T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hata shirika lao la ndege lilikuwa vizuri sana. Na walikuwepo wazungu wachache tuKweli kabisa nime google zimbabwe 70s check picha zao walikua mbali asee ndo linganisha na sieView attachment 3081325
Ila huwa unaenda na upepo wa aliyeko.Yani huu mtindo wa vilemba nowdays kila mahala
Hakika mkoloni naye alikuwa na mema yake mengi, aliweza kutupanga
Huo ni uongo, wakati wa mchongameno alikuwa anahitaji uthibitishe mali zako umezipataje na kama unavyojua matajiri wengi wa Africa huwa wanapata pesa kupitia dili za mchongo za serikali pamoja na kukwepa kodi hapo ndipo ugomvi wa mchongameno ulipokuwa.Hizo ni picha tu Tanzania ya mchongameno akiwa madarakani ilikua ni jahanam hata ukimiliki baiskeli unakamatwa kuhojiwa, Mungu amlaani mchongameno.
Sio kwelli,uchumi wa south africa Ulikuwa juu kipindi cha makaburu,baada ya mandela na wazalendo wenzake kushika nchi,uchumi umedropnawaza usikute south africa imeendelea sana kwasababu mandela aliamua kuwasamehe wazungu na kuendelea kuishi nao
Hivi Harare unaichukulis poa,lile ni jiji zuri kuliko Daslama yetuKweli kabisa nime google zimbabwe 70s check picha zao walikua mbali asee ndo linganisha na sieView attachment 3081325
Mchongameno alileta ufukara watu walivaa hadi maguniaHuo ni uongo, wakati wa mchongameno alikuwa anahitaji uthibitishe mali zako umezipataje na kama unavyojua matajiri wengi wa Africa huwa wanapata pesa kupitia dili za mchongo za serikali pamoja na kukwepa kodi hapo ndipo ugomvi wa mchongameno ulipokuwa.
Roho mbaya ni kama kilemaMchongameno alileta ufukara watu walivaa hadi magunia
Mandela alikuwa sahihi sana kuwaacha wazungu wabakie Afrika kusini.nawaza usikute south africa imeendelea sana kwasababu mandela aliamua kuwasamehe wazungu na kuendelea kuishi nao.
Aisee classmate wangu hawa.
Mawazo yako sahihi mkuu,nawaza usikute south africa imeendelea sana kwasababu mandela aliamua kuwasamehe wazungu na kuendelea kuishi nao
Maadali Gani , AU ni udini na ushamba Tu, embassy Hotel imebaki kama pagale Tu 😂.Hiyo ndio ilikuwa Dar au Tz kwa ujumla
Nakumbuka mwaka 86 nilishuka Dar nikaenda Embassy Hotel nililala siku 3
Nikiwa nimebarizi pale akaingia mdada kavaa sketi fupi na mshkaji wake
Alitimuliwa na uongozi kwa kuvaa nusu uchi
Maadili yalikiwepo sana