Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #41
Hii ndo hiyo hiyo macheni mkuu.Iko wapi hii mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo hiyo hiyo macheni mkuu.Iko wapi hii mkuu?
Yani kidimbwi haifiki hata nusu ya macheni. Ile Bar ilikuwa ni ya aina yake aisee.Kidimbwi ya juzi tu. Kidimbwi haifikii level ya kwa macheni miaka ya 90s na 2000s mwanzoni
Mkuu unaomba ramani ya macheni au kidimbwi?Naomba ramani yake mkuu
Kahumba haiwezi na haitoweza mkuu. Macheni ilikuwa kufuru enzi hizo.Kahumba ilikufa na kufufuka lakini haiwezi kuifikia Macheni mkuu
Macheni ipo Magomeni karibu na Bondeni Hiotel mkuu. Kidimbwi sijui ilipo.Mkuu unaomba ramani ya macheni au kidimbwi?
Na Dar es Salaam nzima hakuna Baa iliyoua Watu ( Wateja ) wake kwa Kupata / Kuambukiza UKIMWI ( Dally Kimoko Guitar ) kama hii Unayoisifia Kipopoma ( Kijuha ) hapa kama ya Kwa Macheni Magomeni / Migo Migo.Habari zenu wana JF wenzangu.
Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.
Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.
Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.
Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.
Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.
Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.
Nyinyi au wewe unaonaje?
Karibuni tujadili.
Nyapu za kumwaga, huduma za chap chap, mambo ya bolingo kina papaa buengee enzi hizo unawakuta hapo.Kulikuwa na kitu gani kilochofanya iwe na mvuto kupita bar nyingine
Baadae ikawa inajazana Travertine baada ya Macheni kuanza kupoteza umaarufu..Show za mzee Yusuph ilikuwa mashoga yanajazana mitaa ile hadi kinyaaYa pale ndo palipoasisi mashoga wakubwa wa Dar. Kina marehem anti Mudy na wengineo wengi walipatikana kwa wingi pale kwa macheni.
Dah ama kweli siku hazigandi. Kwa macheni imebaki historia tu asa hivi.
Nakubali mkuu, hakika wewe ni mwenyeji mzuri wa maeneo hayo. Kabla haujafika kwa macheni hapo nyuma kama unatokea mapipa kuelekea kwa macheni (jangwani) kulikuwa na maskani fulani ya mbao walikuwa wanatengeneza vitanda, viti sturi nk. Sasa pembeni na hiyo maskani kulikuwa na gereji ya kutengeneza magari. Sasa hapo ndio nilipokuwa nafanyia kazi kabla ya kupiga hela ndefu na kutimkia bondeni kwa madiba miaka ya 2002.Magomeni mapipa karibu na bondeni hotel
Hahaha duh aisee unazali sana mkuu. Bila hivyo watu wangeondoka na tairi za gari, betri, mataa nk. Nayajua fika maeneo hayo. Ndo yalipokuwa maskani yangu enzi hizo.Nilipataga ajali yangu ya gari ya kwanza hapo mwaka 2000, halafu gari lilikuwa la bosi wangu niliazima nkauzie sura mara buuh nimegonga gari ya watu kwa nyuma ilikuwa imepark..jamaa walitumia advantage ya udogo wangu walinikunja kinoma kabla ya wahuni wa pale kuingilia na kunichomoa kwa sababu nilikuwa najulikana kidogo kwakuwa na mimi AKA yangu ilikuwa macheni pia😂
Hahaha 🤣🤣🤣 Kweli mkuu, macheni imeondoka na watu wengi sana. Tulionusurika wengi wetu tulichinja mbuzi na kufanya sherehe.Na Dar es Salaam nzima hakuna Baa iliyoua Watu ( Wateja ) wake kwa Kupata / Kuambukiza UKIMWI ( Dally Kimoko Guitar ) kama hii Unayoisifia Kipopoma ( Kijuha ) hapa kama ya Kwa Macheni Magomeni / Migo Migo.
Kidimbwi hata ukiijua haina ishu maana nyapu zenyewe za kupapasa, sio za kumwaga kama enzi ya macheni.Macheni ipo Magomeni karibu na Bondeni Hiotel mkuu. Kidimbwi sijui ilipo.
Ya mishoga iliuwa stem za watu sana enzi zile. Mtu umetulia mezani huku ukimsubiri mchumba kaenda msalani mara moja. Ghafla linakuja dume lenye midevu na kuomba likupe kampani ukija kulicheki miguuni limevaa vikuku na jino la dhahabu linakuchekea chekea tu kama chizi.Baadae ikawa inajazana Travertine baada ya Macheni kuanza kupoteza umaarufu..Show za mzee Yusuph ilikuwa mashoga yanajazana mitaa ile hadi kinyaa
Sijaedit kituKumbe Kahumba, nilijua unasema Kanumba 😂😂😂
Wee hujapata huo ukimwiii???"Marehemu demu wangu, alipata ukimwi hapo"
Mbona unatuwekea mkeka wa mechi za uholanzi mkuu, au umepotea njia?Sijaedit kituView attachment 2536379
Ndomaana na mimi kweny post namb #10 nilimuuliza kama alishaenda kupima.Wee hujapata huo ukimwiii???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hadi machoziiiiiiKasoro kubwa ya pale palikuwa na mi shoga kibao...unakwenda kula unaliona shoga linakusogelea.....mambooo mkaka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilikuwa nafanyakazi kwenye gereji iliyokuwa jirani na kwa Macheni. Basi ilikuwa kila baada ya kazi nasogea kula mambo.
Alafu sometimes kama nimelaza kiporo cha gari ya mtu asubuhi mapema nikiwahi kwenda kuitengeneza lazima nikutane na malaya waliolewa chakali na kuzimikia ndan ya magari mabovu. Kwahiyo mimi ilikuwa nikifika tu naanzisha dozi nyingine, napiga mti mpaka mtu anaomba kwenda chooni kujisaidia.