Tetesi: Dar es Salaam SGR Terminus kupewa jina la Rais Samia

Tetesi: Dar es Salaam SGR Terminus kupewa jina la Rais Samia

Kwani hata hayo si mazuri mkuu? Mbona kuna barabara zetu zimepewa majina hata ya watu tusiowajua. Ukiuliza unaambiwa sijui alikuwa mpigania uhuru wa Togo, Msumbiji au sehem fulani.
basi naye mpeni barabara, hii iitwe Dar terminal inapendeza zaidi
 
Vipi hizi barabara zetu zilizopewa majina ya watu tusiwajua sijui kina Sam Nujoma, Kenyata, Kwame Nkuruma nk?
Au wao ni sahihi lkn wa kwetu sio sahihi?
Hao ni sahihi ila hawa wa sasa imekuwa kero.

Hao kina Kenyatta huwezi kuta wamepewa jina la shule, mara stendi, mara mji, mara hospital
 
Almurad wasipewe viongozi!!..chuki dhidi ya viongozi wako inakusaidia nini!?
Ndo hapo na mimi nashangaa inakuaje watu hawalalamiki barabara zetu za umma kuitwa majina ya watu tusiowajua na wasio na mchango wowote wa maana kwa nchi yetu kama vile barabara ya Moi, Kenyata road, Kwame Nkurumah nk.

Lakini kwa viongozi wetu ndo wanakimbilia kulalamika.
 
Paitwe Mtemi Isike au hata Mangi Meza au Olaigwanani au washiili ila sio hivyo.

Amalizie kwanza ujenzi halafu apewe kile kituo cha mwisho yaani kule mwisho wa Reli.
😂😂😂
 
Kama Dar es Salaam SGR Terminus haitoshi iitwe Ilala au Temeke SGR Terminus.
Ok mkuu nafikiri wahusika wakipita humu wataangalia comment na kufanyia kazi ushauri mbali mbali.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.


Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.

Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.

Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.

Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.

View attachment 2593948
What is the problem??
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.

Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.

Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.

Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.

Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.

View attachment 2593948
Ili ajengewe heshima reli ya SGR ipewe jina la SAMIA, itapendeza sana.
 
Bahati mbaya huenda ikawa white elephant project kama zilivyo nyingine nyingi chini ya serikali ya ccm.

Kwa kujenga hatuna mpinzani, usimamizi sasa, zero kabisa.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.

Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.

Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.

Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.

Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.

View attachment 2593948
Wangeita Hashim Mbita sgr terminus. Huyu mtu major hashim mbita naona hajaenziwa inavyostahili hapa tanzania.
 
Paitwe Station kama ilivyo sasa. Tuachane na huu ujinga wa kuvipa vitu vya Taifa majina ya viongozi.

Mie naona bora iitwe Mandonga.
 
Back
Top Bottom