Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

Nilisha malizana na wewe, binafsi kwenye haki nipo mstali wa mbele Sana,that's ,waweza uliza Mwagama, akiwa naibu wa waziri wa elim, prof shukuru kawambwa ,kunakipindi nilitaka mchakaza makofi katibu mkuu wao wizara ya elim karibu na ikulu yao hapo dar KWA majibu ya ovyo na ujinga wa wa ovyo, na siku Iyo J.Mwagama alikua anaenda panda ndenge elekea Zanzibar na kimkoba chake,ni mda umepita,

Why nyama za mwili zinidanganye wakati nitakufa, ? Haki kwangu ni kipaumbele Cha KWANZA mengine yanafuatia, that's Hata nyumbani nikifanya Jambo ambalo sio sawa KWA vijana wangu na wakaja na hoja lazima Kama wapo sawa niwaombe msamaha,na wanajua kwamba nyumbani kwao ni sehem ya hoja sio udictator kisa baba yao,big no
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara si uende ukaitoe ukiwa pale Central?
 
Taifa KWANZA mengine badae, WENDA usiielewe nini maana ya maneno haya wenye akili wataelewa
Fikiria jinsi watakavyofurahi wale walioskia kuwa CDM wanashangilia kifo cha JPM miezi minne hapo nyuma, afu njoo uandike juu ya wananchi gani unaowazunguzia.

Ukweli ni kwamba,hata akifa wapo wataofurahi na wapo watakao huzunika.
 
Nilisha malizana na wewe, binafsi kwenye haki nipo mstali wa mbele Sana,that's ,waweza uliza Mwagama, akiwa naibu wa waziri wa elim, prof shukuru kawambwa ,kunakipindi nilitaka mchakaza makofi katibu mkuu wao wizara ya elim karibu na ikulu yao hapo dar KWA majibu ya ovyo na ujinga wa wa ovyo, na siku Iyo J.Mwagama alikua anaenda panda ndenge elekea Zanzibar na kimkoba chake,ni mda umepita,

Why nyama za mwili zinidanganye wakati nitakufa, ? Haki kwangu ni kipaumbele Cha KWANZA mengine yanafuatia, that's Hata nyumbani nikifanya Jambo ambalo sio sawa KWA vijana wangu na wakaja na hoja lazima Kama wapo sawa niwaombe msamaha,na wanajua kwamba nyumbani kwao ni sehem ya hoja sio udictator kisa baba yao,big no
Kwa huu uandishi wako,sio kwamba unatudanganya kweli?
 
Hivi kwa nini màgufool hakumuua Mbowe ila akawa anaruka ruka na Lissu
 
Hivi kwa nini màgufool hakumuua Mbowe ila akawa anaruka ruka na Lissu
 
Yani mama samia nampenda sana.Awe makini isije ikatokea akapata shida ya watu kufia mikononi mwake, awaache hawa watu.Awakataze pia wasaidizi wake kuhusu kuwakamata hawa watu.Watamsababishia shida,kwani mikono yake ni misafi haina damu.


Mungu mbariki mama Samia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mikwara si uende ukaitoe ukiwa pale Central?
Nikafika MWANZA ,Mnakimbiza mwenyekiti dar mpa kesi ya UGAIDI ,safari hii Mtapigwa neno mpaka mvunjike viuno na mtajua wapo walio duniani sio KWA bahati mbaya, ila Wanayo connection , ya kweli na yule anae wapa,au Alie wapa pumzi
 
awamu ya 6 inaheshimu sana utawala wa sheria, ndio maana leo hii Mbowe kakamatwa na kisha atafikishwa mbele ya Mahakama kukabili tuhuma zake za Ugaidi, Hakika huu ndio utawala wa sheria.
hakuna aliye juu ya sheria, Mbowe pia hawezi kuwa juu ya sheria za Nchi.
Utawala wa Sheria ni kuviacha vyombo vyetu vyote kwa maana; Jeshi la Polosi, Mahakana, Takukuru, Magereza, n.k kufanya kazi zake bila kuingiliwa au kushinikizwa.., hivyo wafuasi wa chadema au wanaharakati au wanasiasa au vyombo vya habari au mitandao havipaswi kushinikiza Polisi n.k ktk kutekeleza majukumu yao.
 
Kwa huu uandishi wako,sio kwamba unatudanganya kweli?
Sawa ,jf aliekwambia Kuna ushindani wa kuandika nani? Watu wepesi akilini,kiuchumi mba shida Sana, mkipata kaupenyo wa kupata vijisenti , mnang,ang,ania Kama kupe ,

Sikia maisha mazuri yapo ACHA JIPENDEKEZA KWA maisha hatarishi hata shindwa kuona ufalme wa mbingu,
 
Sawa ,jf aliekwambia Kuna ushindani wa kuandika nani? Watu wepesi akilini,kiuchumi mba shida Sana, mkipata kaupenyo wa kupata vijisenti , mnang,ang,ania Kama kupe ,

Sikia maisha mazuri yapo ACHA JIPENDEKEZA KWA maisha hatarishi hata shindwa kuona ufalme wa mbingu,
Me sikuelewi kabisa, nasoma kwa makini lakini naambulia patupu.
 
Hao mawakili hamna mawasiliano nao, au kuna umuhimu gani wa hiyo aya?
Ni sehemu ya taarifa kwa umma, au siyo?

Lakini nami ningependa kuongeza jingine: Hivi CHADEMA hawawezi wakampeleka na daktari wao kuona hali aliyo nayo mgonjwa, kama sehemu ya ushahidi wao, au hilo litapunguza uhitaji wa mgonjwa kupelekwa hospitali? Hili ni swali la kutaka kujua athari au uzuri wa kufanya hivyo.
 
Yani mama samia nampenda sana.Awe makini isije ikatokea akapata shida ya watu kufia mikononi mwake, awaache hawa watu.Awakataze pia wasaidizi wake kuhusu kuwakamata hawa watu.Watamsababishia shida,kwani mikono yake ni misafi haina damu.


Mungu mbariki mama Samia
Awaache tu sio?
 
Hivi Kwanini inakuwa rahisi kwa wengine kuhusiwa kuugua corona. Serikali haiwezi kuua kirahisi hivyo. Tena kwa mpenda utamu Kama Bwana DJ. Angepelekewa Chambo na wangemmaliza huku wewe unaona Ajali.
Hujui unachokiongea
 
Hivi Kwanini inakuwa rahisi kwa wengine kuhusiwa kuugua corona. Serikali haiwezi kuua kirahisi hivyo. Tena kwa mpenda utamu Kama Bwana DJ. Angepelekewa Chambo na wangemmaliza huku wewe unaona Ajali.
Hujui unachokiongea
 
Hivyo hivyo, mkuu binadam wote ni sawa ila sio sawasawa, tafakari na chukua zako hamsini, ACHA kuongoza kwenye mitego ya binadam, Mungu ana makusudi ya kumfanya binadam awe Kama alivyo,
Me sikuelewi kabisa, nasoma kwa makini lakini naambulia patupu.
 
Back
Top Bottom