Akilihuru
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 1,512
- 2,980
Kidimbwi iko maeneo gani bro?Kidimbwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidimbwi iko maeneo gani bro?Kidimbwi
Mbezi Beach B kama unaenda kwa zena kule chiniKidimbwi iko maeneo gani bro?
Asante kwa maelekezo yako mkuu.Mbezi Beach B kama unaenda kwa zena kule chini
Kama wanamibia ambao wapo zaidi ya kilometre 3000 waliijua Bar ya macheni, basi siwezi kushangaa wewe wa hapo nanjilinji pia kuifahamu mkuu.Hiyo macheni ilikuwa maalufu mpaka kwetu nanjilinji tulikuwa tunaijua kupitia story za watu waliotokea huko njini.
Bila shaka wale waliokuwa hawafahamu ilipo kidimbwi sasa wameshafahamu kupitia comment yako.Mbezi Beach B kama unaenda kwa zena kule chini
Pole sana."Marehemu demu wangu, alipata ukimwi hapo"
Duuuuh!!!Yan ilikuwa noma mkuu.
Ooooh kumbeee,Ushoga ulikuwepo, sema ulikuwa haujasambaa sana kama miaka hii. Miaka hiyo mashoga walikuwa wanaonekana zaidi maeneo kama hayo.
Sasa miaka hii wapo kila mahali, hawajifichi tena Bar kama miaka ile.
Nawee ungeungwaa ktk chain.Pole sana.
Ningali kijana enzi hizo nilikwenda pale na demu fulani mzuri sana pamoja na mdogo wake wote walikuwa wazuri sana. Demu mwenyewe alikuwa ana biashara yake ya Insurance agency pamoja na clearing and forwarding. Tulivyokaa mezani badala ya kuconcentrate kwenye maongezi yetu yeye akawa anazunguka zunguka na mara azua ugonvi na mwanamke mwingine kama vile wanagombania bwana mpaka madogo waka akaniambia anaona aibu kwa jinsi dada yake anavyofanya. Demu akawa anatamba kuwa "...bwana mwenyewe wengine tulishachezea sana!". Nikashtuka, baada ya kinywaji nikamrudisha nyumbani kwake kule Victoria mambo yakaishia hapo. Baada ya miezi sita nikakutana na mdogo wake akaniambia kuwa demu huyo aliugua ukimwi akafaraki ghafla sana; akanipeleka kunionyesha kaburi lake pale Kinondoni Makaburini..
Nilikuwa kijana mwenye busara za kizee.Nawee ungeungwaa ktk chain.
Hapooo sawaahNilikuwa kijana mwenye busara za kizee.
[emoji3064]"Marehemu demu wangu, alipata ukimwi hapo"
Kwa Macheni palisifika sana kwa ushoga enzi zileUshoga ulikuwepo, sema ulikuwa haujasambaa sana kama miaka hii. Miaka hiyo mashoga walikuwa wanaonekana zaidi maeneo kama hayo.
Sasa miaka hii wapo kila mahali, hawajifichi tena Bar kama miaka ile.
Dah pole sana mkuu kwa janga lililokukuta. Sasa brother huyo dem mwenyew ulikuwa ushawahi kulala nae? Na kama uliwahi kulala nae vipi kuhusu afya yako binafsi uliwahi kwenda kupima?Pole sana.
Ningali kijana enzi hizo nilikwenda pale na demu fulani mzuri sana pamoja na mdogo wake wote walikuwa wazuri sana. Demu mwenyewe alikuwa ana biashara yake ya Insurance agency pamoja na clearing and forwarding. Tulivyokaa mezani badala ya kuconcentrate kwenye maongezi yetu yeye akawa anazunguka zunguka kwenye meza nyingine na mara akazua ugonvi na mwanamke mwingine kama vile wanagombania bwana mpaka mdogo wake akaniomba samahanai na kuniambia kuwa anaona aibu kwa jinsi dada yake anavyofanya. Demu akawa anatamba kuwa "...bwana mwenyewe wengine tulishachezea sana!". Nikashtuka, baada ya kinywaji nikamrudisha nyumbani kwake kule Victoria mambo yakaishia hapo. Baada ya miezi sita nikakutana na mdogo wake akaniambia kuwa demu huyo aliugua ukimwi akafariki ghafla sana; akanipeleka kunionyesha kaburi lake pale Kinondoni Makaburini..
Ndo maana nimemuuliza brother kama aliwahi na yey kwenda ku check afya yake, maana ule ugonjwa unaweza kukuacha miaka kadhaa unadunda ila siku ukija kuamka ndo mshike mshike unapoanzia.Nawee ungeungwaa ktk chain.
Na kwenyewe mshike mshike sio wa kitoto?Likewise na Padeco pale same
Yah ni kweli. Yani naweza kusema kuwa ushoga wa mabaa uliasisiwa pale kwa macheni.Kwa Macheni palisifika sana kwa ushoga enzi zile