Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalolitafuta watalipataSiasa za Africa ni za kufa na kupona, sasa kama anakosa cwampeleke mahakamani, lijulikani. Huyu mtu akifia huko c wanahatarisha machafuko nchi nzima, watznia wengi matumaini yao yako kwenye Mbowe sio chadema.
Natamani mama Samia Suluhu Hassan angekuwepo JamiiForums halafu aisome hii comment yako yenye lifespan ya miaka trillion naneAta Mbowe wakimuua wakae wakijua madai ya katiba yapo palepale na
Huwezi kuua upinzani kwa kumuua MTU
Never!!
Hakuna machafuko yeyote yatatokea kwa kuwa Mtanzania wa kawaida mpaka sasa hivi hajui hata kama Mbowe amekamatwa kwa tuhuma za Ugaidi. Watanzania wanalia na Tozo na kujadili ushindi wa Simba SportswaSiasa za Africa ni za kufa na kupona, sasa kama anakosa cwampeleke mahakamani, lijulikani. Huyu mtu akifia huko c wanahatarisha machafuko nchi nzima, watznia wengi matumaini yao yako kwenye Mbowe sio chadema.
Gaidi wanataka awe mwendazake?Ata Mbowe wakimuua wakae wakijua madai ya katiba yapo palepale na
Huwezi kuua upinzani kwa kumuua MTU
Never!!
Kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, kuobewa, ndio kitu gani huko CCM?Gaidi mbowe hapaswi kuobewa huruma.
Gaidi anapaswa kunyongwa
ACT Wazalendo msijidanganyeHakuna machafuko yeyote yatatokea kwa kuwa Mtanzania wa kawaida mpaka sasa hivi hajui hata kama Mbowe amekamatwa kwa tuhuma za Ugaidi. Watanzania wanalia na Tozo na kujadili ushindi wa Simba Sports
Kuwa na akiba ya maneno.Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Weka official document, halafu tuangalie tarehe ni lini Polisi wa CCM waliposema wamepekuwa nyumba yake DAR es SalaamMbona jamaa wa ufipa walisema hawajui kamanda gaidi alipo?
Mama anaupiga mwingiView attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Nakuunga mkono.Tunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.
Niweke ya nini?Weka official document,...
Ya Magonjwa Mtambuka yanayotesa fahamu na utashi wakoNiweke ya nini?