Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

katoka kumzika kakaake kwa covid 19 kaenda kufanya fujo mwanza acha covid imuonyeshe kazi
 
Kama mbowe ndie alimuua Màgufool watwambie ili hata wakisema mbowe ni gaidi tuwe tunawaelewa,ule mfumo wa màgufool wa kuwaziba watu mdomo inaonekana ccm ndio weurasmisha kuwa mfumo wao rasmi

Na hivi mzanzibar ndio kashika makali watanganyika tujiandae kutawaliws na huyu dikteta wa kwanza mwanamke Afrika
 
Waongea kibinadam Sana mkuu,ok mna spider(vifaru vya kuogelea) Ak 47, mabom ya machozi, magari ya washa washa, secret house for torture, and so far, ila rejea history ya vita ya majimaji, then njoo na comment yako,
Keyboard worrior[emoji23][emoji23]
 
SSH rais , I speek with confidence, na rais wetu ndio, ni kiongozi WETU ndio, ila WENDA Kuna kitu wakitaka TOKA KWA tz na wakilazimisha,au Kama hujui Basi wapo wabaya wako ndani ya serikali yako wanakitaka ili timiza malengo yao,

Hili la mwenyekiti wa chama, ni bom kubwa Sana kwako,

Kumbuka mwamchukia mh lissu, ila kitendo Cha Yeye kusema haoni mh Mbowe endelea kaa kwenye kuta nene mpaka kufika jmosi ijayo imewatia moyo Sana wapenzi na wafuasi wa CHADEMA, NA SIO KWAMBA WAMEPUUZA,

LIKITOKEA LA KUTOKEA KWA MH MBOWE, AMINI NAKWAMBIA, UTAJIBEBA, WATU WANA HASIRA,NIKIWEMO MIE

MUACHIENI MWENYEKITI MARA MOJA NA SIO OMBI, NI LAZIMA wakati sio mzuri Sana kwako , japo watakwambia 47 mbatizaji ni mjinga flani ,it's ok ,ila nakwambia

Mungu ibariki tz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara si uende ukaitoe ukiwa pale Central?
 
CHADEMA kimeueleza umma kuwa kinayo taarifa kuwa Mheshimiwa Freeman Mbowe ambaye ndiye Mwenyekiti wa Chama hicho ameugua akiwa Mahabusu ya Oysterbay, Dar es Salaam na kwamba Polisi wamekataa kumpeleka Hospitali. Kama taarifa hizo ni za kweli kuwa Mheshimiwa Mbowe anaumwa, tunaona sio utu kukataa kumpeleka Hospitali. Sisi Askofu Mwamakula tunalisihi Jeshi la Polisi limpeleke Mheshimiwa Mbowe Hospitali na liueleze umma kuhusu hali ya afya ya Mheshimiwa Mbowe. Wasipofanya hivyo, tataieleza dunia kuhusu hilo na hatutaishia hapo, bali tutachukua hatua zaidi na kuushitaki kwa Mungu Uongozi wa Jeshi la Polisi

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao

Hivi Kwanini inakuwa rahisi kwa wengine kuhusiwa kuugua corona. Serikali haiwezi kuua kirahisi hivyo. Tena kwa mpenda utamu Kama Bwana DJ. Angepelekewa Chambo na wangemmaliza huku wewe unaona Ajali.
 
Kwanini Mbowe kaamua kuwa Gaidi baada ya nchi kuongozwa na Rais mwanamke?
 
Si mlisema hamtamuwekea mawakili? Mmeshabadili gia angani mara hii kama kawaida yenu?
 
View attachment 1868936

Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Anae mwambia mbowe asiombe dhamana wala asiongee yeye huko anakula mvinyo na viti moto kisha analala na familia yake
Sasa wacha na yeye asiongee aone mwisho wake na maugonjea yake hayo.
Hata hivyo amechoma chanjo kwa hiyo asiwe na wasiwasi.
 
Tunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.
Ushauri kuntu kabisa hizi siasa za kiuharakati raia wamezichoka wanahitaji kuja na strategy mpya za kueleweka
 
SSH rais , I speek with confidence, na rais wetu ndio, ni kiongozi WETU ndio, ila WENDA Kuna kitu wakitaka TOKA KWA tz na wakilazimisha,au Kama hujui Basi wapo wabaya wako ndani ya serikali yako wanakitaka ili timiza malengo yao,

Hili la mwenyekiti wa chama, ni bom kubwa Sana kwako,

Kumbuka mwamchukia mh lissu, ila kitendo Cha Yeye kusema haoni mh Mbowe endelea kaa kwenye kuta nene mpaka kufika jmosi ijayo imewatia moyo Sana wapenzi na wafuasi wa CHADEMA, NA SIO KWAMBA WAMEPUUZA,

LIKITOKEA LA KUTOKEA KWA MH MBOWE, AMINI NAKWAMBIA, UTAJIBEBA, WATU WANA HASIRA,NIKIWEMO MIE

MUACHIENI MWENYEKITI MARA MOJA NA SIO OMBI, NI LAZIMA wakati sio mzuri Sana kwako , japo watakwambia 47 mbatizaji ni mjinga flani ,it's ok ,ila nakwambia

Mungu ibariki tz
Fikiria jinsi watakavyofurahi wale walioskia kuwa CDM wanashangilia kifo cha JPM miezi minne hapo nyuma, afu njoo uandike juu ya wananchi gani unaowazunguzia.

Ukweli ni kwamba,hata akifa wapo wataofurahi na wapo watakao huzunika.
 
Siasa za Africa ni za kufa na kupona, sasa kama anakosa c wampeleke mahakamani, lijulikani. Huyu mtu akifia huko c wanahatarisha machafuko nchi nzima, watznia wengi matumaini yao yako kwenye Mbowe sio chadema.
Machafuko gani? Siku ya 7 leo analiwa na mbu na nchi imetulia tulii, hamna hata mtu mmoja analeta fyoko. Hivi Mnyika yupo kweli?
 
K
Tunamtakia apone na akabiliane na hizo tuhuma. By any means CDM inaendeshwa kiharakati na matukio. Kama Mbowe akishinda hizo tuhuma nawashauri CDM tafuteni watu mabingwa wa mikakati ya Siasa wawaaandikie ni namna gani mnaweza kupambana na CCM katika utawala wa Rais SSH.
Kwa nini usianzishe chama chako ili hizo mbinu zako nzuri uzitumie?
 
Back
Top Bottom