Hayo ni mambo yaliyotokea mwaka 1994 ningali kijana, kwa hiyo jibu ni rahisi.Dah pole sana mkuu kwa janga lililokukuta. Sasa brother huyo dem mwenyew ulikuwa ushawahi kulala nae? Na kama uliwahi kulala nae vipi kuhusu afya yako binafsi uliwahi kwenda kupima?
KWA Mungu yote yanawezekana anasema pana mtu alimtupia roho ya ushoga akiwa mtoto wa miaka 4.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ivi kumbe ni kweliii?? Nadhanigi uongo, ila pongezi kwake, ame maintain aseeeeh. Uwiiiiiih
Watu walikuwa wanajipumulia mgongoni kwake kwa roho safi πππ.Wee huyu macheni mbna km Bottom?? Afu hakujifichaa.
It seems ni gay aliyejioneshaa. Uwiiiiih
Madogo yana nafuu mkuu πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaaah
Yah hizo nazo ni gumzo mjini.Silent inn, survey bar, yenu bar, sisimizi, riverside, dagaa dagaa,corner bar
Enzi hizo pesa ipo, kuvaa gold kwao ilikuwa ni kitu cha kawaida.Bi Ashura poda imemkaa haswa, naona wamekula gold kwa kwenda mbele!!
Hahaha enzi hizo malaya alikuwa anapandisha kidogo tu kigauni chake unamaliza haja yako chap chap anaenda kuwahi kichwa kingine. So kukupa ziwa ushike au unyonye ilikuwa ni ofa kabambe kwa wateja maalumu kama hao niliokwambia hapo juu π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha sana mzee, kunyonya titi ofa
Kwa macheni kulipendwa na kupata umaarufu kwa sababu nyingi ikiwemo watu kukutana pale na kupanga mipango yao mbali mbali ya wizi, safari, uzamiaji nk.Wapenda Was**nge na Malaya Wachafu wa Bei rahisi ndio walikuwa wakijazana hapo 'Mapipa'.
'Bata' la wajanja lilikuwa 'Bills',CD.
Kwa wapenda totoz classic ilikuwa pale Jolly Club enzi zilezile.
Mwenyewe 'Macheni' alikuwa hakauki 'Bills' kipindi hichohicho hasa Usiku wa Muafrika, Baharia yule pacha wa 'Defao'.
Ok mkuu basi ni kumshukuru Mungu sana. Maana kupona kwako sio kwa ujanja wako, bali ni kwa nusura ya Mungu wako kuwa upande wako.Hayo ni mambo yaliyotokea mwaka 1994 ningali kijana, kwa hiyo jibu ni rahisi.
Duh am sorry my brother."Marehemu demu wangu, alipata ukimwi hapo"
I feel ya my dearKwa Macheni Bar Magomeni.....
Wakati ukuta....
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.....
Kidimbwi pako vizuri sana πKidimbwi.
Umekumbuka mbal wapi mkuu?Nimekumbuka mbali sana, enzi za pondamali kufa kwaja πππ
Matako barHabari zenu wana JF wenzangu.
Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.
Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.
Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.
Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.
Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.
Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.
Nyinyi au wewe unaonaje?
Karibuni tujadili.
Enzi hizo nakula kuku wa kienyeji bila kunawa pale kwa macheni. Kama ww m2 mzima lzm utanielewa tuUmekumbuka mbal wapi mkuu?
Du πππMatako bar
Yah nimekusoma vizuri tu mkuu.Enzi hizo nakula kuku wa kienyeji bila kunawa pale kwa macheni. Kama ww m2 mzima lzm utanielewa tu
Ok mkuu 2ko pa1.Yah nimekusoma vizuri tu mkuu.