Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
basi naye mpeni barabara, hii iitwe Dar terminal inapendeza zaidiKwani hata hayo si mazuri mkuu? Mbona kuna barabara zetu zimepewa majina hata ya watu tusiowajua. Ukiuliza unaambiwa sijui alikuwa mpigania uhuru wa Togo, Msumbiji au sehem fulani.
Jina gani mkuu?Jina la sasa lina shida gani?
Hata ikiitwa Tanzanite SGR Terminus sio mbaya kutokana na muundo au muonekano wa station yenyewe.
Hao ni sahihi ila hawa wa sasa imekuwa kero.Vipi hizi barabara zetu zilizopewa majina ya watu tusiwajua sijui kina Sam Nujoma, Kenyata, Kwame Nkuruma nk?
Au wao ni sahihi lkn wa kwetu sio sahihi?
Dar es Salaam SGR TerminusJina gani mkuu?
Ndo hapo na mimi nashangaa inakuaje watu hawalalamiki barabara zetu za umma kuitwa majina ya watu tusiowajua na wasio na mchango wowote wa maana kwa nchi yetu kama vile barabara ya Moi, Kenyata road, Kwame Nkurumah nk.Almurad wasipewe viongozi!!..chuki dhidi ya viongozi wako inakusaidia nini!?
😂😂😂Paitwe Mtemi Isike au hata Mangi Meza au Olaigwanani au washiili ila sio hivyo.
Amalizie kwanza ujenzi halafu apewe kile kituo cha mwisho yaani kule mwisho wa Reli.
Mwezi ujao.Ufunguzi wa hii treni ya SGR ni lini?
Ok mkuu nafikiri wahusika wakipita humu wataangalia comment na kufanyia kazi ushauri mbali mbali.Kama Dar es Salaam SGR Terminus haitoshi iitwe Ilala au Temeke SGR Terminus.
Haswaa hapa umeongea.Coco Beach Bridge inatosha.
Sio mimi mkuu, bali kuna wahusika wenyewe wanaopanga hivyo.basi naye mpeni barabara, hii iitwe Dar terminal inapendeza zaidi
What is the problem??Habari zenu wana JF wenzangu,Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
There's no any problem mkuu.What is the problem??
Ili ajengewe heshima reli ya SGR ipewe jina la SAMIA, itapendeza sana.Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948
SafiThere's no any problem mkuu.
Nadhani panaitwa Central Railway Station.Jina gani mkuu?
Wangeita Hashim Mbita sgr terminus. Huyu mtu major hashim mbita naona hajaenziwa inavyostahili hapa tanzania.Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari za train hizo zinazotumia umeme.
Mdau huyo amesema kwamba lengo kuu la kuipa Terminus hiyo kubwa, nzuri na yenye kuvutia kuliko Terminus yoyote barabarani Africa ukiondoa tu ile ya Johannesburg nchini Afrika kusini, inatokana na mchango mkubwa wa raisi huyo katika kumalizia mradi huu mkubwa na wenye manufaa kwa Taifa, uliyoachwa na mtangulizi wake ambae ni baba wa pili wa taifa hili (baada ya Nyerere) na mzalendo namba mbili (baada ya Nyerere) hayati John Pombe Magufuli.
Inasemekana Terminus hiyo itaanza kuitwa rasmi kwa jina la "Samia SGR Terminus" siku hiyo ya ufunguzi wa Terminus hiyo, na bila shaka litapokekelewa kwa mikono miwili na viongozi wote wa mkoa wa Dar es Salaam pamoja na wizara inayohusika na maswala hayo ya kitaifa.
Sisi wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla tunasubiri kulipokea suala hili kwa mikono miwili. Tunajua haters huwa hawakosekani, lkn hilo halina shida kwani kelele za mpangaji hazimzuii mwenye nyumba kulala usingizi mtamu.
Samia SGR Terminus imekamilika, tujiandae kwa ufunguzi wa safari mbalimbali.
View attachment 2593948