Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Huyu baba ingependeza kama na kwenye msiba wa ile meli angehudhuria
Kule hamna nani kama magufuli au kutaja idadi ya wabunge na madiwani wanaouunga mkono juhudi za kilaghai na kusifia anaona alale mbele hamna sifa za kijinga
 
Kalipa jina la Swahiba wake eti mfugale ndo nn
 
Mkataba ni kingine na kutoa pesa ni swala lingine. Miradi mingap imekwama kisa serikali haijatoa pesa. Pitia uzinduz wa hospital ya mloganzila uone serikali kupitia awamu ya jpm imetoa kiasi gan hadi mradi kukamilika licha ya huo mradi kuanza enzi za jk.
JK alikuwa ana balance needs za society huyu yuko tayari watu wafe apate sifa!
 
Mimi labda sina uelewa hiyo fly over au daraja?

Fly over gani imeshindwa kutengeneza njia ya kuingia buburuni juu na kutoka buburuni kwenda njia ya kurasini kupitia juu pia yaani magari mepesi madogo yawe yanarotate juu na marori makubwa yapite chini.?
Wew mtu wa wapi? Hata kiswahili kinakushinda kuandika ndio utaweza kweli kujua kati ya flyover na bridge kweli?
 
Kuna vitu hata vikipewa majina mapya yameshindwa kubadili majina ya awali yaliyozoeleka mfano daraja La kilombero,Pugu road,daraja la Tazara, nk yanaendelea kutumika yaliyozoeleka
 
Umeongea point nzuri inayotueleza maamuzi ya kitaifa yapo juu ya nani. Sasa kama mchezo ndo huu sijui anayekuja ataachana na mipango ipi ya JPM! Maana ni maamuzi tu.
Nimefuatilia nchi kama Malawi haiendelei coz kila kiongoz anayekuja anakuja na mambo yake kuonekana kaanzisha yeye. Huyu akianza mradi kabla haujaisha na mda wake ukapita anapiga anayeingia ananza mradi wake. So unakuta nchi ipo ipo tu haina mipango ya mda mrefu. Tanzania unakuta kuna mipango ya mda mrefu na kila kiongoz akiingia anaangalia kipi akitekeleze na sio kwa kutaka sifa za nani kafanya. Kuna mradi wa Airport kauacha jk lkn jpm anauendeleza, mloganzila, kinyerezi yote ni miradi imeachwa nusunusu na kwa akili za ufipa ilitakiwa jpm apige chini aanze na ya kwake na kwa akili hizi cjui ka nchi ingeenda. Mradi kafungua jpm na kazindua jpm lkn mtu anakuambia jpm hajajenga yy kajenga jk.
 
JK alikuwa ana balance needs za society huyu yuko tayari watu wafe apate sifa!
Huu mradi ndio mnaopiga kelele kuwa unamsaidiaje mtu wa kakonko, saiz unakuja na balance needs na mkibanwa huku mnakimbilia kusema ooh ni mkopo
 
Mimi labda sina uelewa hiyo fly over au daraja?

Fly over gani imeshindwa kutengeneza njia ya kuingia buburuni juu na kutoka buburuni kwenda njia ya kurasini kupitia juu pia yaani magari mepesi madogo yawe yanarotate juu na marori makubwa yapite chini.?
wenye mradi wao (Japan) wamesema hili ni daraja
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sheria zote, zote zote, majina yote etc vitafutwa akiondoka,
Kwa navyoona possibility ya wajukuu zako kuiacha ccm inatawala ni kubwa mno.So haya unayoyawaza ni bora nguvu hii uipeleke kwenye kupambana na hali yako
 
Nashangaa huyu Bw. Patrik Mfugale kutamka kuwa anamtunuku Jiwe daraja lile kwa kuwa ni juhudi zake wakati kumbukumbu zipo wazi ni juhudi za Jakaya Kikwete wakati alipotembelea Japan na kupewa msaada wa ujenzi wa daraja tena ni fedha za walipa kodi wa Japani. Mfugale anapaswa kumwambia jiwe naye atoke akatafute madaraja na si kukaa ndani kama mwali
 
Leo atarudia ile kauli yake kwamba ana kichaa stage Z. Naomba kwenye hotuba yake aliongelee hilo vizuri kama aliweza kuliongelea la uzazi wa mpango sasa hashindwi kulitolea maelezo ya kutosha
wateule wake nao wameshaanza kujitambulisha hivyo. kuna mmama mmoja dc wa dar jana kawaambia machangudoa wa dar kuwa wakiendeleza biashara yao kichaa chake kikipanda atawaibukia huko huko
 
Back
Top Bottom