Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Ewaaaa si unaona lilivyonogaKwahiyo unashauri mfano paitwe Twiga SGR Terminus?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaa si unaona lilivyonogaKwahiyo unashauri mfano paitwe Twiga SGR Terminus?
Napendekeza iitwe Akilihuru Terminus itapendeza sana.Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Almurad wasipewe viongozi!!..chuki dhidi ya viongozi wako inakusaidia nini!?Ndio maana nikauliza hakuna majina mengine mazuri? Yaani tumekosa ubunifu wa majina? Basi yapewe hata majina ya Wanyama
Na wale wa kunisifiasifia kinafiki nawatengua hapohapo.Miradi,Shule zatakiwa zipewe majina ya maeneo husika na sio kupachika majina ya watu.
Siku ikitokea nikawa Rais nafuta kila jina la mtu yanabaki Nyerere,
Wakati wao kina nani mkuu?watajuana wenyewe. wakati wao huu.
Eti mradi unaitwa Magufuli🙆🙆🙆🙆Hakuna majina mazuri mazuri ya kuipa miradi yetu hadi ipewe majina ya viongozi?
Vipi hizi barabara zetu zilizopewa majina ya watu tusiwajua sijui kina Sam Nujoma, Kenyata, Kwame Nkuruma nk?Miradi,Shule zatakiwa zipewe majina ya maeneo husika na sio kupachika majina ya watu.
Siku ikitokea nikawa Rais nafuta kila jina la mtu yanabaki Nyerere,
Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Haya mkuu ngoja wahusika wakipita humu huenda wakaufanyia kazi ushauri wako.Ewaaaa si unaona lilivyonoga
Hahaha sasa kila mtu akipendekeza jina lake si patakuwa hapatoshi mkuu 😂😂Napendekeza iitwe Akilihuru Terminus itapendeza sana.
Kama Dar es Salaam SGR Terminus haitoshi iitwe Ilala au Temeke SGR Terminus.Kwahiyo unashauri mfano paitwe Twiga SGR Terminus?
Mimi nafikiri ingeitwa Tanzanite Terminus station kutokana na muonekano wake ni wa Tanzanite.Majina ya viongozi kila kitu si poa, Mama Samia alitakiwa aanzishe na yeye mradi wake wa kuacha alama utakaopewa jina lake. Hii station napendekeza iitwe " Mount Kilimanjaro Central Station". Na hizo station zingine kuu za mikoa zipewe majina ya vivutio vyetu vya utalii.
Hata ikiitwa Tanzanite SGR Terminus sio mbaya kutokana na muundo au muonekano wa station yenyewe.Kwani ikiitwa Dar es salaam SGR_Terminus kuna ubaya gani?
Mimi nafikiri ingeitwa Tanzanite Terminus station kutokana na muonekano wake ni wa Tanzanite.
Afu lile daraja lingepewa jina lingine mfano hilo la mount kilimanjaro bridge nk.