Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamposa anawaibia watu hapa sasahv, kutoka kuwa kiwanda hadi eneo la utapeliTanganyika PackersView attachment 3081291ckers
Kawe haijabadilika sana sahivi kuna ng'ombe watu pale wanakamuliwa tu..Tanganyika PackersView attachment 3081291ckers
nawaza usikute south africa imeendelea sana kwasababu mandela aliamua kuwasamehe wazungu na kuendelea kuishi naoTangu mkoloni aondoke Tanzania, Mtanzania anaishi varuvaru tu bila mpangilio wowote ule.
Dar es salaam ni Slum, watu wanazaliana na kuishi kama mapanya.
Hovyo hovyo, vululu-valala.
Hakika mkoloni naye alikuwa na mema yake mengi, aliweza kutupangaTangu mkoloni aondoke Tanzania, Mtanzania anaishi varuvaru tu bila mpangilio wowote ule.
Dar es salaam ni Slum, watu wanazaliana na kuishi kama mapanya.
Hovyo hovyo, vululu-valala.
UpuuziKisutu walikuwa wanapendeza sana kabla hawajaanza kuambiwa wavae vilemba na wale jamaa zetu
Yoda
Enzi hizo hakuna UTI sugu Kwa hao madenti
Zimbabwe ile Rhodesia ya wazungu ambao Mugabe alitimua akawapa mapoti wake wasimamie plantations wakafeli vibaya.Hizo picha naona palikua kawaida tu aisee juzi nilirudia movie na NERIA ile nchi gani sjui waliigiza asee kuna shot zinaonesha mji mzuri urban kabisa na barabara za njia nyingi kama ya mfugale enzi hizoo
Kweli kabisa nime google zimbabwe 70s check picha zao walikua mbali asee ndo linganisha na sieZimbabwe ile Rhodesia ya wazungu ambao Mugabe alitimua akawapa mapoti wake wasimamie plantations wakafeli vibaya.