Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Daima Mungu yuko upande wa haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daima Mungu yuko upande wa haki
Haipo.Ya Magonjwa Mtambuka yanayotesa fahamu na utashi wako
Sasa mkuu kama unajua cha kufanya ili kupambana na ccm si uanzishe chama upambane nayo?Tunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.
Which World!? Hahahaha!!The World is looking kwa ukaribu saaana......
Itakua Corona hiyo wamuwai na fukizoo la nguvu!!View attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Kwamba matumaini yao yapo kwa Mbowe na sio CHADEMA, kwahiyo Ikitokea amekufa kama ilivyokawaida ya binadamu wote hakuna kitu kitakachoendelea licha ya kuwepo CHADEMA?Siasa za Africa ni za kufa na kupona, sasa kama anakosa c wampeleke mahakamani, lijulikani. Huyu mtu akifia huko c wanahatarisha machafuko nchi nzima, watznia wengi matumaini yao yako kwenye Mbowe sio chadema.
Ila watu .😂😂😂Ewe muumba saidia mkeka utiki.
Huyo ni ACT Wazalendo, CCM BSasa mkuu kama unajua cha kufanya ili kupambana na ccm si uanzishe chama upambane nayo?
au mlango wa kuanzisha vyama ullishafungwa?
Kwani nimesema Mimi?Kuwa na akiba ya maneno.
Mbunge mmoja?Mfupa ulimshinda Magufuli mama anapambana nao,atang'oka meno bure.
Rejea maandishi yako.Kwani nimesema Mimi?
Alimuua Chacha Wangwe na wote waliotaka uenyekiti wake uwe na ukomo ili wakiimba demokrasia wawe mfano wa hiyo demokrasia. Kumbe hawakujua ni gaidi na muuaji.Alimuua bibi yako?
Wengi mnaongea sumu kwakua hamyajui mazingira ya mahabusu na gereza za bongo, Kiufupi ukiingia kule kama una afya ambayo sio thabiti aidha una kagonjwa makubwamakubwa ni lazima uugue.Mama anaupiga mwingi
Sumu tayari nini??
kuna mambo mengine ni kama ya kujitakia.View attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.