Dar-Es-Salaam: Obama Umedanganywa!

bwana zomba kilio chako nimekisikia... Nitalifanyia kazi!
 
Last edited by a moderator:

Katika hizo shule unazoziponda, wanaopasi kwa mwaka mmoja ni wengi kuliko waliopasi miaka yote 24 ya Nyerere.
 
Huyo ni ZOMBA Mzee wa UDINI Tanzaia,Mwalimu wake ni Mazige na Viongozi wengine wa UAMUSHO hivyo ZOMBA kaona aanzishe Topic hii ili adumishe UDINI wake na atimize athima yake ya kuoyesha kuwa DINI yake ni Nzuri kuliko zetu.
 
Na kweli. Manake nakaribia kuanza kukurupuka kama wewe na mie sipati alawansi za lumumba. Im outta here!
Tendo la ndoa linahusu nini? jifunze kusoma na kuelewa, siyo unakurupuka tu.
 
Na kweli. Manake nakaribia kuanza kukurupuka kama wewe na mie sipati alawansi za lumumba. Im outta here!

Mbowe alikuwepo kwenye dhifa Ikulu, unalijuwa hilo?
 
Huyo ni ZOMBA Mzee wa UDINI Tanzaia,Mwalimu wake ni Mazige na Viongozi wengine wa UAMUSHO hivyo ZOMBA kaona aanzishe Topic hii ili adumishe UDINI wake na atimize athima yake ya kuoyesha kuwa DINI yake ni Nzuri kuliko zetu.

"Udini" ndio nini? nna uhakika wewe ni wale waliojazwa "ubaguzi wa ujinga".
 

sio Obama amedanganywa ata wewe pia umedanganywa .Dar es salaam once called Mzizima (which means healthy town ) is untill 1862 sultan of zanzibar Sayyid Majid decided to construct in Mzizima city and given a new name Dar es salaam wich means heaven of peace ,so Zomba wich name you like most Mzizima city african name or Dar es salaam city a Arabs sultan name ?
 

Dar Es Salaam.

Hata "Tanzania" lilitungwa na Mhindi.
 
Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of black women meant disease was forthcoming.
 
Darsa hilo, si kilio, tofauti yetu, wewe umemaliza na chuo na kuwa Mkuu wa chuo, sisi tunaanza na chuo.

okay, Darsa lako nimeliona... Nitalifanyia kazi. Nipe muda... bwana zomba umeanza na chuo ukamalizia na chuo na mimi nimemalizia na chuo kwa hiyo hakuna tofauti, kwa mfano wewe umepitia Kongowe na mimi nimepitia Magogoni lakini wote tumefika Kivukoni kwa hiyo hakuna tofauti...
 
Last edited by a moderator:

kwa ajili ya watu kama wewe.sasa hivi kuna aja ya kurudisha jina asili ya jiji Dar es salaam ambalo ni MZIZIMA CITY lenye maana jiji la afya na kulitupilia mbali hili jina la kitumwa lililopewe na sultan wa zanzibar .sultan Sayyed Majid mwaka 1862
 
mkuu sijaona cha maana cha maana ulichoandikwa unaongozwa na chuki za kisiasa wala huna lolote mkuu,utabaki kulalamika na kupiga majungu.
 
Kuna wengine wanasema hivi kuhusu DSM:

"In the 19th century, Mzizima (Kiswahili for "healthy town") was a coastal fishing village on the periphery of Indian Ocean trade routes. In 1865 or 1866, Sultan Majid bin Said of Zanzibar began building a new city very close to Mzizima and named it Dar es Salaam. The name is commonly translated as "harbor/haven of peace" or "abode/home of peace", based on the Persian/Arabic bandar ("harbor") or the Arabic dar ("house"), and the Arabic es salaam ("of peace"). Dar es Salaam fell into decline after Majid's death in 1870, but was revived in 1887 when the German East Africa Company established a station there. The town's growth was facilitated by its role as the administrative and commercial centre of German East Africa and industrial expansion resulting from the construction of the Central Railway Line in the early 1900s."
 
Hivi kweli tafsiri ya neno dar es salaam inawafanya mtoleano mimacho na kuandikiana kashfa? yaani mnataka kuchoma moto kila kitu humu? lol. hebu fikirieni upya!
 

Dah! Unahitaji likizo ndefu upumzishe akili. Yawezekana una msongo mkubwa wa mawazo! Pia udini huu ukiundekeza zaidi unaweza kukuletea matatizo ya kiafya/kiakili.
 
kwa ajili ya watu kama wewe.sasa hivi kuna aja ya kurudisha jina asili ya jiji Dar es salaam ambalo ni MZIZIMA CITY lenye maana jiji la afya na kulitupilia mbali hili jina la kitumwa lililopewe na sultan wa zanzibar .sultan Sayyed Majid mwaka 1862

Historia yako ina matatizo, asili ya Jiji la Dar Es Salaam na lilipoanzia pakiitwa Majimshindo, "kati-kati ya jijiji hilo pakiitwa Kisutu. Mzizima ni kiunga cha Majimshindo na maana halisi ya Mzizima si kama upendavyo, naona inafaa tukipata wasaa tukupe darsa.
 
Dah! Unahitaji likizo ndefu upumzishe akili. Yawezekana una msongo mkubwa wa mawazo! Pia udini huu ukiundekeza zaidi unaweza kukuletea matatizo ya kiafya/kiakili.

Jee, unajuwa kuwa ukoo wa Nyerere una "matatizo ya kiafya/kiakili" ya ukoo? Kama hujui muulize Andrew Nyerere.

Jee, "udini" ndio nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…