Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Dar: Flyover ya Mfugale yazinduliwa. Chang'ombe na Gerezani kujengwa flyover, Barabara njia 8 kujengwa Kimara hadi Kibaha

Kule Zanzibar Flyover itajengwa lini? Au nchi ziliungana wapelekewe majeshi tu siku uchaguzi inatosha
 
Pesa za ndani MBONA wanasema za msaada wa Japan
ahaa kasema Japan wametoa bill 26
lakini kugusia miradi mingine ya stigler gorge kuwa N pesa za Ndani mara hizo reli nk
in short hotuba yake ni hile ile ya SIKU zote haijabadilika kitu
 
Mkuu hata huo mradi wote ufadhiriwe na Japan,bado inatakiwa ujue nini jukum la serikali kuwaletea wananchi maendeleo. Tanzania haina uwezo wa kujitegemea 100% ktk bajeti yake lkn utaona jinsi bajeti inavyotajwa bungeni pamoja na miradi kadhaa. Hakuna mtanzania asiyejua kuwa tunapewa misaada ktk miradi mbalimbali lkn lzm ujue hiyo misaada inaratibiwa na serikali wala sio Japan kwamba wanajileta wenyewe na hiyo sio misaada kama tunavyoaminishwa coz hata usainiji wake huwa gizani. Kuna biashara inafanyika kwa maigizo ya msaada.

Hivi kaka yangu Misuli kweli umeaandika paragraph nzima umeshindwa kusema Japan katoa kiasi gani na Tanzania kiasi gani kaka yangu!? Sasa nimegundua kwanini hata rais alipofikia kwenye kutaja nani kachangia nini hakutaka kutaja kiwango kwani kilichokuwa kinasakwa ni sifa binafsi kwa Magufuli, ilionekana kingetajwa kiasi wajinga wangeona kumbe wanasifia bure bali sifa zilipaswa ziwaendee Wajapan. Hapa ndio pale tunapowaambia Magufuli anasema huu sio wakati wa siasa bali kazi, yeye ndio anayeendekeza siasa.

Sipingi maelezo yako mazuri, lakini lengo langu ni kukuambia yale tunayoambiwa Magufuli anayofanya ni mageni sio kweli maana hata watangulizi wake walikuwa wanategemea misaada na mikopo. Taswira inayojengwa ni kwamba miradi hii tunatekeleza kwa pesa zetu za ndani kitu ambacho sio kweli. Ukweli ni kwamba bado tunategemea misaada na sasa kuna mikopo mingi sana inayoendelea nyuma ya pazia ili kuaminisha umma kwamba uchumi wetu ni mzuri sana. Kama kweli wewe au rais wetu ni muungwani kipi kilimshinda kutaja mchango wa japani kwa figure na waTanzania wakati ameweza kutaja mradi mzima ulikuwa wa Bilioni 112? Tukifika hapo ndio huwa naamini kwamba taarifa nyingi toka serekalini hupikwa ili kuonyesha hali ni nzuri wakati ni kinyume chake.
 
Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads), Patrick Mfugale, ambaye Rais Magufuli alisema amekuwa na mchango mkubwa katika ujenzi wa miundombinu nchini na kumpa heshima ya kulitunuku daraja hilo jina lake.


Akanyage kwenye nyao, asishangae siku statement ikigeuzwa daraja likanyang'anywa jina
 



Tulikotoka

Ujenzi wa daraja hilo lililopewa jina la Mfugale ulioanza miaka miwili iliyopita umegharimu Sh bilioni 92 hadi kukamilika kwake, huku Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) likichangia Sh bilioni 26. Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads), Patrick Mfugale, ambaye Rais Magufuli alisema amekuwa na mchango mkubwa katika ujenzi wa miundombinu nchini na kumpa heshima ya kulitunuku daraja hilo jina lake.

Mkataba wa ujenzi wa daraja hilo, ulisainiwa Oktoba 15, mwaka 20 1 5 kati ya Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads) na Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction Co. Ltd. Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 2 asubuhi huku akiwataka wananchi, viongozi wa siasa kutoka vyama mbalimbali kujitokeza kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi huo wenye historia ya kipekee nchini.


View attachment 879144

Rais Magufuli amewasili katika eneo hilo zinapokutana barabara za Mandela na Nyerere na amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Mkurugenzi Mtendaji TANROADs

Mwaka 2008, Tanzania iliandaa ‘Master Plan’ ya kupunguza msongamano jijini Dar. 2013 Japan wakajitokeza kuwa watatusaidia kujenga daraja hili; 2014 ilitangazwa tenda! Wazabuni walikuja na gharama kubwa

Japan iliongeza ufadhili hadi Bilioni 103 mwaka 2015 Machi, Mkandarasi mmoja alikuja lakini gharama zake zilikuwa mara mbili zaidi. Tulifanya ‘Selective Tendering’ ambapo mkandarasi aliyejenga daraja hili alipatikana

Daraja hili limejengwa kwa nguzo kubwa 26; zimekaa juu ya Piles 133. Daraja lina urefu wa zaidi ya km 1. Linaweza kubeba tani 180 kwa wakati mmoja. Daraja hili linaweza kutumika kwa zaidi ya miaka 100. Limejengwa kwa jumla ya Sh. Bilioni 92

Tunao mkakati wa kujenga BRT ya kutoka mjini(CBD) hadi Gongo la Mboto katika awamu ya 3

Balozi wa Japan

Naamini watanzania wote wamefurahi kuona Flyover ya kwanza nchini Tanzania. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Nafarijika kuwa nikiwa narudi Japan nitatumia ‘Mfugale Flyover’

Eng. Ninatubu Lema(ERB)

Mhandisi Patrick Aaron Lipilima Mfugale ametumikia taaluma ya Uhandisi kwa miaka 41
- Alizaliwa Ifunda, Iringa na alikamaliza Sekondari mwaka 1975. Alipata 1st Degree nchini India, Masters nchini Uingereza
- Aliajiriwa Wizara ya Ujenzi 1977

Mfugale ametumia muda wake mwingi wa kazi kama Mtaalamu wa Madaraja. Alibuni daraja la Malagarasi; ameshiriki ktk ujenzi wa madaraja ya Mkapa, Umoja, Rusumo, Kikwete, Nyerere, Mto Sibiti, Kilombero na mengine mengi (zaidi ya 1,400 nchini)

Mhandisi Patrick Mfugale ni Mtendaji Mkuu wa TANROADS; leo atapata heshima kubwa sana kwa Flyover ya kwanza Tanzania kupewa jina lake!

Elias J. Kwandikwa

Mradi huu jumla umegharimu Bilioni 106. Serikali ya Tanzania imegharimia kodi zote. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Toka Flyover imeanza kutumika, msongamano eneo la TAZARA umepungua kwa kiwango kikubwa

Miradi inayotarajiwa jijini Dar kwa kushirikiana na JICA:
> Upanuzi wa barabara ya Morocco - Mwenge
> Ujenzi wa Daraja la Gerezani (Kariakoo)

Rais Magufuli

Natoa pole kwa familia zilizoondokewa na wapendwa wao kufuatia ajali ya #MVNyerere na kuwaombea majeruhi uponyaji wa haraka. Nawashukuru watanzania kwa mshikamano walioonyesha

Ajali hii ya #MVNyerere iwe funzo kwetu. Ajali kama hizi zinaepukika, na zikitokea basi madhara yake yanaweza kuwa madogo kama tukipata funzo kwa kilichotokea

Nawapongeza Wizara ya Ujenzi, TANROADS na Wahandisi washauri kwa kusimamia ujenzi wa #MfugaleFlyover. Daraja limegharimu Bilioni 106.65; Japan wamechangia kiwango kikubwa cha pesa hii, ni marafiki wa kweli kwenye masuala ya maendeleo

Nampongeza Mbarawa ambaye alikuwa Waziri wa Ujenzi wakati ujenzi wa #MfugaleFlyover unaanza

Nakumbuka wakati Daraja la Umoja linaandaliwa kujengwa, nilimwita Mfugale anisaidie design ya Daraja hilo; nilipoipeleka kwa marais wa Tanzania na Msumbiji, ikapitishwa. Wakati wa uzinduzi wala hakutambulishwa

Mwaka 2008 Mfugale na mwenzake walipewa maagizo wakayakataa, Katibu Mkuu wa wakati huo aliwaokoa; mwenzake (marehemu Mjungi) alijiua kwa kujipiga risasi lakini Mfugale alivumilia. Ndo gharama ya kusimamia maadili

Ujenzi wa Flyover ya Ubungo itagharimu Bilioni 247. Itakuwa flyover ya aina yake kwa hapa Dar es Salaam! Wazaramo watasema ‘Ina ghorofa 3’

Tunajenga barabara ya njia 6 kutoka Kimara kwenda Kibaha kwa Sh. Bilioni 140 na fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania. Kutakuwa pia na njia ndogo 2 (service road). Bomoabomoa ya Kimara ilizingatia sheria!

Katika #MfugaleFlyover, nataka zifungwe kamera kote! Kazi hii ianze mara moja. Hatutaki watu wajiue hapa. Na madaraja mengine yote yatakayojengwa yawekewe kamera

Kwa kazi alizozifanya Eng. Mfugale, Flyover hii ilistahili kuitwa jina lake. Hakupendelewa, ni haki yake. Wataalamu wengine wamuige!

Gharama za umeme hapa nchini ni kubwa mno. Ni kikwazo katika ushindani wa viwanda. Bila umeme wa uhakika, viwanda ni ndoto!

Naomba flyover ya Gerezani ifanyiwe kazi ambayo tayari hadi tenda yake imeshatangazwa

Nawaomba Japan pia waikumbuke barabara ya Morocco-Mwenge waliyoahidi, imechukua muda mrefu!

Baadhi ya mikwamo hapa nchini imeletwa na wataalam ambao ni watanzania wenzetu! Wataalam wetu walipendekeza vyoo vya mradi wa Stiegler's Gorge vijengwe kilomita 10 toka eneo la mradi...

Miradi hii inaumiza baadhi ya watu. Tusitumike kukwamisha maendeleo ya watanzania. Yapo mengi tunayaweza kwa fedha zetu. Fedha za kujenga Stiegler's Gorge zipo!

Hatuwezi kuingia Uchumi wa Kati wakati tuna umeme unaokatikakatika. Hatuwezi kwenda huko bila kuwa na Flyovers, miundombinu ya Reli n.k. Maendeleo hayana chama!

Sijasema wapinzani wote waje, ila wale wanaoelemewa na mizigo. Wakija tutawapokea kwa mikono miwili (akimtolea mfano Waitara)

Nawapongeza sana wana Dar es Salaam kwa mshikamano wenu. RC Makonda ameomba nifanye ziara. Nitafanya hivyo, msiwe na wasiwasi nitawatembelea

Rais Magufuli kuzindua Flyover ya TAZARA. Yamaliza Foleni iliyokuwa ikisababisha hasara ya Tsh. Bilioni 400 kwa Mwezi - JamiiForums

Barabara ya Njia sita yaiva: Baada ya bomoabomoa, ujenzi waanza kwa kasi Kimara - JamiiForums
tunaanza lini kulipishwa kuvuka kama kile kivuko/daraja cha kigamboni...? this time punguzeni bei maana mnakamua sana malipo kwa hivi vivuko[emoji61]
nikitoka hom napitia daraja la kivukoni nalipa 2000 kwenda tu na hili jipya sijui mtaweka shingapi kuvuka... tufanye 1500 mpakaafika shambani kwangu jumla kwenda kurudi ni buks7 per day.. hebu jumlisha mwenyewe upate jibu la mwezi[emoji574] [emoji574] [emoji574] [emoji574] [emoji90]
 
Hivi kaka yangu Misuli kweli umeaandika paragraph nzima umeshindwa kusema Japan katoa kiasi gani na Tanzania kiasi gani kaka yangu!? Sasa nimegundua kwanini hata rais alipofikia kwenye kutaja nani kachangia nini hakutaka kutaja kiwango kwani kilichokuwa kinasakwa ni sifa binafsi kwa Magufuli, ilionekana kingetajwa kiasi wajinga wangeona kumbe wanasifia bure bali sifa zilipaswa ziwaendee Wajapan. Hapa ndio pale tunapowaambia Magufuli anasema huu sio wakati wa siasa bali kazi, yeye ndio anayeendekeza siasa.

Sipingi maelezo yako mazuri, lakini lengo langu ni kukuambia yale tunayoambiwa Magufuli anayofanya ni mageni sio kweli maana hata watangulizi wake walikuwa wanategemea misaada na mikopo. Taswira inayojengwa ni kwamba miradi hii tunatekeleza kwa pesa zetu za ndani kitu ambacho sio kweli. Ukweli ni kwamba bado tunategemea misaada na sasa kuna mikopo mingi sana inayoendelea nyuma ya pazia ili kuaminisha umma kwamba uchumi wetu ni mzuri sana. Kama kweli wewe au rais wetu ni muungwani kipi kilimshinda kutaja mchango wa japani kwa figure na waTanzania wakati ameweza kutaja mradi mzima ulikuwa wa Bilioni 112? Tukifika hapo ndio huwa naamini kwamba taarifa nyingi toka serekalini hupikwa ili kuonyesha hali ni nzuri wakati ni kinyume chake.
Mkuu sema unataka siasa nyepesi.Soma mwanzoni mwa hii thread wameeleza ni kiasi gan.
 
Mbona kikwete hasifiwi katika, hizi salamu kama mwanzilishi wa mradi?
MISULI said:
Mnatapatapa sana. Mradi umeanza kujengwa 2016 na serikali inayoongozwa na jpm.jpm alikua na uwezo wa kupiga chini mipango yote ya jk lkn hana upumbavu ambao mnauonesha humu.Kama kaachana na mradi wa gesi na kaingia wa maji alishindwa nn kuachana na flyover?
 
Taa za kumulika meli iliyozama ili uokoaji uendelee wamekosa!
Na watu wamekufa kibudu!
Hizo barabara mnajenga mnataka wapite punda?
 



Tulikotoka

Ujenzi wa daraja hilo lililopewa jina la Mfugale ulioanza miaka miwili iliyopita umegharimu Sh bilioni 92 hadi kukamilika kwake, huku Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) likichangia Sh bilioni 26. Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads), Patrick Mfugale, ambaye Rais Magufuli alisema amekuwa na mchango mkubwa katika ujenzi wa miundombinu nchini na kumpa heshima ya kulitunuku daraja hilo jina lake.

Mkataba wa ujenzi wa daraja hilo, ulisainiwa Oktoba 15, mwaka 20 1 5 kati ya Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads) na Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction Co. Ltd. Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 2 asubuhi huku akiwataka wananchi, viongozi wa siasa kutoka vyama mbalimbali kujitokeza kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi huo wenye historia ya kipekee nchini.


View attachment 879144

Rais Magufuli amewasili katika eneo hilo zinapokutana barabara za Mandela na Nyerere na amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Mkurugenzi Mtendaji TANROADs

Mwaka 2008, Tanzania iliandaa ‘Master Plan’ ya kupunguza msongamano jijini Dar. 2013 Japan wakajitokeza kuwa watatusaidia kujenga daraja hili; 2014 ilitangazwa tenda! Wazabuni walikuja na gharama kubwa

Japan iliongeza ufadhili hadi Bilioni 103 mwaka 2015 Machi, Mkandarasi mmoja alikuja lakini gharama zake zilikuwa mara mbili zaidi. Tulifanya ‘Selective Tendering’ ambapo mkandarasi aliyejenga daraja hili alipatikana

Daraja hili limejengwa kwa nguzo kubwa 26; zimekaa juu ya Piles 133. Daraja lina urefu wa zaidi ya km 1. Linaweza kubeba tani 180 kwa wakati mmoja. Daraja hili linaweza kutumika kwa zaidi ya miaka 100. Limejengwa kwa jumla ya Sh. Bilioni 92

Tunao mkakati wa kujenga BRT ya kutoka mjini(CBD) hadi Gongo la Mboto katika awamu ya 3

Balozi wa Japan

Naamini watanzania wote wamefurahi kuona Flyover ya kwanza nchini Tanzania. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Nafarijika kuwa nikiwa narudi Japan nitatumia ‘Mfugale Flyover’

Eng. Ninatubu Lema(ERB)

Mhandisi Patrick Aaron Lipilima Mfugale ametumikia taaluma ya Uhandisi kwa miaka 41
- Alizaliwa Ifunda, Iringa na alikamaliza Sekondari mwaka 1975. Alipata 1st Degree nchini India, Masters nchini Uingereza
- Aliajiriwa Wizara ya Ujenzi 1977

Mfugale ametumia muda wake mwingi wa kazi kama Mtaalamu wa Madaraja. Alibuni daraja la Malagarasi; ameshiriki ktk ujenzi wa madaraja ya Mkapa, Umoja, Rusumo, Kikwete, Nyerere, Mto Sibiti, Kilombero na mengine mengi (zaidi ya 1,400 nchini)

Mhandisi Patrick Mfugale ni Mtendaji Mkuu wa TANROADS; leo atapata heshima kubwa sana kwa Flyover ya kwanza Tanzania kupewa jina lake!

Elias J. Kwandikwa

Mradi huu jumla umegharimu Bilioni 106. Serikali ya Tanzania imegharimia kodi zote. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Toka Flyover imeanza kutumika, msongamano eneo la TAZARA umepungua kwa kiwango kikubwa

Miradi inayotarajiwa jijini Dar kwa kushirikiana na JICA:
> Upanuzi wa barabara ya Morocco - Mwenge
> Ujenzi wa Daraja la Gerezani (Kariakoo)

Rais Magufuli

Natoa pole kwa familia zilizoondokewa na wapendwa wao kufuatia ajali ya #MVNyerere na kuwaombea majeruhi uponyaji wa haraka. Nawashukuru watanzania kwa mshikamano walioonyesha

Ajali hii ya #MVNyerere iwe funzo kwetu. Ajali kama hizi zinaepukika, na zikitokea basi madhara yake yanaweza kuwa madogo kama tukipata funzo kwa kilichotokea

Nawapongeza Wizara ya Ujenzi, TANROADS na Wahandisi washauri kwa kusimamia ujenzi wa #MfugaleFlyover. Daraja limegharimu Bilioni 106.65; Japan wamechangia kiwango kikubwa cha pesa hii, ni marafiki wa kweli kwenye masuala ya maendeleo

Nampongeza Mbarawa ambaye alikuwa Waziri wa Ujenzi wakati ujenzi wa #MfugaleFlyover unaanza

Nakumbuka wakati Daraja la Umoja linaandaliwa kujengwa, nilimwita Mfugale anisaidie design ya Daraja hilo; nilipoipeleka kwa marais wa Tanzania na Msumbiji, ikapitishwa. Wakati wa uzinduzi wala hakutambulishwa

Mwaka 2008 Mfugale na mwenzake walipewa maagizo wakayakataa, Katibu Mkuu wa wakati huo aliwaokoa; mwenzake (marehemu Mjungi) alijiua kwa kujipiga risasi lakini Mfugale alivumilia. Ndo gharama ya kusimamia maadili

Ujenzi wa Flyover ya Ubungo itagharimu Bilioni 247. Itakuwa flyover ya aina yake kwa hapa Dar es Salaam! Wazaramo watasema ‘Ina ghorofa 3’

Tunajenga barabara ya njia 6 kutoka Kimara kwenda Kibaha kwa Sh. Bilioni 140 na fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania. Kutakuwa pia na njia ndogo 2 (service road). Bomoabomoa ya Kimara ilizingatia sheria!

Katika #MfugaleFlyover, nataka zifungwe kamera kote! Kazi hii ianze mara moja. Hatutaki watu wajiue hapa. Na madaraja mengine yote yatakayojengwa yawekewe kamera

Kwa kazi alizozifanya Eng. Mfugale, Flyover hii ilistahili kuitwa jina lake. Hakupendelewa, ni haki yake. Wataalamu wengine wamuige!

Gharama za umeme hapa nchini ni kubwa mno. Ni kikwazo katika ushindani wa viwanda. Bila umeme wa uhakika, viwanda ni ndoto!

Naomba flyover ya Gerezani ifanyiwe kazi ambayo tayari hadi tenda yake imeshatangazwa

Nawaomba Japan pia waikumbuke barabara ya Morocco-Mwenge waliyoahidi, imechukua muda mrefu!

Baadhi ya mikwamo hapa nchini imeletwa na wataalam ambao ni watanzania wenzetu! Wataalam wetu walipendekeza vyoo vya mradi wa Stiegler's Gorge vijengwe kilomita 10 toka eneo la mradi...

Miradi hii inaumiza baadhi ya watu. Tusitumike kukwamisha maendeleo ya watanzania. Yapo mengi tunayaweza kwa fedha zetu. Fedha za kujenga Stiegler's Gorge zipo!

Hatuwezi kuingia Uchumi wa Kati wakati tuna umeme unaokatikakatika. Hatuwezi kwenda huko bila kuwa na Flyovers, miundombinu ya Reli n.k. Maendeleo hayana chama!

Sijasema wapinzani wote waje, ila wale wanaoelemewa na mizigo. Wakija tutawapokea kwa mikono miwili (akimtolea mfano Waitara)

Nawapongeza sana wana Dar es Salaam kwa mshikamano wenu. RC Makonda ameomba nifanye ziara. Nitafanya hivyo, msiwe na wasiwasi nitawatembelea

Rais Magufuli kuzindua Flyover ya TAZARA. Yamaliza Foleni iliyokuwa ikisababisha hasara ya Tsh. Bilioni 400 kwa Mwezi - JamiiForums

Barabara ya Njia sita yaiva: Baada ya bomoabomoa, ujenzi waanza kwa kasi Kimara - JamiiForums

Tanzania hiyooooo.....Yes,tunalo dume bwana.Hongera Magufuli,nani kama wewe?
 
Taa za kumulika meli iliyozama ili uokoaji uendelee wamekosa!
Na watu wamekufa kibudu!
Hizo barabara mnajenga mnataka wapite punda?
Kivuko kilichopinduka saa nane mchana nani wa kufika saa 2 usiku akawa bado hai uko chini ya maji?
 
Haina shida mkuu kuwekana sawa ni moja ya mambo ya msingi wa JF.

Ukiwa na barabara za juu kama hizi na za kutosha basi unafungua njia nyingi za kusafirisha bishaa za viwandani na kukurahisisha biashara zingine nyingi tu.

Kwa mfano huko Uingereza alikosomea hayo mambo, wao wakati wa usiku ndo utaona malori na magari mengine maarufu kwa jina la Van ndo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kati ya miji mingi nchini humo.

Hii inasaidia kuondoa kelele katika barabara za kawaida na kuleta misongamano.

Ikikamilika hiyo Ubungo Interchange basi bidhaa za viwandani, mashambani na za kutoka sehemu zingine kama bandarini zitakuwa zikisafirishwa kwa muda mfupi na pembezoni mwa barabara hizo watanzania wanaweza kujenga viwanda vyao vya aina mbalimbali.

Urahisi huo ni wa kufikisha bidhaa zhizo sokoni pameoma kutoka mashambani au kwenye mabohari.

Ukiangalia viwanda vya barabara ya Nyerere ni mfano wa viwanda vitakavyojengwa pembezoni mwa hiyo Ubungo Interchange.

Uchumi unatagemea sana barabara na viwanda vinatagemea barabara.

Nikupe wazo, tafuta eneo kubwa la ardhi kuelekea Chalinze na uikilipata basi tengeneza wazo la kuwa na kiwanda hata kidogo tu.

Ukiishafanya hivyo basi tafuta mwekezaji wa ndani au wa nje ambae atakujengea kiwanda chako na mtaanza kula faida pamoja baada ya hapo uzalishaji utakaanza kushika kasi..

Kwasababu mwekezaji wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi lakini anaweza kushirikiana na mzawa kujenga kiwanda hicho.

Nakupa wazo la kujenga kiwanda cha urejereshaji au Recycling na takataka zote za aina ya karatasi unakuwa ukizitoa mikoa yote ya Tanzania je utaweza kufanya hivyo?

Ukifanya hivyo utaajiri watanzania na utalipa kodi na pia utawezesha uchumi wa viwanda.

Unaweza kuja kujikuta wewe ni mmoja wa matajiri fulani hivi ndani ya miaka 5.

Usishinde JF kupiga soga tu.

Hukuelewa swali na umeshindwa kuuliza.

Mengine naomba nikujibu hapa chini japo hukuelewa swali langu.
Inaonekana unaishi kinadharia sana bila vitendo.

Hoja yako ya kuwa na maeneo chalinze au bagamoyo inaonyesha kabisa unaamini kwenye nadharia na hujui mambo vipi yanakwenda.Ingekuwa rahisi hivyo kuwa na wawekezaji na kiwanda kikajengwa bila shaka ungekuwa na viwanda vingi sana ukanda huo na ungekuwa mmoja wa mabilionea Tanzania maana huko maeneo bado ni bei rahisi sana kuliko maelezo na kama huna uwezo huo basi hukupaswa kuandika ulichoandika. Ingekuwa pia ni rahisi hivyo basi watanzania wengi sana tungekuwa matajiri maana unaamka tu unatafuta muwekezaji anakuja anakujengea kiwanda tayari rahisi tu kama hivyo maana eneo kubwa Tanzania liko wazi na marofa tu Tanzania wanamiliki maelfu ya maekari.

Hoja yako bado inaonyesha unaishi kinadharia na hujui mambo yanaendaje. Pia inaonyesha umesoma sana shule lakini huna exposure wala experience ya hicho ulichokariri, Recycling plant ya makaratasi unajua inauzwaje mpaka inaanza kazi na mtaji wa kukusanya hayo makaratasi harafu ulinganishe na faida yake that is business sio ndoto, Watanzania wangapi wanaweza kumudu??

Kupiga Soga JF ni vile tu hujui maisha ya kila unayemwita mpiga soga humu wakati wewe mwenyewe ni member humu.

Hayo mengine ya Fly over uko sawa upande wa nadharia maana hilo swali hata mtoto std seven anaweza kujibu vizuri mno.. Unachotakiwa kujua tu tunatakiwa tuwe nazo nyingi sana Dar hapo na kwenye miji mingine mikubwa na ile inayokua ndio tujipigie makofi sio kitu cha ajabu sana..
 
Kivuko kilichopinduka saa nane mchana nani wa kufika saa 2 usiku akawa bado hai uko chini ya maji?
Mtu amewahi kukaa kwenye tumbo la samaki kwa siku tatu na hakufa! Wewe sijui ukoje!!!
 
Mkuu sema unataka siasa nyepesi.Soma mwanzoni mwa hii thread wameeleza ni kiasi gan.

Mkuu ninafahamu ninachouliza. Aliyeleta huu uzi anatumia ID fake yeye kasema mradi ni wa 92b, rais anasema mradi ni 110b+. Sasa hapo tushike lipi? Jana umenzishwa uzi mwingine unasema flyover hiyo imesaidia kwani taifa lilikuwa linapoteza 400b@month, leo rais anasema ni 400b@year. Sasa katika mazingira haya tumsikilize rais au tuamini hizi id fake humu ndani?
 
Mkuu ninafahamu ninachouliza. Aliyeleta huu uzi anatumia ID fake yeye kasema mradi ni wa 92b, rais anasema mradi ni 110b+. Sasa hapo tushike lipi? Jana umenzishwa uzi mwingine unasema flyover hiyo imesaidia kwani taifa lilikuwa linapoteza 400b@month, leo rais anasema ni 400b@year. Sasa katika mazingira haya tumsikilize rais au tuamini hizi id fake humu ndani?
Huyo aliyesema 400b kwa mwezi nafikir alikosea tu ila usahihi ni kwa mwaka na hii ni kwa Dar nzima.mwanzo umesema Rais hajataja kiwango saiz unasema kasema 110+.Nikianza nawewe, usahihi wa arguments zako ni upi?
 



Tulikotoka

Ujenzi wa daraja hilo lililopewa jina la Mfugale ulioanza miaka miwili iliyopita umegharimu Sh bilioni 92 hadi kukamilika kwake, huku Serikali ya Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) likichangia Sh bilioni 26. Jina la Mfugale limetokana na jina la Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads), Patrick Mfugale, ambaye Rais Magufuli alisema amekuwa na mchango mkubwa katika ujenzi wa miundombinu nchini na kumpa heshima ya kulitunuku daraja hilo jina lake.

Mkataba wa ujenzi wa daraja hilo, ulisainiwa Oktoba 15, mwaka 20 1 5 kati ya Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads) na Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction Co. Ltd. Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 2 asubuhi huku akiwataka wananchi, viongozi wa siasa kutoka vyama mbalimbali kujitokeza kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi huo wenye historia ya kipekee nchini.


View attachment 879144

Rais Magufuli amewasili katika eneo hilo zinapokutana barabara za Mandela na Nyerere na amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

RC Makonda

Makonda wakati anamkaribisha Rais amemsifu na kumwambia kuwa ujenzi wa fly-over hiyo utaondoa usumbufu wa msongamano wa barabarani na kusaidia watu kuwahi maofisini, majumbani na hata Airport

"Tumewaalika wabunge wote wa Dar katika Uzinduzi wa ‘Flyover’ ya Mfugale ila Wabunge wa Kawe, Ubungo na Kibamba hawajaja... aaah!

Ndoa za wengi zilitetereka kutokana na foleni ya TAZARA, wengine walidanganya kumbe walikuwa ‘guest’ tu

Daraja la Nyerere la Kigamboni kwa sasa linaingiza takribani Tsh. Milioni 800 kwa mwezi"

Pia amemuomba Rais afanye ziara katika Mkoa wa Dar kwani wanahitaji sana ziara hiyo na wanaona wivu anapokuwa katika mikoa mingine na kupiga picha na wananchi

Mkurugenzi Mtendaji TANROADs

Mwaka 2008, Tanzania iliandaa ‘Master Plan’ ya kupunguza msongamano jijini Dar. 2013 Japan wakajitokeza kuwa watatusaidia kujenga daraja hili; 2014 ilitangazwa tenda! Wazabuni walikuja na gharama kubwa

Japan iliongeza ufadhili hadi Bilioni 103 mwaka 2015 Machi, Mkandarasi mmoja alikuja lakini gharama zake zilikuwa mara mbili zaidi. Tulifanya ‘Selective Tendering’ ambapo mkandarasi aliyejenga daraja hili alipatikana

Daraja hili limejengwa kwa nguzo kubwa 26; zimekaa juu ya Piles 133. Daraja lina urefu wa zaidi ya km 1. Linaweza kubeba tani 180 kwa wakati mmoja. Daraja hili linaweza kutumika kwa zaidi ya miaka 100. Limejengwa kwa jumla ya Sh. Bilioni 92

Tunao mkakati wa kujenga BRT ya kutoka mjini(CBD) hadi Gongo la Mboto katika awamu ya 3

Balozi wa Japan

Naamini watanzania wote wamefurahi kuona Flyover ya kwanza nchini Tanzania. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Nafarijika kuwa nikiwa narudi Japan nitatumia ‘Mfugale Flyover’

Eng. Ninatubu Lema(ERB)

Mhandisi Patrick Aaron Lipilima Mfugale ametumikia taaluma ya Uhandisi kwa miaka 41
- Alizaliwa Ifunda, Iringa na alikamaliza Sekondari mwaka 1975. Alipata 1st Degree nchini India, Masters nchini Uingereza
- Aliajiriwa Wizara ya Ujenzi 1977

Mfugale ametumia muda wake mwingi wa kazi kama Mtaalamu wa Madaraja. Alibuni daraja la Malagarasi; ameshiriki ktk ujenzi wa madaraja ya Mkapa, Umoja, Rusumo, Kikwete, Nyerere, Mto Sibiti, Kilombero na mengine mengi (zaidi ya 1,400 nchini)

Mhandisi Patrick Mfugale ni Mtendaji Mkuu wa TANROADS; leo atapata heshima kubwa sana kwa Flyover ya kwanza Tanzania kupewa jina lake!

Elias J. Kwandikwa

Mradi huu jumla umegharimu Bilioni 106. Serikali ya Tanzania imegharimia kodi zote. Daraja hili litapunguza msongamano jijini Dar. Toka Flyover imeanza kutumika, msongamano eneo la TAZARA umepungua kwa kiwango kikubwa

Miradi inayotarajiwa jijini Dar kwa kushirikiana na JICA:
> Upanuzi wa barabara ya Morocco - Mwenge
> Ujenzi wa Daraja la Gerezani (Kariakoo)

Rais Magufuli

Natoa pole kwa familia zilizoondokewa na wapendwa wao kufuatia ajali ya #MVNyerere na kuwaombea majeruhi uponyaji wa haraka. Nawashukuru watanzania kwa mshikamano walioonyesha

Ajali hii ya #MVNyerere iwe funzo kwetu. Ajali kama hizi zinaepukika, na zikitokea basi madhara yake yanaweza kuwa madogo kama tukipata funzo kwa kilichotokea

Nawapongeza Wizara ya Ujenzi, TANROADS na Wahandisi washauri kwa kusimamia ujenzi wa #MfugaleFlyover. Daraja limegharimu Bilioni 106.65; Japan wamechangia kiwango kikubwa cha pesa hii, ni marafiki wa kweli kwenye masuala ya maendeleo

Nampongeza Mbarawa ambaye alikuwa Waziri wa Ujenzi wakati ujenzi wa #MfugaleFlyover unaanza

Nakumbuka wakati Daraja la Umoja linaandaliwa kujengwa, nilimwita Mfugale anisaidie design ya Daraja hilo; nilipoipeleka kwa marais wa Tanzania na Msumbiji, ikapitishwa. Wakati wa uzinduzi wala hakutambulishwa

Mwaka 2008 Mfugale na mwenzake walipewa maagizo wakayakataa, Katibu Mkuu wa wakati huo aliwaokoa; mwenzake (marehemu Mjungi) alijiua kwa kujipiga risasi lakini Mfugale alivumilia. Ndo gharama ya kusimamia maadili

Ujenzi wa Flyover ya Ubungo itagharimu Bilioni 247. Itakuwa flyover ya aina yake kwa hapa Dar es Salaam! Wazaramo watasema ‘Ina ghorofa 3’

Tunajenga barabara ya njia 6 kutoka Kimara kwenda Kibaha kwa Sh. Bilioni 140 na fedha zote zinatolewa na Serikali ya Tanzania. Kutakuwa pia na njia ndogo 2 (service road). Bomoabomoa ya Kimara ilizingatia sheria!

Katika #MfugaleFlyover, nataka zifungwe kamera kote! Kazi hii ianze mara moja. Hatutaki watu wajiue hapa. Na madaraja mengine yote yatakayojengwa yawekewe kamera

Kwa kazi alizozifanya Eng. Mfugale, Flyover hii ilistahili kuitwa jina lake. Hakupendelewa, ni haki yake. Wataalamu wengine wamuige!

Gharama za umeme hapa nchini ni kubwa mno. Ni kikwazo katika ushindani wa viwanda. Bila umeme wa uhakika, viwanda ni ndoto!

Naomba flyover ya Gerezani ifanyiwe kazi ambayo tayari hadi tenda yake imeshatangazwa

Nawaomba Japan pia waikumbuke barabara ya Morocco-Mwenge waliyoahidi, imechukua muda mrefu!

Baadhi ya mikwamo hapa nchini imeletwa na wataalam ambao ni watanzania wenzetu! Wataalam wetu walipendekeza vyoo vya mradi wa Stiegler's Gorge vijengwe kilomita 10 toka eneo la mradi...

Miradi hii inaumiza baadhi ya watu. Tusitumike kukwamisha maendeleo ya watanzania. Yapo mengi tunayaweza kwa fedha zetu. Fedha za kujenga Stiegler's Gorge zipo!

Hatuwezi kuingia Uchumi wa Kati wakati tuna umeme unaokatikakatika. Hatuwezi kwenda huko bila kuwa na Flyovers, miundombinu ya Reli n.k. Maendeleo hayana chama!

Sijasema wapinzani wote waje, ila wale wanaoelemewa na mizigo. Wakija tutawapokea kwa mikono miwili (akimtolea mfano Waitara)

Nawapongeza sana wana Dar es Salaam kwa mshikamano wenu. RC Makonda ameomba nifanye ziara. Nitafanya hivyo, msiwe na wasiwasi nitawatembelea

Rais Magufuli kuzindua Flyover ya TAZARA. Yamaliza Foleni iliyokuwa ikisababisha hasara ya Tsh. Bilioni 400 kwa Mwezi - JamiiForums

Barabara ya Njia sita yaiva: Baada ya bomoabomoa, ujenzi waanza kwa kasi Kimara - JamiiForums
Kwa mujibu wa maelezo ya mtoa mada,Mkurugenzi mtendaji wa Tanroads anadai gharama za daraja ni bilion 92,kwenye maelezo ya Rais ametaja gharama ni bilioni 106 ndugu mtoa mada hebu hakiki taarifa zako kwanza au ni mimi nimeshindwa kuelewa.
 
Huyo aliyesema 400b kwa mwezi nafikir alikosea tu ila usahihi ni kwa mwaka na hii ni kwa Dar nzima.mwanzo umesema Rais hajataja kiwango saiz unasema kasema 110+.Nikianza nawewe, usahihi wa arguments zako ni upi?

Misuli pitia post yangu vizuri, nimesema rais kataja mradi mzima ni kiasi gani, lakini sio Japan kiasi gani au Tanzania kiasi gani. Unasema niangalie post namba moja. Angalia kiwango anachotaja huyo Elias Kuandikwa anataja kiasi gani.
 
Back
Top Bottom