Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #101
Aisee.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.....
Yah na maeneo ya kinondoni makaburini unasogea hadi huku karibu ba salenda bridge.Kwa Macheni na Ohio yalikuwa machimbo pendwa ya kununua malaya enzi hizo hapa Dar
Free supu, daah walitisha sanaaa..wengine tulikua wadogo mikoani huko, ila story za bar ya macheni nimesoma sana hapa JF, ilikua hatari inaonekana..Survivors wote waliokuwa wanafanikiwa kufikisha asubuhi wakiwa bado wanagida walikuwa wanapewa supu ya nguvu sana bure.
Mkuu wewe ulifuata uchafu, wenzio walifuata nyapu na mission zingine za kitown. Maana pale ndio yalikuwa maskani ya watu wengi hadi majambazi wakitaka kupanga mambo yao wanakutana pale kwa bia mbili tatu huku wakipanga yao.Kwa macheni ilikuwa mojawapo ya bar chafu ,mazingira mabovu nilishakwendaga pale siku moja tu sikutamani kwenda tena
Yah ni zile nyapu za kuokota baada ya kuzidiwa na kilevi.Ilikuwa maarufu kwa usodoma na ugomora si kingine nje ya hapo
Mkuu nakumbuka nilikuwa nimeenda kupokea mzigo kutoka Kenya ilikuwa unakuja Kwa basi ambalo kulikuwa na ofisi pale Jirani Kwa hiyo Gari ikachelewa kufika ndio nikaamua kukaa pale Kwa macheni kuisubiri.Mkuu wewe ulifuata uchafu, wenzio walifuata nyapu na mission zingine za kitown. Maana pale ndio yalikuwa maskani ya watu wengi hadi majambazi wakitaka kupanga mambo yao wanakutana pale kwa bia mbili tatu huku wakipanga yao.
Mkuu soma hapo 👇 uone watu tulivyofaidi Bar ile.Free supu, daah walitisha sanaaa..wengine tulikua wadogo mikoani huko, ila story za bar ya macheni nimesoma sana hapa JF, ilikua hatari inaonekana..
Mimi nilikuwa nafanyakazi kwenye gereji iliyokuwa jirani na kwa Macheni. Basi ilikuwa kila baada ya kazi nasogea kula mambo.
Alafu sometimes kama nimelaza kiporo cha gari ya mtu asubuhi mapema nikiwahi kwenda kuitengeneza lazima nikutane na malaya waliolewa chakali na kuzimikia ndan ya magari mabovu. Kwahiyo mimi ilikuwa nikifika tu naanzisha dozi nyingine, napiga mti mpaka mtu anaomba kwenda chooni kujisaidia.
Kweli kabisa 😂😂😂Makao makuu ya speaker wazi yaliasisiwa kwa macheni kabla ya kuhamia maeneo mengine. Ile laana hadi leo magomeni ipo kama ilivyo
Mkuu enzi hizo ulikuwa mkoa au ulikuwa mdogo sana?Siijui ila niliisikiaga pia.
Ya ni kweli kwa mazingira ya mtu wa kawaida ile sehemu ilikuwa chafu. Ila kwa wale wanaofuata kile kinachoendelea pale wao ilikuwa sawa tu.Mkuu nakumbuka nilikuwa nimeenda kupokea mzigo kutoka Kenya ilikuwa unakuja Kwa basi ambalo kulikuwa na ofisi pale Jirani Kwa hiyo Gari ikachelewa kufika ndio nikaamua kukaa pale Kwa macheni kuisubiri.
Pale Kwa macheni ulikuwa ni uchafu flani hivi nawashangaa wanaomsifia uchafu wa pale.
Tuache utani pale palikuwa pachafu kila kitu , nawashangaa wanaosifia Ile sehemu
Viatu mbona alikuwa anavaa sana mkuu au wewe unamzungumzia kijana mungine aliejifanya yey ndo macheni?Mmiliki wake, Hussein Macheni hakuwahi kuvaa viatu zaidi ya kandambili za bata
Eti survivor wengine sa Saba mtu Yuko bwiiiSurvivors wote waliokuwa wanafanikiwa kufikisha asubuhi wakiwa bado wanagida walikuwa wanapewa supu ya nguvu sana bure.
Nilikua mdogo nikawa naishi nchi jirani ila niliisikia nikiwa kulekule.Mkuu enzi hizo ulikuwa mkoa au ulikuwa mdogo sana?
Baa ya macheni ilianza kuyumba wakati serikali ilipoanza bomoa bomoa ya watu waliojenga katika hifadhi ya barabara. Bar ilikuwa nje ya hifadhi lakini maeneo ya kujidai kama vile watu kunywa, kuchoma nyama, kucheza mziki nk yalikuwa nje ambapo ndio ilipopita barabara. Kifupi lile lilikuwa eneo la nyumba tu za kawaida watu kuishi ambapo nje ndo ilikuwa barabara ya kawaida tu gari mbili tatu kupita. Sasa macheni alipofungua baa gari zikawa zinalazimika kuzunguka kupitia njia nyingine haswa mida ya usiku unakuta viti, meza na watu wametapakaa kila sehem ya barabara ile. So serikali ilipoanza upanuzi wa barabara kutokana na uhitaji wa watu ikabidi eneo zima lipitiwe. Ikawa hakuna tena sehem ya watu kujiachia kwa nafasi maana kwa ndani baa ilikuwa ndogo sana, na joto la bongo wengi walipenda kukaa nje.Nilikua mdogo nikawa naishi nchi jirani ila niliisikia nikiwa kulekule.
Vipi hiyo Bar ilikuaje ikapoteza umaarufu? Zilitokea bar maarufu zaid yake au ?
Na Huyo Hussein macheni bado yupo au na yeye aliukwaa ukimwi? Maana naskia hapo ukimwi ilikua ndo kwao