hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Rais Magufuli anaanza hotuba yake kwa kuwapa pole Watanzania wote kwa msiba wa kitaIfa kwa ajali ya meli huko mwanza. Anaongoza sala ya kimya kwa dakika moja. anaendelea kwa kuwaasa watanzania kuwa makini na matumizi ya vyombo vya usafiri ili kuepusha vifo.anaKumbusha kuhusu tukio la leo la uzinduzi wa flyover ya tazara.
Anawapongeza wazabuni na mafundi wa daraja hili kwa kumaliza ujenzi wa daraja hili ndani ya muda. anashukuru japan kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha ujenzi wa daraja hili
Anawapongeza wazabuni na mafundi wa daraja hili kwa kumaliza ujenzi wa daraja hili ndani ya muda. anashukuru japan kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha ujenzi wa daraja hili