Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #61
Ok mkuu, ngoja wahusika wapitie humu wayafanyie kazi mawazo ya wachangiaji.Nadhani panaitwa Central Railway Station.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu, ngoja wahusika wapitie humu wayafanyie kazi mawazo ya wachangiaji.Nadhani panaitwa Central Railway Station.
Vipi pakiitwa Tanzanite Terminus Station kutokana na station hiyo kujengwa kwa mfano wa madini ya Tanzanite?Paitwe Station kama ilivyo sasa. Tuachane na huu ujinga wa kuvipa vitu vya Taifa majina ya viongozi.
Mie naona bora iitwe Mandonga.
Tanzanite tayari tuna daraja.Vipi pakiitwa Tanzanite Terminus Station kutokana na station hiyo kujengwa kwa mfano wa madini ya Tanzanite?
Daraja lingebadilishiwa jina likaitwa Msasani national bridge - MNBTanzanite tayari tuna daraja.
ilikuwa wakati wao pia.Wakati wao kina nani mkuu?
Wale walioita stand ya mabasi Magufuli Terminus Bus au wale walioupa ukumbi wa mikutano Jakaya Mrisho Kikwete?
Hahaha haya mkuu kila nabii na kitabu chake 😂😂ilikuwa wakati wao pia.
Baba wa Taifa ni mmoja tu. Hakuna cha baba wa taifa wa pili, labda wa familia yako.Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Sio mbayaHabari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Kweli kabisa mkuu. Labda kwa vile wameona mwamba ashapewa stand tayari.Sio mbaya
Ila la yule mwamba kutoka chato lingependeza zaidi
Sawa nimekusoma mkuu.Baba wa Taifa ni mmoja tu. Hakuna cha baba wa taifa wa pili, labda wa familia yako.
Kivipi mkuu, mbona Nyerere bridge halijafa?Hayo majina ya viongozi ndo yanaua hiyo miradi
Nyerere bridge lipo mahali gani?Kivipi mkuu, mbona Nyerere bridge halijafa?
Nchi ya hovyo sana hii. By the way ni Africa mzima kwanza imeshamiri huu upuzi. WTFHakuna majina mazuri mazuri ya kuipa miradi yetu hadi ipewe majina ya viongozi?
...CHAWA Utawajua TU! Mshindwe na Mlegee...!Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Mtoa mada wakati unaanza kupresent mada yako ulikuwa as if hujui chochote na kwamba umepenyezwa tu na mtu wa system lakini kadiri ulivyosonga mbele umejidhihirisha kumbe we mwenyewe ni mtu wa system hiyo hiyo na umepresent kama supporter wa hilo jamboHabari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
Si wanafanya kama bahati nasibu. Kila mtu anapeleka jina lake, majina yanatiwa kwenye kitu cha kuchezeshea afu jina litakalotoka ndo hilo hilo.Hahaha sasa kila mtu akipendekeza jina lake si patakuwa hapatoshi mkuu 😂😂