Hiyo ndio kazi ya makanisa kwanza kumfanya mwanamke kuwa mbele ya mumewe na ujuaji usiokuwa na tija alipo ona watu wanamiliki maduka ya nguo akadhani walikopa kanisani kwao [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nina miaka 15 sijaingia kanisani. Huyu ni muumini, mtoa fungu la kumi kwa uhakika. Lakini leo ataishi kama mtumwa kwa kukosa makazi, kisa mkopo wa kutoka kanisani.
Tena siyo kazi ndogo!![emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo
Mbna hatariiiii.Tena siyo kazi ndogo!![emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mfano huyo mama hakuwa na uzoefu na biashara alipo kopa hakwenda kuendeleza biashara bali alienda kuanza jambo ambalo ni baya sana kibiasharaNimeshuhudia mwaka huu mwanzoni ndugu yangu naye ilibakia ponya ponya nyumba yake iuzwe tukaingilia kati,ila hii ilikuwa ni taasisi ya kiserikali.Kifupi ni kuwa sidhani kama nyumba itarudishwa,kama kulikuwa na makubaliano waliingia na aliyakubali,tena kwa maandishi,sijui kama hiyo haki ataipata.Mikopo imewafanya watu wajiue,mikopo imesababisha baadhi ya watu kupata mapresha na na kisukari,mikopo imesababisha familia zikasambaratika na hata ndoa kuvunjika,inahitajika elimu kwanza kabla kuchukua na sio kukurupuka...
Sifa ya mkopo ni kua tu muumini wa hilo kanisa!!Afisa mikopo nae katoaje pesa wakati mtu hana biashara
Wachungaji wajanja sanaSasa shida ni nini hapa?
Amekopa na kusaini kuwa anaweka dhamana nyumba akishindwa kulipa nyumba iuzwe, sasa tatizo liko wapi?
Wanaume ndio tujifunze kumpa mke mamlaka mpaka kuchukua hati kuweka rehani kuchukua hela hali yakuwa hiyo biashara hana hata uzoefu hela zote zimeishia kutoa sadaka kanisaniwatu wengi wanaochangia hawaionei huruma hiyo kampuni iliyotoa pesa wao wanoionea huruma familia iliyouziwa nyumba tu !hivi millioni 6 kwa miaka mitatu wamepeleka rejesho moja tu?hivi watu walitakeje hapo kampuni ifanyeje ?
Mama pia alikuwa muimba kwaya hela nyingine kila j 2 akitoa sadaka na kusona ndguo,mm kama ningekuwa mkiristo siku nikamkuta mke wangu anaimba kwaya hasa makanisa ya kilorokole kadi nyekunduhapo hapo walitoa kidogo wakaila nyingine wakalipia ada watoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyohiyo pesa ya mkopo
huyo yeye mwenyewe ana ganga njaa humu. Ana kazi ya kuandika namba yake katika kila uzi wa kusifia CCM akitarajia teuzi.Kuna mwashambwa humu ccm kindakibdaki amsaidie ndugu yake walegeze masharti
Lucas mwashambwa
Alafu Mara nyingi sana,unakuta watu wengi wenye access za mitaji, biashara hawaziwezi,na wale wasiokua na access za mitaji, biashara wanaziweza sema changamoto ni mtaji, mwisho wa siku wanaishia kuaajiriwa na wenye mitaji yao!!!Wajinga hao
Kama kwa Mwaka riba ni M1,basi kila Mwaka wao wengeongeza M1 yao, kwa hiyo miaka 2 riba ingekua M2 tu! Sema watu wa mikopo ni matapeli wa vikokootoo vya wizi!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Pia unaweza kuta yeye na Mume wake wote Wana sali kanisa moja, ndiyo maana Mchungaji kawapiga kupitia Mke baada kmsoma udhaifu wa Mume!!Mama pia alikuwa muimba kwaya hela nyingine kila j 2 akitoa sadaka na kusona ndguo,mm kama ningekuwa mkiristo siku nikamkuta mke wangu anaimba kwaya hasa makanisa ya kilorokole kadi nyekundu
soma viziri utaelewa sifa za kupata mkopo wa hiyo kampuniAfisa mikopo nae katoaje pesa wakati mtu hana biashara
Huyu mwenzenu anataka kuuza kituo cha watoto yatima.Tukiwaambia Riba haifai mnatuona ss washamba hlf ni kanisa na waumini wake yni ndo uone sasa jinsi wagalatia walivokua hawana huruma na waumini wao
Laiti hii ingetokea kwa Waislamu comments zingekua zishafika 1000 uko ila kwasababu nyani haoni ............ basi wacha wamalizane wenyewe
Mbona ni hesabu rahisi sana hiyo,sema watu wanajizima Data muda mwingine wakitaka yao yaeende! Lakini mwisho wa yote kila upande usisahau uwepo wa Mungu kwenye kila Jambo!!Hapo ni Kabla hawajaenda Mahakamani sio?
Wakienda Mahakamani itapigwa Hadi gharama ya kesi utapewa mkopaji.
Mbona ni hesabu rahisi sana hiyo,sema watu wanajizima Data muda mwingine wakitaka yao yaeende! Lakini mwisho wa yote kila upande usisahau uwepo wa Mungu kwenye kila Jambo!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
elewa hivi mnaingia makubaliano ya mwaka mmoja na marejesho ni kila mwezi sasa kama huleti marejesho unakua umevunja mkataba hawawezi wakakuwekea liba ileile kama hujaleta marejesho ya mwaka mzima kumbuka marejesho yako ndo yanamkopesha mtu mwingine na inazaa pia na usipoleta kwa mwezi mmoja wana faini zapia kikubwa mikopo inahitaji akili kubwa ya biasharaKama kwa Mwaka riba ni M1,basi kila Mwaka wao wengeongeza M1 yao, kwa hiyo miaka 2 riba ingekua M2 tu! Sema watu wa mikopo ni matapeli wa vikokootoo vya wizi!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wakopeshaji utawajua tu!![emoji3]elewa hivi mnaingia makubaliano ya mwaka mmoja na marejesho ni kila mwezi sasa kama huleti marejesho unakua umevunja mkataba hawawezi wakakuwekea liba ileile kama hujaleta marejesho ya mwaka mzima kumbuka marejesho yako ndo yanamkopesha mtu mwingine na inazaa pia na usipoleta kwa mwezi mmoja wana faini zapia kikubwa mikopo inahitaji akili kubwa ya biashara
Huyo mama halikuwa muimba kwaya hilo ndilo tatizo la kuweka mbele mwanamke