Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Malawi na Tanzania zote zipo kundi moja, the poorest nations in the world.
Nimefuatilia nchi kama Malawi haiendelei coz kila kiongoz anayekuja anakuja na mambo yake kuonekana kaanzisha yeye. Huyu akianza mradi kabla haujaisha na mda wake ukapita anapiga anayeingia ananza mradi wake. So unakuta nchi ipo ipo tu haina mipango ya mda mrefu. Tanzania unakuta kuna mipango ya mda mrefu na kila kiongoz akiingia anaangalia kipi akitekeleze na sio kwa kutaka sifa za nani kafanya. Kuna mradi wa Airport kauacha jk lkn jpm anauendeleza, mloganzila, kinyerezi yote ni miradi imeachwa nusunusu na kwa akili za ufipa ilitakiwa jpm apige chini aanze na ya kwake na kwa akili hizi cjui ka nchi ingeenda. Mradi kafungua jpm na kazindua jpm lkn mtu anakuambia jpm hajajenga yy kajenga jk.
 
Visionary leader.

Date::6/2/2010
Mwandishi Maalumu
RAIS Jakaya Kikwete, ameagiza hatua za haraka zichukuliwe, kujenga barabara zinazopita juu katika Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza misongamano mikubwa ya magari.

Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ilisema Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM alitoa agizo hilo juzi, baada ya kupewa taarifa ya utendaji ya CCM katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Mwenyekiti huyo alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatu ya kukagua shughuli za CCM mkoani humo.

"Hili la flyovers lipewa kipaumbele ili tupunguze msongamano wa magari katika Dar es salaam. Tusipofanya hili jiji hili litakuwa halipitiki katika muda wa miaka mitano, ama hata katika miaka miwili ama mitatu ijayo," Rais Kikwete.

Rais Kikwetepia aliwaagiza wataalam wa mipango miji katika Jiji la Dar es Salaam, kuanza kupunguza maeneo yasiyopimwa kwa kuzingatia kuwa kwa sasa ni asilimia 30 ya jiji ndiyo iliyopimwa.

Alisema Jiji la Dar es Salaam, haliwezi kuendelea kupanuka bila mpangilio na kwamba wakati sasa umefika wa kuhakikisha kuwa linajengwa kwa kuzingatia mipango miji.

"Hatuwezi kuendelea namna hii na mji unaopanuka namna hii. Hili ni jambo zito, kubwa linalohitaji umakini wa haraka kutatuliwa. Ndio maana kipindupindu hakiishi katika mji huu." alisema Rais Kikwete baada ya kupata taarifa kutoka kwa watalaam wa huduma za maji, ardhi na barabara.

Katika mkutano huo, Rais Kikwete pia alipewa taarifa kuhusu hatua zinazochukuliwa kukabiliana na ukosefu wa maji ya katika jiji hilo.

Rais Kikwete pia aliusifu utendaji wa CCM katika Mkoa wa Dar es Salaam akiwataka viongozi wa chama hicho kutafuta njia za haraka za kutatua matatizo ya wananchi.

"Angalieni na chunguzeni sana matatizo ya wananchi. Haya ndiyo muhimu kwetu kuyashughulikia, tena kwa haraka. Hii ndiyo nguvu ya chama chetu," amesema Mwenyekiti huyo wa CCM

Source: MWANANCHI
Mkataba umesainiwa 2015
 
Nimefuatilia nchi kama Malawi haiendelei coz kila kiongoz anayekuja anakuja na mambo yake kuonekana kaanzisha yeye. Huyu akianza mradi kabla haujaisha na mda wake ukapita anapiga anayeingia ananza mradi wake. So unakuta nchi ipo ipo tu haina mipango ya mda mrefu. Tanzania unakuta kuna mipango ya mda mrefu na kila kiongoz akiingia anaangalia kipi akitekeleze na sio kwa kutaka sifa za nani kafanya. Kuna mradi wa Airport kauacha jk lkn jpm anauendeleza, mloganzila, kinyerezi yote ni miradi imeachwa nusunusu na kwa akili za ufipa ilitakiwa jpm apige chini aanze na ya kwake na kwa akili hizi cjui ka nchi ingeenda. Mradi kafungua jpm na kazindua jpm lkn mtu anakuambia jpm hajajenga yy kajenga jk.
Issue ni recognitions.
 
Hamna mimi sina jibu.nategemea great thinker wewe unisaidie. Jpm flyover hamuhusu?
Kila Mtanzania inamuhusu, issue iliyo jadilika ni uhusika, yani JK kama founder wa mradi na fedha, JPM kahusika katika usimamizi wa utekelezaji. Dhana hapa ni recognition ya aliye fanya sehemu ya Msingi.
 
Issue ni recognitions.
Kama ni recognition alitoa kwenye mradi wa mloganzila na alitoa kiuungwana coz hata awam yake yy katoa hela nyingi sana hadi hospital kukamilika. Fuatilia hotuba za uzinduz wa ile hospital utajua kias gan kuna mkono wa jpm.
 
Sifikir kama ni hoja. Hii ni huku jf tu kwenye siasa uchwara tena zilizojaa chuki.
Wala hamna chuki,nauliza tu kwanini sisi hatuweki wazi?Mkataba ungekuwa umesainiwa 2017,wasingesema?Ikumbukwe kuwa sehemu ya mkataba,japan waliahidi kuchangia asilimia fulani ya gharama za ujenzi,nadhani bil 26!Hii ni kutokana na diplomasia ya JK!
Nadhani JK anastahili credit japo kidogo,ila hajatajwa kabisa mpaka sasa!
Ngoja tusubiri
 
Kila Mtanzania inamuhusu, issue iliyo jadilika ni uhusika, yani JK kama founder wa mradi na fedha, JPM kahusika katika usimamizi wa utekelezaji. Dhana hapa ni recognition ya aliye fanya sehemu ya Msingi.
Jk katoa yy pesa?Yaani unataka kusema jk kabla hajamaliza mda wake alitoa kila kitu kuhusu flyover na jpm kazi yake ni kusimamia tu?
 
Kila Mtanzania inamuhusu, issue iliyo jadilika ni uhusika, yani JK kama founder wa mradi na fedha, JPM kahusika katika usimamizi wa utekelezaji. Dhana hapa ni recognition ya aliye fanya sehemu ya Msingi.
Uko sahihi,maana diplomasia ya JK ilisababisha serikali ya Japan ituchangie kiasi cha fedha katika mkataba uliosainiwa 2015
 
Kusaini na utekelezaji ni vitu viwili tofauti. Kwanini huo mradi wa ubungo unasuasua?Umesainiwa lini?
Utekelezaji usingeshindikana hata kama Matonya angekuwa rais kwa sababu pesa ilikwishatolewa na wajapan.
 
Nashangaa huyu Bw. Patrik Mfugale kutamka kuwa anamtunuku Jiwe daraja lile kwa kuwa ni juhudi zake wakati kumbukumbu zipo wazi ni juhudi za Jakaya Kikwete wakati alipotembelea Japan na kupewa msaada wa ujenzi wa daraja tena ni fedha za walipa kodi wa Japani. Mfugale anapaswa kumwambia jiwe naye atoke akatafute madaraja na si kukaa ndani kama mwali
Usipojuwa kujipendekeza huwezi kudumu utawala huu.

Nyerere alimwambia kwenye kikao cha Nec nitapendekeza jina lako ili uwe Rais wa Tanzania lakini wewe utasimama na uikatae nafasi hiyo, basi ndani ya kikao Nyerere alipompendekeza Mwinyi kuwa mgombea Urais Mwinyi alisimama na kuanza kuwashukuru wajumbe kwa imani yao kubwa kwake na yuko tayari kwa nafasi hiyo.
 
Kwani nani sio mkaazi wa huko. Mie kujua kuwa Man U ipo uingereza sio lazima niwe nimefika UK
Kinyerezi kuna miradi mingap hadi sasa?Mimi ni mkazi wa huko sasa ukileta ujuaji nashangaa
 
Wala hamna chuki,nauliza tu kwanini sisi hatuweki wazi?Mkataba ungekuwa umesainiwa 2017,wasingesema?Ikumbukwe kuwa sehemu ya mkataba,japan waliahidi kuchangia asilimia fulani ya gharama za ujenzi,nadhani bil 26!Hii ni kutokana na diplomasia ya JK!
Nadhani JK anastahili credit japo kidogo,ila hajatajwa kabisa mpaka sasa!
Ngoja tusubiri
Lkn JPM pia aliweza kuharibu huo msaada wa billion 26.kumbuka fedha za mcc ambapo zimesababisha miradi mingi kukwama. JK alipewa credit kwenye mloganzila na kweli kule alistahili ingawa ukifuatilia utaona jpm katoa hela kibao kushinda yeye
 
Utekelezaji usingeshindikana hata kama Matonya angekuwa rais kwa sababu pesa ilikwishatolewa na wajapan.
Wajapan wametoa billion 26,je ndizo zilizojenga hiyo flyover?
 
Kwani nani sio mkaazi wa huko. Mie kujua kuwa Man U ipo uingereza sio lazima niwe nimefika UK
Sasa wewe unaleta story ambazo hazipo. Kuna kuweka jiwe la mcng na kuzindua kitu kifanye kazi.sijui ka haya unayajua.
 
Lkn jpm pia aliweza kuharibu huo msaada wa billion 26.kumbuka fedha za mcc ambapo zimesababisha miradi mingi kukwama. Jk alipewa credit kwenye mloganzila na kweli kule alistahili ingawa ukifuatilia utaona jpm katoa hela kibao kushinda yy
Ngoja nione kama JPM atatambua mchango wa JK
 
Unajua hawa watu ndo wanatufanya tuwe na hii hali ya kupigania hata mambo ya wazi.
Mambo yapo wazi kabisa, mtu anakuja ooh Rais angeamua angeweza kutupilia mbali ujenzi unatupilia mbali wakati umeshaingia mkataba na mkandarasi kaanza mobilization
 
JPM:CCM ikiahidi jambo,inatimiza!

Mimi naulizia mil 50 kila kijiji
 
Back
Top Bottom