Dar es Salaam ya mwaka 1975 ilikuwa nzuri sana!

Hizo ni picha tu Tanzania ya mchongameno akiwa madarakani ilikua ni jahanam hata ukimiliki baiskeli unakamatwa kuhojiwa, Mungu amlaani mchongameno.
Huo ni uongo, wakati wa mchongameno alikuwa anahitaji uthibitishe mali zako umezipataje na kama unavyojua matajiri wengi wa Africa huwa wanapata pesa kupitia dili za mchongo za serikali pamoja na kukwepa kodi hapo ndipo ugomvi wa mchongameno ulipokuwa.
 
Mchongameno alileta ufukara watu walivaa hadi magunia
 
Maadali Gani , AU ni udini na ushamba Tu, embassy Hotel imebaki kama pagale Tu 😂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…