Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Huu mradi ulikuwa wa Jk sijui anazindua nini hajui hata pesa za huu mradi zimetoka wapi . mwambieni huyo kichaa leo hatutaki mipasho
Mnatapatapa sana. Mradi umeanza kujengwa 2016 na serikali inayoongozwa na jpm.jpm alikua na uwezo wa kupiga chini mipango yote ya jk lkn hana upumbavu ambao mnauonesha humu.Kama kaachana na mradi wa gesi na kaingia wa maji alishindwa nn kuachana na flyover?
 
Mimi labda sina uelewa hiyo fly over au daraja?

Fly over gani imeshindwa kutengeneza njia ya kuingia buburuni juu na kutoka buburuni kwenda njia ya kurasini kupitia juu pia yaani magari mepesi madogo yawe yanarotate juu na marori makubwa yapite chini.?
 
Mnatapatapa sana. Mradi umeanza kujengwa 2016 na serikali inayoongozwa na jpm.jpm alikua na uwezo wa kupiga chini mipango yote ya jk lkn hana upumbavu ambao mnauonesha humu.Kama kaachana na mradi wa gesi na kaingia wa maji alishindwa nn kuachana na flyover?
Tuambie kwanza contract imesainiwa mwaka gani? Kupiga chini maana yake kuvunja mkataba au una maana nyingine?
 
Makonda anamdanganya Rais huku nikiamini Rais anaujuwa ukweli.

Mimi ni mdau wa kiwalani mradi wa miundombinu unaoendelea kata mbili za kiwalani ni mradi wa DMDP na unafadhiliwa na bank ya dunia na mradi huu ulipatikana wakati wa Jakaya Kikwete na mimi mjumbe pia wa kamati hiyo ya miundombinu ya DMDP.

Ifike wakati nchi isiendeshwe kilaghai matokeo ya ulaghai itatokea utasema jambo la ukweli lakini utapuuzwa kwa sababu umezoea ubabaishaji.

Mfano TMA walituambia jana na lei ukanda wa pwani utakuwa na mvuwa kubwa itakayosababisha mafuriko lakini mpaka dakika hii Dar iko dry kabisa, wahuni kama next time watatowa tahadhari ya ukweli lakini watapuuzwa.
 
Makonda anamdanganya Rais huku nikiamini Rais anaunuwa ukweli.

Mimi ni mdau wa kiwalani mradi wa miundombinu unaoendelea kata mbili za kiwalani ni mradi wa DMDP na unafadhirwa na bank ya dunia na mradi huu ulipatikana wakati wa Jakaya Kikwete na mimi mjumbe pia wa kamati.

Ifike wakati nchi isiendeshwe kilaghai matokeo ya ulaghai itatokea utasema jambo la ukweli lakini utapuuzwa kwa sababu umezoea ubabaishaji.

Mfano TMA walituambia jana na lei ukanda wa pwani utakuwa na mvuwa kubwa itakayosababisha mafuriko lakini mpaka dakika hii Dar iko dry kabisa, wahuni kama next time watatowa tahadhari ya ukweli lakini watapuuzwa.
Hawa ni kuwaacha tu kwani siku wakifikia ukingoni watayakumbuka haya kwa aibu, na ndio maana kuna wengine hawataki ule usemi '' Kwa hisani ya watu wa Marekani'' kwasababu fix kama hizi itawawia ngumu kutuambia ule usemi pendwa '' Pesa zetu za ndani''
 
Mnatapatapa sana. Mradi umeanza kujengwa 2016 na serikali inayoongozwa na jpm.jpm alikua na uwezo wa kupiga chini mipango yote ya jk lkn hana upumbavu ambao mnauonesha humu.Kama kaachana na mradi wa gesi na kaingia wa maji alishindwa nn kuachana na flyover?
Umeongea point nzuri inayotueleza maamuzi ya kitaifa yapo juu ya nani. Sasa kama mchezo ndo huu sijui anayekuja ataachana na mipango ipi ya JPM! Maana ni maamuzi tu.
 
Mnatapatapa sana. Mradi umeanza kujengwa 2016 na serikali inayoongozwa na jpm.jpm alikua na uwezo wa kupiga chini mipango yote ya jk lkn hana upumbavu ambao mnauonesha humu.Kama kaachana na mradi wa gesi na kaingia wa maji alishindwa nn kuachana na flyover?
Una uwezo kidogo wa kujua mikataba jinsi inavyotekelezwa..??
 
Tuambie kwanza contract imesainiwa mwaka gani? Kupiga chini maana yake kuvunja mkataba au una maana nyingine?
Kusainiwa ndio kujenga?Contact zina conditions nyingi na ndo maana utaona kuna miradi mingi huwa inasuasua hela hamna na mingine inaishia njiani. Mfano mradi wa gas kinyerezi ule una hadi Kinyerezi 4 na wakati jk anazindua kivuko kinyerezi 1 alisema kiongoz anayekuja anaweza endelea na hizo phase zingine. Tumeona jpm kajenga kinyerezi 2 na sasa hakuna mpango mwingine zaid ya kuhamia umeme wa maji. Mikataba inasainiwa na serikali haitoi pesa
 
Binafsi nipongeze hizi juhudi za kutatua changamoto za msongamano wa jiji la Dar es salaam. Hii ni hatua nzuri kwa maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla wake. Japo bado tunasafari ndefu kivijua vipaumbele vya
kitaifa, tukifanikiwa katika hili, tutalikomboa taifa letu. Hongera Rais wetu Dr.JPM
 
Ingejengwa moja wapo ya hivi si nchi nzima ingelikusanyika Dar! Kinjia kidogo wamekusanyika serikali, viongozi wa dini zoteeeeeeeeeeeeeee (kama kweli tuna viongozi wa dini)

1538034886498.png

8 of the World's Most Amazing Flyovers You Need to See to Believe
 
Una uwezo kidogo wa kujua mikataba jinsi inavyotekelezwa..??
Mkataba ni kingine na kutoa pesa ni swala lingine. Miradi mingap imekwama kisa serikali haijatoa pesa. Pitia uzinduz wa hospital ya mloganzila uone serikali kupitia awamu ya jpm imetoa kiasi gan hadi mradi kukamilika licha ya huo mradi kuanza enzi za jk.
 
Back
Top Bottom