gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Haibii watu,anaibia ng'ombe wenye miguu miwiliMwamposa anawaibia watu hapa sasahv, kutoka kuwa kiwanda hadi eneo la utapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haibii watu,anaibia ng'ombe wenye miguu miwiliMwamposa anawaibia watu hapa sasahv, kutoka kuwa kiwanda hadi eneo la utapeli
Serikali ya mkapa ndiyo iliyotoa ruksa 1998,na tangu hapo vipo tu tawala zote zilizofuata, acheni udiniIla huwa unaenda na upepo wa aliyeko.
Mama akiondoka vitapotea. Vitasubiri aje tena mwenye itikadi.
Serikali ya nyerere ilipiga marufuku vimini,mgambo walitumika kutekeleza hiloMaadali Gani , AU ni udini na ushamba Tu, embassy Hotel imebaki kama pagale Tu 😂.
Best comment ever 👋🤣👍Tanganyika Packers wamebadiisha matumizi, badala ya kukamua ng'ombe wanakamua watu!
Hili nalo neno wallahHapo Walugaluga hawajafika mjini bado.
Basi Nyerere alileta udini, baada ya kushushindwa kuleta maendeleoSerikali ya nyerere ilipiga marufuku vimini,mgambo walitumika kutekeleza hilo
Kulikuwa na mabinti wapendelevu kwelikweli, wenye miguu halisi na CHADEMA ilistawi mno siku hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanganyika Packers wamebadiisha matumizi, badala ya kukamua ng'ombe wanakamua watu!
Hayo majengo yalikua ni ya wazawa wala sio wakoloni, mlaumu Nyerere aliyoyataifisha, Waingereza hawaja invest chochote cha Maana Tanzania maana wao walikuwa ni kama caretaker tu.Tangu mkoloni aondoke Tanzania, Mtanzania anaishi varuvaru tu bila mpangilio wowote ule.
Dar es salaam ni Slum, watu wanazaliana na kuishi kama mapanya.
Hovyo hovyo, vululu-valala.
Maghorofa sio maendeleo. Kama keki ya taifa ililiwa na wachache hayasaidii kitu.Kweli kabisa nime google zimbabwe 70s check picha zao walikua mbali asee ndo linganisha na sieView attachment 3081325
Hao wa vilemba ndio waliojenga huo mjiKisutu walikuwa wanapendeza sana kabla hawajaanza kuambiwa wavae vilemba na wale jamaa zetu
Yoda
Hakika mkoloni naye alikuwa na mema yake mengi, aliweza kutupanga
Mji kaujenga Mjerumani. Ndiyo maana makanisa yako posta mji ulikoanziaHao wa vilemba ndio waliojenga huo mji
Hapana Mjerumani kaukuta mji, mji umejengwa na Sultan wa Znz, Ujerumani hata hakua na Time na dar,Mji kaujenga Mjerumani. Ndiyo maana makanisa yako posta mji ulikoanzia
Yeye sultan hakukuta watu hapo Dar?Hapana Mjerumani kaukuta mji, mji umejengwa na Sultan wa Znz, Ujerumani hata hakua na Time na dar,
Mjerumani kaja Dar kakuta watu tayari. Kuna uzi humu unaelezea Historia ya kaburi pale mnara wa saa.
Kakuta watu ila kama mashamba, yeye akaona potential ya eneo akalinunua na kuanzisha mji. Na yeye ndio alitoa hilo jina Daru Al salaam iki maanisha nyumba ya amani.Yeye sultan hakukuta watu hapo Dar?
Watu gani hao mkuu hebu wataje hapa. Au ni siri na wewe hautaki kuwataja?Na sio tu kujenga mji kuna watu wakubwa wakubwa ambao wametoka maeneo hayo na kutikisa dunia kwa Ugunduzi wao na kazi zao ila hawasemwi leo sababu ya mambo yetu ya kipuuzi