Dar es Salaam ya mwaka 1975 ilikuwa nzuri sana!

Dar es Salaam ya mwaka 1975 ilikuwa nzuri sana!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Screenshot_20240828-120353_X.jpg
Screenshot_20240828-120539_X.jpg
 
Tangu mkoloni aondoke Tanzania, Mtanzania anaishi varuvaru tu bila mpangilio wowote ule.

Dar es salaam ni Slum, watu wanazaliana na kuishi kama mapanya.

Hovyo hovyo, vululu-valala.
nawaza usikute south africa imeendelea sana kwasababu mandela aliamua kuwasamehe wazungu na kuendelea kuishi nao
 
Hizo picha naona palikua kawaida tu aisee juzi nilirudia movie na NERIA ile nchi gani sjui waliigiza asee kuna shot zinaonesha mji mzuri urban kabisa na barabara za njia nyingi kama ya mfugale enzi hizoo
Zimbabwe ile Rhodesia ya wazungu ambao Mugabe alitimua akawapa mapoti wake wasimamie plantations wakafeli vibaya.
 
Back
Top Bottom