Dar es Salaam ya mwaka 1975 ilikuwa nzuri sana!

Dar es Salaam ya mwaka 1975 ilikuwa nzuri sana!

Watu gani hao mkuu hebu wataje hapa. Au ni siri na wewe hautaki kuwataja?
1. Freddie mercury wa Band ya Queen mwanamuziki ambaye anatajwa level moja na Michael Jackson amezaliwa Zanzibar,

2. Kuna jamaa jina Nimemsahau ila kama kumbukumbu zipo sahihi ni Katika inventor wa Commodore, moja ya Computer ya mwanzo kabisa Duniani yupo level za kina Steve Jobs na Bill gate alikuwa ni Ismailia Tanga, kasoma Usagara sekondari

Sina muda sasa hivi ntakutaftia page ya Ismailia wame document wote hawa.
 

TANU ya Nyerere waliwahi kupiga vita mawigi na vimini​

[IMG alt="bahati93"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/315/315011.jpg?1573325959[/IMG]

bahati93

JF-Expert Member​

Serikali changa ya mwalimu Julias Kambarage Nyerere ilikabiliwa na changamoto nyingi sana. Mwalimu aliwahi kuainisha mojawapo ya changamoto kuu: Ujinga, Magonjwa, na Umaskini. Hata hivyo mnamo mwaka 1975 serikali ya TANU ilikaa kujadili juu ya kile walichoona kuporomoka kwa maadili
 
Huyu mbona wanasema alikuwa wa dini ya Pasri wale Zoroastrian?
Sababu wa Iran wengi walikuwepo Znz. Hio ni dini ya Iran.

 
Maadali Gani , AU ni udini na ushamba Tu, embassy Hotel imebaki kama pagale Tu 😂.
Hilo pagala leo, enzi hizo ilikuwa 5 star 😄
Ila zamani wala usibishe boss watoto walikuwa wanaadabishwa hata na mpita njia kama akikosea
Wala ilikuwa sio udini bali nidhamu tu

Leo mtoto akifanya kosa au mabaya huthubutu kumgusa na ndio hizo dini unasema zimeshamiri haswa
Ilikuwa sio dini kabisa bali mila na desturi tu
 
Mjerumani je?
mjerumani ali invest ila kwenye miundombinu ambayo ilisaidia kutoa rasilimali Tanzania kwenda ujerumani, Majengo makali ya kijerumani utayapata kwenye mikonge, chai, kahawa etc mostly siku hizi yanaitwa Boma. ila sio hayo maghorofa ya mjini. kwanza maghorofa mengi ya mjini umri wake ni miaka 60-80 wakati ambao mjerumani alishaondoka.
 
Enzi hizo morogoro siku tatu, kigoma wiki, TV anayo nyerere, redio kwa mjumbe, ukivaa shati zuri kesi umelipata wapi, mleta uzi usidanganyike na hizo picha wala stori, tulipotoka ni hovyo kabisa walau tulipo sasa tunaishi kama wanadamu
 
Enzi hizo morogoro siku tatu, kigoma wiki, TV anayo nyerere, redio kwa mjumbe, ukivaa shati zuri kesi umelipata wapi, mleta uzi usidanganyike na hizo picha wala stori, tulipotoka ni hovyo kabisa walau tulipo sasa tunaishi kama wanadamu
Ongeza nyama
 
Back
Top Bottom