Dar es Salaam nzima haijawahi kutokea Baa yenye sifa na mvuto kama Kwa Macheni

Nilipataga ajali yangu ya gari ya kwanza hapo mwaka 2000, halafu gari lilikuwa la bosi wangu niliazima nkauzie sura mara buuh nimegonga gari ya watu kwa nyuma ilikuwa imepark..jamaa walitumia advantage ya udogo wangu walinikunja kinoma kabla ya wahuni wa pale kuingilia na kunichomoa kwa sababu nilikuwa najulikana kidogo kwakuwa na mimi AKA yangu ilikuwa macheni piaπŸ˜‚
 
Na Dar es Salaam nzima hakuna Baa iliyoua Watu ( Wateja ) wake kwa Kupata / Kuambukiza UKIMWI ( Dally Kimoko Guitar ) kama hii Unayoisifia Kipopoma ( Kijuha ) hapa kama ya Kwa Macheni Magomeni / Migo Migo.
 
Kulikuwa na kitu gani kilochofanya iwe na mvuto kupita bar nyingine
Nyapu za kumwaga, huduma za chap chap, mambo ya bolingo kina papaa buengee enzi hizo unawakuta hapo.

Wale wazee wa kuhemewa na kuhemea wenzao mgongoni nao hawakuwa nyuma. Nyama choma mpaka mishkaki ya bata mzinga unapata.
I mean ile sehemu ilikuwa ni ya aina yake nchini Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.
 
Ya pale ndo palipoasisi mashoga wakubwa wa Dar. Kina marehem anti Mudy na wengineo wengi walipatikana kwa wingi pale kwa macheni.

Dah ama kweli siku hazigandi. Kwa macheni imebaki historia tu asa hivi.
Baadae ikawa inajazana Travertine baada ya Macheni kuanza kupoteza umaarufu..Show za mzee Yusuph ilikuwa mashoga yanajazana mitaa ile hadi kinyaa
 
Magomeni mapipa karibu na bondeni hotel
Nakubali mkuu, hakika wewe ni mwenyeji mzuri wa maeneo hayo. Kabla haujafika kwa macheni hapo nyuma kama unatokea mapipa kuelekea kwa macheni (jangwani) kulikuwa na maskani fulani ya mbao walikuwa wanatengeneza vitanda, viti sturi nk. Sasa pembeni na hiyo maskani kulikuwa na gereji ya kutengeneza magari. Sasa hapo ndio nilipokuwa nafanyia kazi kabla ya kupiga hela ndefu na kutimkia bondeni kwa madiba miaka ya 2002.
 
Hahaha duh aisee unazali sana mkuu. Bila hivyo watu wangeondoka na tairi za gari, betri, mataa nk. Nayajua fika maeneo hayo. Ndo yalipokuwa maskani yangu enzi hizo.
 
Na Dar es Salaam nzima hakuna Baa iliyoua Watu ( Wateja ) wake kwa Kupata / Kuambukiza UKIMWI ( Dally Kimoko Guitar ) kama hii Unayoisifia Kipopoma ( Kijuha ) hapa kama ya Kwa Macheni Magomeni / Migo Migo.
Hahaha 🀣🀣🀣 Kweli mkuu, macheni imeondoka na watu wengi sana. Tulionusurika wengi wetu tulichinja mbuzi na kufanya sherehe.

Maana mshikemshike wa miaka ile ulikuwa sio wa kitoto.
 
Baadae ikawa inajazana Travertine baada ya Macheni kuanza kupoteza umaarufu..Show za mzee Yusuph ilikuwa mashoga yanajazana mitaa ile hadi kinyaa
Ya mishoga iliuwa stem za watu sana enzi zile. Mtu umetulia mezani huku ukimsubiri mchumba kaenda msalani mara moja. Ghafla linakuja dume lenye midevu na kuomba likupe kampani ukija kulicheki miguuni limevaa vikuku na jino la dhahabu linakuchekea chekea tu kama chizi.
 
Kasoro kubwa ya pale palikuwa na mi shoga kibao...unakwenda kula unaliona shoga linakusogelea.....mambooo mkaka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa hadi machoziiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…