Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uoga wenu tu! Hakuna mtu wa kumuua MboweAta Mbowe wakimuua wakae wakijua madai ya katiba yapo palepale na
Huwezi kuua upinzani kwa kumuua MTU
Never!!
Vipi? Kwanini usiandamane kwenda kumtoa?The World is looking kwa ukaribu saaana......
Keyboard worrior[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara si uende ukaitoe ukiwa pale Central?SSH rais , I speek with confidence, na rais wetu ndio, ni kiongozi WETU ndio, ila WENDA Kuna kitu wakitaka TOKA KWA tz na wakilazimisha,au Kama hujui Basi wapo wabaya wako ndani ya serikali yako wanakitaka ili timiza malengo yao,
Hili la mwenyekiti wa chama, ni bom kubwa Sana kwako,
Kumbuka mwamchukia mh lissu, ila kitendo Cha Yeye kusema haoni mh Mbowe endelea kaa kwenye kuta nene mpaka kufika jmosi ijayo imewatia moyo Sana wapenzi na wafuasi wa CHADEMA, NA SIO KWAMBA WAMEPUUZA,
LIKITOKEA LA KUTOKEA KWA MH MBOWE, AMINI NAKWAMBIA, UTAJIBEBA, WATU WANA HASIRA,NIKIWEMO MIE
MUACHIENI MWENYEKITI MARA MOJA NA SIO OMBI, NI LAZIMA wakati sio mzuri Sana kwako , japo watakwambia 47 mbatizaji ni mjinga flani ,it's ok ,ila nakwambia
Mungu ibariki tz
Labda coronaKigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Shetani mkubwa weweKuugua kwa gaidi ni nafuu kwa watanzania
Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Anae mwambia mbowe asiombe dhamana wala asiongee yeye huko anakula mvinyo na viti moto kisha analala na familia yakeView attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Ushauri kuntu kabisa hizi siasa za kiuharakati raia wamezichoka wanahitaji kuja na strategy mpya za kuelewekaTunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.
HahahahaKwanini Mbowe kaamua kuwa Gaidi baada ya nchi kuongozwa na Rais mwanamke?
Fikiria jinsi watakavyofurahi wale walioskia kuwa CDM wanashangilia kifo cha JPM miezi minne hapo nyuma, afu njoo uandike juu ya wananchi gani unaowazunguzia.SSH rais , I speek with confidence, na rais wetu ndio, ni kiongozi WETU ndio, ila WENDA Kuna kitu wakitaka TOKA KWA tz na wakilazimisha,au Kama hujui Basi wapo wabaya wako ndani ya serikali yako wanakitaka ili timiza malengo yao,
Hili la mwenyekiti wa chama, ni bom kubwa Sana kwako,
Kumbuka mwamchukia mh lissu, ila kitendo Cha Yeye kusema haoni mh Mbowe endelea kaa kwenye kuta nene mpaka kufika jmosi ijayo imewatia moyo Sana wapenzi na wafuasi wa CHADEMA, NA SIO KWAMBA WAMEPUUZA,
LIKITOKEA LA KUTOKEA KWA MH MBOWE, AMINI NAKWAMBIA, UTAJIBEBA, WATU WANA HASIRA,NIKIWEMO MIE
MUACHIENI MWENYEKITI MARA MOJA NA SIO OMBI, NI LAZIMA wakati sio mzuri Sana kwako , japo watakwambia 47 mbatizaji ni mjinga flani ,it's ok ,ila nakwambia
Mungu ibariki tz
Machafuko gani? Siku ya 7 leo analiwa na mbu na nchi imetulia tulii, hamna hata mtu mmoja analeta fyoko. Hivi Mnyika yupo kweli?Siasa za Africa ni za kufa na kupona, sasa kama anakosa c wampeleke mahakamani, lijulikani. Huyu mtu akifia huko c wanahatarisha machafuko nchi nzima, watznia wengi matumaini yao yako kwenye Mbowe sio chadema.
Kwa nini usianzishe chama chako ili hizo mbinu zako nzuri uzitumie?Tunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.