Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Wakuu mliokuwepo au kufuatilia tafadhali mseme. Maana…….
hatuna muda wa kupoteza kusikiliza kauli za wafoji vyeti wakizungumza na mawe
 
RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Wakuu mliokuwepo au kufuatilia tafadhali mseme. Maana…….
Maana yake hapo kazi tu
 
Ni mwanamama huyo

Aaangalie asibakwe asijifanye ni komando kumbe ni beib. Akijichanganya anawekewa dawa, akikurupuka ajikute hana marinda yashabasti na mpaka bikra zote zishatolewa i.e pua, mdomo, masikio, kwapa ohhhhh
 
Akianza vijembe tustue,uzinduzi Bila vijembe haunogi
hakuna jipya ni yale yale ya SIKU zote
kawananga wapinzani na kampaisha waitara
hayo tu na kuwasems wasom wasiotakia mema Nchi
yaani hotuba ni ile ile ya SIKU zote
mara tumejenga kwa pesa ya Ndani mara tutajenga zngine etc
 
Hio miradi haina maana kama unawalaza watu njaa
Kama haufanyi kazi utaendelea kulala njaa tu hakuna namna nyingine utalala njaa tu......wakati sisi tunayatafuta maendelea wewe katafute kilo ya unga upike ugali......# FANYA KAZI WACHA UVIVU
 
RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Wakuu mliokuwepo au kufuatilia tafadhali mseme. Maana…….
Stooge! au wasemaje Petro is it a good description of him or..... ngumu kujibu! Being a verified user do not risk!
 
Hongera sana Rais Magufuli na serikali yote pamoja na Eng. Mfugale,
Sasa tunataka kuona barabara ya njia nane kimara hadi kiluvya inakuwa ya viwango vya juu
 
hakuna jipya ni yale yale ya SIKU zote
kawananga wapinzani na kampaisha waitara
hayo tu na kuwasems wasom wasiotakia mema Nchi
yaani hotuba ni ile ile ya SIKU zote
mara tumejenga kwa pesa ya Ndani mara tutajenga zngine etc
Pesa za ndani MBONA wanasema za msaada wa Japan
 
Nyie watalaam mnaoandika ripoti za kukwamisha mradi wa stiglers gorge ole wenu.

Yani hata choo kisichimbwe?!
 
Sasa wewe unaleta story ambazo hazipo. Kuna kuweka jiwe la mcng na kuzindua kitu kifanye kazi.sijui ka haya unayajua.
Kwahiyo ukizindua ndio kitu kinaanza kufanya kazi, acheni propaganda CCM, hivi kama let's say South Africa rais angekuwa anazindua kila mradi angeweza kukaa ofisini kufanya kazi zenye akili

Viongozi wenu wamewaaminisha kuwa kiwanda au barabara haiwezi kufanya kazi mpaka izinduliwe. China na Urusi wameachana na siasa za propaganda nyie bado mnazo tu.
 
Kwahiyo ukizindua ndio kitu kinaanza kufanya kazi, acheni propaganda CCM, hivi kama let's say South Africa rais angekuwa anazindua kila mradi angeweza kukaa ofisini kufanya kazi zenye akili

Viongozi wenu wamewaaminisha kuwa kiwanda au barabara haiwezi kufanya kazi mpaka izinduliwe. China na Urusi wameachana na siasa za propaganda nyie bado mnazo tu.
Kwahiyo unataka kufananisha China na Tanzania?Uwezo wetu umefikia hapa so kutaka Rais wetu afanye kama ya SA au China sifikiri ka ni sahihi.Tanzania tunahubir habari za maji,barabara nk China hivi vitu hamna so kuleta story za China Tanzania ni upotofu wa Akili.
 
South Africa ni benchmark, huwezi kujibenchmark mwenyewe. Lazima kufanya hivyo against the best. Watu wanatakiwa wawe busy kufanya kazi sio kufanya siasa za kwenye madaraja, we.do not have that luxury of time.
Kwahiyo unataka kufananisha China na Tanzania?Uwezo wetu umefikia hapa so kutaka Rais wetu afanye kama ya SA au China sifikiri ka ni sahihi.Tanzania tunahubir habari za maji,barabara nk China hivi vitu hamna so kuleta story za China Tanzania ni upotofu wa Akili.
 
Kwahiyo unataka kufananisha China na Tanzania?Uwezo wetu umefikia hapa so kutaka Rais wetu afanye kama ya SA au China sifikiri ka ni sahihi.Tanzania tunahubir habari za maji,barabara nk China hivi vitu hamna so kuleta story za China Tanzania ni upotofu wa Akili.

Misuli mbona huo mradi unaongelewa kama vile ni mradi wa pesa zetu na ni kwa sababu ya Magufuli? Je uhalisia hizo hela zetu ni kiasi gani na kiasi gani ni toka Japan? Nimesikiliza vizuri hutoba ya rais, lakini alipofika kwenye kutaja bei ya mradi nani kachangia nini na nani nini naona kama sauti ilikuwa chini na akasema fedha nyingi imetolewa na Japan na iliyobaki imetolewa na Tanzania bila kutaja kiwango kwa tarakimu. Hapo nilipata mashaka kidogo kwani nimjuavyo Magufuli anapotaka kupata sifa basi hutaja ni kiasi gani Tanzania imetoa. Isije ikawa hela ya Japan ni nyingi kuliko ya Tanzania hata anaona aibu kuitaja kwani itaonekana sio nguvu zake bali Japan hatimaye hizi sifa anazopewa zipungue. Naammini wewe ni mtu mweledi unaweza kuweka hapa hiyo figure ili tujue sifa ni za Magufuli au Japan.
 
Misuli mbona huo mradi unaongelewa kama vile ni mradi wa pesa zetu na ni kwa sababu ya Magufuli? Je uhalisia hizo hela zetu ni kiasi gani na kiasi gani ni toka Japan? Nimesikiliza vizuri hutoba ya rais, lakini alipofika kwenye kutaja bei ya mradi nani kachangia nini na nani nini naona kama sauti ilikuwa chini na akasema fedha nyingi imetolewa na Japan na iliyobaki imetolewa na Tanzania bila kutaja kiwango kwa tarakimu. Hapo nilipata mashaka kidogo kwani nimjuavyo Magufuli anapotaka kupata sifa basi hutaja ni kiasi gani Tanzania imetoa. Isije ikawa hela ya Japan ni nyingi kuliko ya Tanzania hata anaona aibu kuitaja kwani itaonekana sio nguvu zake bali Japan hatimaye hizi sifa anazopewa zipungue. Naammini wewe ni mtu mweledi unaweza kuweka hapa hiyo figure ili tujue sifa ni za Magufuli au Japan.
Mkuu hata huo mradi wote ufadhiriwe na Japan,bado inatakiwa ujue nini jukum la serikali kuwaletea wananchi maendeleo. Tanzania haina uwezo wa kujitegemea 100% ktk bajeti yake lkn utaona jinsi bajeti inavyotajwa bungeni pamoja na miradi kadhaa. Hakuna mtanzania asiyejua kuwa tunapewa misaada ktk miradi mbalimbali lkn lzm ujue hiyo misaada inaratibiwa na serikali wala sio Japan kwamba wanajileta wenyewe na hiyo sio misaada kama tunavyoaminishwa coz hata usainiji wake huwa gizani. Kuna biashara inafanyika kwa maigizo ya msaada.
 
Back
Top Bottom