zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww
Zomba na udini. Sasa DAR ni NENO LA KIISLAM.
It seems anything with arabic accent ni Uislam.
zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww
Tendo la ndoa si dhambi ya asili. Sijaona connection kati ya uislamu na hilo jina. Ama unataka kutuaminisha kuwa uislamu ni uarabu? Manake kama na Jerusalem nayo ina maana hiyo, nilidhani ni lugha tu?
Zomba na udini. Sasa DAR ni NENO LA KIISLAM.
It seems anything with arabic accent ni Uislam.
Hujamalizia, yeye alisomeshwa kwa mkonge na pamba. Ila ana mafuta, gesi, uranium, tanzanite, diamond, gold, coal, bandari na mengineyo lakini anashindwa kusomesha vijana chuo kikuu. Aibu sana.
Hatukushangai,kwani mtu yeyote aliyefilisika kisiasa lazima atatumbukiza udini na ukabila,ili ajikweze kisiasa.
It seems you are among those pambafu creatures!
Hivi kwa jinsi hili linchi letu lilivyo Taifa la kipolisi,kwa namna ya haki za kibinadamu zinavyovunjwa kila kukicha,unadiriki kumpa credit JK,kisa muuislam mwenzio!
Kumbuka nukuu ya moja ya hotuba za hekima sana za baba wa Taifa,aliposema,mtu aliyefilisika kisiasa,anaweza kudiriki kusema kuwa,ingawa mgombea huyu hana sifa zozote za kuwa kiongozi bora,lakini mimi nitamchagua,kwa kuwa tu tuna dini moja!
Lazima wewe kwa jinsi ulivyoiwekahii post,utakuwa mdini wa kupitiliza!!
Mod aifungue ile "Dar es Salaam" au aiunganishe na hii ktk ban?
Vp ile ya Faizafoxy? nayo je?
zomba hamna kitu kabisa.hv unawezaje kumfananisha mtu aliyeachiwa injinia 1 na madaktari 2 na huyu jamaa?jk mwenyewe
ni tunda la nyerere.walisoma kwa mkonge na pamba.huyu wa sasa hv ana kila kitu.acha upuuzi na upambe ww
Jamaa ni mliberali, maana haiezekani ktk normal circumstances mja na midevu yako kua na ID ya kike. Ngoja aje uone atavoruka kimanga/Hahaaa..zoba upoooooo...Nilidhani ni mimi peke yangu nalielewa hilo...