Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

Dar es Salaam ni mkoa uliojaa masikini wengi wanaojificha kwenye kivuli cha miundombinu tu

Kaka nijuavyo mimi kwa Dar wakuja ndo wana maisha mfano Wachaga, Wakinga, Waha, Wasukuma, Wahaya ambao sio wenyeji wa mkoa huo! Au wewe unakaa mtaa gani hapa Dar?

Mikoani watu wanafanya shughuli nyingi tu kama za kilimo, utalii, ufugaji, uchimbaji madini, halafu wewe unasema watu hawatoboi!

Miji kama Mbeya, Arusha, Dodoma au Mwanza isingekuwa inakua na kuimarika kama watu wasingekuwa wanafanikiwa kimaisha katika miji hiyo!
Sijasema hawatoboi mkuu nachosema tuache chuki za waz na dar mkuu, dar kuna watu wanamizigo sana na kuna maskini sana pia wote wapo kwa wingi, alafu hata population ni kubwa mzee huwez fananisha na mikoani.
 
Kaka nijuavyo mimi kwa Dar wakuja ndo wana maisha mfano Wachaga, Wakinga, Waha, Wasukuma, Wahaya ambao sio wenyeji wa mkoa huo! Au wewe unakaa mtaa gani hapa Dar?

Mikoani watu wanafanya shughuli nyingi tu kama za kilimo, utalii, ufugaji, uchimbaji madini, halafu wewe unasema watu hawatoboi!

Miji kama Mbeya, Arusha, Dodoma au Mwanza isingekuwa inakua na kuimarika kama watu wasingekuwa wanafanikiwa kimaisha katika miji hiyo!
Alafu kitukingine nimezungua mikoa mingi hapa Tanzania ila town own tu mkuu, hakuna namna kila kitu kikubwa cha nchii hi kipo huku hiyo ni wazi kabisa kuwa dar kuna fursa nyingi, dar hata muuza chapati anatamba mzee lakini mikoani muuza chapati mnyonge tu mkuu, dar buyers and sellers wote kwa pamoja wapo wengi.

Dar kuna mtu anauza nyaya tu za usb hizi kwa jumla annyumba kali tu huko mbez na maisha mazuri tu, watoto wanaenda choo na nini, ila mkoani asingeweze kufanya ivyo….
 
Mkuu sisi dar hatuhami 🤣🤣🤣😂😂 nyinyi endeleeni kupeperusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huko mikoani
Waha wanakujaga dar kuuza matai ila baada ya muda utashangaa wanamaduka kariakoo, kigoma wangeweza iyo ? Hapana me kuondoka town naona kama io kweli.
 
Alafu nisisitize kwa vijana wahangaikaji, kama unapata hela ya ziada tafuta hata land Dar ununue, hakuna sehemu land inapanda bei kama uyoga kama Dar.

Wale wazazi waliowah kariakoo enzi hizo vijana wao ndio wanatamba saivi hapa mjini, sisemi huko ulipo usijenge wala kununua kiwanja hapana nasisitiza kuwa na kipande cha ardhi huku ni very important for future use, yan ni kama tu uwe na pent house NYC.

Endeleeni kukomaza vichwa na ubish wenu wakati dar ndio gateway ya TANZANIA
 
Acha ukweli usemwe DSM ni mkoa wa kimaskini sana, kelele kibao lakini uhalisia ground maisha ni mabovu sana DSM, watu wana stress, maisha duni ndio mana DSM ni mkoa unaongoza katika idadi ya ufukara na vifo katika ngazi ya kaya ama familia.

Matajiri wachache wanaibeba DSM, ila watu wanateseka sana.

Watu wanaoishi DSM wanateseka sana na maisha. Ukiwa mtafutaji huwezi kukaa dsm mwezi mzima wakati maisha yako mwanza, Arusha, Iringa,Mbeya, Dodoma, Kahama.

DSM endeleeni kujifariji na starehe ya pombe na umalaya nje na hapo tokeni Maghettoni.

Watu wa DSM wengi hawana savings kwenye account zao maisha yao ni kauka nikuvae.

Ni hayo tu tukutane kwenye comments.

Benjamin Mkapa Stadium tarehe 20-10-2023 ntakuwa VIP B dadeki.

Za kichwa na mjegeje umejaa

Wadiz
Dar kila kitu ni fake, wanaume wao si marijali wa ukweli, wasanii wao ni fake, mademu wao ndiyo kabisaaaa, hawafai hata kuwasalimu. We umeona wapi mwanamme analilia kubinywa matako kama si Dar peke yake au sheikh anatembea na kibiriti kilichojaa mavi ya msenge wake yamechanganishwa na ubani, akihisi tu anammiss anakitoa mfukoni na kukinusa huku akisema Hewallaaaaaa!
 
kwa mtu mmojammoja, Dar es Salaam ni mji uliojaa watu wanaotia huruma, hawana matumaini, unaona kabisa ana njaa hana uhakika wa maisha, sura zinaonyesha wazi. hivi ni kwanini?
Hizo ndio sifa za Mega cities.

Lazima mstari wa walio nacho na wasio nacho uchorwe vizuri sana.
 
Wanakuja kukusuta wakiwa wamevaa vile vipensi vyao kama vya Ali Kiba
Hahaaaaa, umewadharau sana hawa wala miguu na utumbo wa kuku kwa maji ya Kandoro. Tujamaa tumaskini kweli na wakija mikoani wanajifanya wajanja kutuletea mkate huku wanaondoka na magunia ya Mchele.

Ukitaka kulithibitisha hilo la mtoa nyuzi, safari na nenda Dar ukiwa huku wasiliana nao na waambie umefika Mbezi Magufuli uone watakavyokuzimia simu. Vipumbavu kabisa.
 
40% ajira mpya Dar na 70% TRA kodi Dar! KAMA wewe tarijri una mabasi lazima route ya dar! UTAJIRI WA Tz ni Dar sii viwanda. Mabenki na matariri wote Tz wakubwa ni Dar
 
Back
Top Bottom