Kwani amehudhuriaMbona kikwete hasifiwi katika, hizi salamu kama mwanzilishi wa mradi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amehudhuriaMbona kikwete hasifiwi katika, hizi salamu kama mwanzilishi wa mradi?
Kule hamna nani kama magufuli au kutaja idadi ya wabunge na madiwani wanaouunga mkono juhudi za kilaghai na kusifia anaona alale mbele hamna sifa za kijingaHuyu baba ingependeza kama na kwenye msiba wa ile meli angehudhuria
JK alikuwa ana balance needs za society huyu yuko tayari watu wafe apate sifa!Mkataba ni kingine na kutoa pesa ni swala lingine. Miradi mingap imekwama kisa serikali haijatoa pesa. Pitia uzinduz wa hospital ya mloganzila uone serikali kupitia awamu ya jpm imetoa kiasi gan hadi mradi kukamilika licha ya huo mradi kuanza enzi za jk.
Kikwete wapi na wapi!Hizi ni faida za kikwete kwenda sana nje na kuona wenzetu wanaendaje. Safi sana kwa mradi kukamilika
Wew mtu wa wapi? Hata kiswahili kinakushinda kuandika ndio utaweza kweli kujua kati ya flyover na bridge kweli?Mimi labda sina uelewa hiyo fly over au daraja?
Fly over gani imeshindwa kutengeneza njia ya kuingia buburuni juu na kutoka buburuni kwenda njia ya kurasini kupitia juu pia yaani magari mepesi madogo yawe yanarotate juu na marori makubwa yapite chini.?
Nimefuatilia nchi kama Malawi haiendelei coz kila kiongoz anayekuja anakuja na mambo yake kuonekana kaanzisha yeye. Huyu akianza mradi kabla haujaisha na mda wake ukapita anapiga anayeingia ananza mradi wake. So unakuta nchi ipo ipo tu haina mipango ya mda mrefu. Tanzania unakuta kuna mipango ya mda mrefu na kila kiongoz akiingia anaangalia kipi akitekeleze na sio kwa kutaka sifa za nani kafanya. Kuna mradi wa Airport kauacha jk lkn jpm anauendeleza, mloganzila, kinyerezi yote ni miradi imeachwa nusunusu na kwa akili za ufipa ilitakiwa jpm apige chini aanze na ya kwake na kwa akili hizi cjui ka nchi ingeenda. Mradi kafungua jpm na kazindua jpm lkn mtu anakuambia jpm hajajenga yy kajenga jk.Umeongea point nzuri inayotueleza maamuzi ya kitaifa yapo juu ya nani. Sasa kama mchezo ndo huu sijui anayekuja ataachana na mipango ipi ya JPM! Maana ni maamuzi tu.
Huu mradi ndio mnaopiga kelele kuwa unamsaidiaje mtu wa kakonko, saiz unakuja na balance needs na mkibanwa huku mnakimbilia kusema ooh ni mkopoJK alikuwa ana balance needs za society huyu yuko tayari watu wafe apate sifa!
wenye mradi wao (Japan) wamesema hili ni darajaMimi labda sina uelewa hiyo fly over au daraja?
Fly over gani imeshindwa kutengeneza njia ya kuingia buburuni juu na kutoka buburuni kwenda njia ya kurasini kupitia juu pia yaani magari mepesi madogo yawe yanarotate juu na marori makubwa yapite chini.?
Mmeshasahau jinsi mlivyomuita JK Vasco da Gama mbembeaji rais dhaifu.JK alikuwa ana balance needs za society huyu yuko tayari watu wafe apate sifa!
Sheria zote, zote zote, majina yote etc vitafutwa akiondoka,Jina iliyopewa flyover mie hoi.....
Kwa navyoona possibility ya wajukuu zako kuiacha ccm inatawala ni kubwa mno.So haya unayoyawaza ni bora nguvu hii uipeleke kwenye kupambana na hali yakoSheria zote, zote zote, majina yote etc vitafutwa akiondoka,
Sheria zote, zote zote, majina yote etc vitafutwa akiondoka,
wateule wake nao wameshaanza kujitambulisha hivyo. kuna mmama mmoja dc wa dar jana kawaambia machangudoa wa dar kuwa wakiendeleza biashara yao kichaa chake kikipanda atawaibukia huko hukoLeo atarudia ile kauli yake kwamba ana kichaa stage Z. Naomba kwenye hotuba yake aliongelee hilo vizuri kama aliweza kuliongelea la uzazi wa mpango sasa hashindwi kulitolea maelezo ya kutosha