Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Mwenyekiti wa speaker wazi Tanzania miaka hio aliitwa anti Asu.
Leo ni mtumishi wa Mungu ameoa mke mzuri na ana watoto wawili wazuri wa kiume baada ya kuifunga speaker yake jumla.
Anatoa ushuhuda na anawasaidia speaker wazi waache tabia hizo wamrejee Muumba wao.
🤔
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.

Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.

Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.

Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.

Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.

Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.

Nyinyi au wewe unaonaje?

Karibuni tujadili.
Nimekunywa sana kwa Macheni, Magomeni na Kinondoni hakukua na miujiza wowote. Ni bar tu za Kiswahili
 
Umenikumbusha mbali kweli kila zama na kitabu chake. Nakumbuka Defao aliliwa tako sana mitaa hiyo back in the days na watoto wa mjini.
Watoto wote wa mjini "misheni town" walikuwa wanakutania hapo kula bata na kupanga dili zao iwe poda, ujambazi, wizi wa kalamu n.k.

Kwa madogo wa juzi nawafahamisha kwamba buku 1000/= enzi hizo ilikuwa ni hela na malaya wanakugombania. 😁
 
Umenikumbusha mbali kweli kila zama na kitabu chake. Nakumbuka Defao aliliwa tako sana mitaa hiyo back in the days na watoto wa mjini.
Watoto wote wa mjini "misheni town" walikuwa wanakutania hapo kula bata na kupanga dili zao iwe poda, ujambazi, wizi wa kalamu n.k.

Kwa madogo wa juzi nawafahamisha kwamba buku 1000/= ilikuwa ni hela na malaya wanakugombania. 😁
Hahahah, na enzi hizo...alooooh mlienjoy maisha...buku tu, je aftatu??
 
Sikuw mtu wa kipiga ulabu ila nilikuwa nakwenda pale kuangalia shoo za wacheza miziki.....pale ndo kuliasisi haya mambo ya shoo kwenye mabaa ili kuwaburudisha walevi .......kipindi hicho haikuwa tabu kiwakuta pale wasanii wengi wakitoa burudani kw malipo ya bia au kupewa demu wa kumzagamua bila malipo
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.

Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.

Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.

Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.

Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.

Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.

Nyinyi au wewe unaonaje?

Karibuni tujadili.
Niishie kusema tu kila zama na kitabu chake,
 
Baa ya macheni ilianza kuyumba wakati serikali ilipoanza bomoa bomoa ya watu waliojenga katika hifadhi ya barabara. Bar ilikuwa nje ya hifadhi lakini maeneo ya kujidai kama vile watu kunywa, kuchoma nyama, kucheza mziki nk yalikuwa nje ambapo ndio ilipopita barabara. Kifupi lile lilikuwa eneo la nyumba tu za kawaida watu kuishi ambapo nje ndo ilikuwa barabara ya kawaida tu gari mbili tatu kupita. Sasa macheni alipofungua baa gari zikawa zinalazimika kuzunguka kupitia njia nyingine haswa mida ya usiku unakuta viti, meza na watu wametapakaa kila sehem ya barabara ile. So serikali ilipoanza upanuzi wa barabara kutokana na uhitaji wa watu ikabidi eneo zima lipitiwe. Ikawa hakuna tena sehem ya watu kujiachia kwa nafasi maana kwa ndani baa ilikuwa ndogo sana, na joto la bongo wengi walipenda kukaa nje.

Kuhusu Macheni yeye ashakufa. Alikufa na presha kutokana na kutokea matatizo makubwa kati ya yeye na mkewe.

Ila kuhusu kifo hapo Mungu na ndugu ndio wanaojua zaidi, maana kuna wengine wanaeema kafa kwa presha, wengine ukimwi na wengine wanasema kisukari. So siri ya kifo chake aijuae ni Mungu mwenyewe.
Vipi familia kaiacha kwenye hali nzuri au na mali zilipuputika ? Maana kwa stori hizi ni wazi jamaa alipiga hela sana
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake.

Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi nje ya mipaka ya nchi yetu achilia mbali maeneo na mikoa mbali mbali ya Tanzania.

Mwaka 2003 wakati nipo ndani ya basi kutoka Lusaka kuelekea Harare nilikutana na mzambia fulani ambae tuliongea mengi kati ya tulioongea nilishangaa kuona jamaa aliifahamu hadi macheni Baa na alisema kwamba siku atakayofanikiwa kukanyaga Tanzania atajitahidi kufika katika Bar hiyo ili kujionea mwenyewe kwa macho yake yale yote aliyokuwa anahadithiwa na wazambia wenzake waliobahatika kukanyaga Dar na kwenda kula bata katika Bar hiyo.

Lakini pia nishakutana na watu kutoka katika nchi zingine za Congo, Burundi, Namibia na Kenya wakiizungumzia Bar hiyo kwa jinsi ilivyokuwa na mvuto kwa watu mbali mbali kutoka mataifa mbali mbali.

Sasa toka Bar hiyo ya macheni ilipoanguka sijawahi kusikia Bar zingine zenye sifa kubwa kama hiyo.

Je wewe ushawahi kuisikia nyingine yenye sifa zinazofanana na zile zile za kwa macheni? Kama ipo ni ipi? Najua kuna Bar na maeneo mengi yenye sifa na mvuto wa kiwango fulani ila sio kufikia viwango vya Bar ya Macheni.

Nyinyi au wewe unaonaje?

Karibuni tujadili.
Nimeamini Nothing Last Forever, Hata Dollar ya America Ipo Siku Itapotea.
 
Kwa Macheni ilikuwa noma sana. Lakini jina lilikuwa kubwa sana kwa sababu ya Uasherati.

Baada ya Macheni kuachana na kazi yake ya Ubaharia, akaja kufungua Bar, walijaa mashoga na Malaya wa Kila aina. Yeye mwenyewe alikuwa Shoga, alijifunzia huko kwenye Ubaharia. Walimbandua.

Kidimbwi panaizidi sana Kwa Macheni. Walau penyewe ni pasafi na Kuna nafasi ya kutosha. Ila kwa Umalaya na ushoga pamoja na umaarufu, bado sana wa kuifikia Kwa Macheni.
 
Back
Top Bottom