi wa mikoani kuishi Dar es salaam TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 na mtu akifa bila kufika dar es salaam lazima ajilaumu 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Mkuu yapo mengi mkuu 😊🤓🤓🤓
Alooo, kwa kweli mie sijui wanapapendea nini kutwa watu kukimbia kimbia kama wehu waiiiiiKabisa mkuu,
Kwenye usafiri ni kero tupu, Watu
wana jazwa na kushindiliwa kwenye Mwendokasi kama mapanya...