Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

Dar: Freeman Mbowe (CHADEMA) augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay

Hivi kwa nini màgufool hakumuua Mbowe ila akawa anaruka ruka na Lissu
Kifo Cha binadam ,anapanga Mungu tu, ila njia za kifo KWA binadam imebaki kua siri kubwa,na kitendawili ambacho Hakina jibu,

Tangu tulipozaliwa kila mtu namna ya kutoweka inajulikana japo ni siri, that's waweza ona gari linapata ajali ananusulika mtu mmoja,

Au unamfikisha nduguyo hospitali, na siku Iyo kifaa Cha kumsaidi nduguyo kuendelea kuishi unaambiwa hakipo, utabaki sema ni uzembe wa watumishi wa afya kumbe ndivyo ilivyo kwamba atapitia njia hii kuondoka duniani, au Sasa utashangaa Kama kifo Chako hakiko KWA sum, ngongwa gari, pigwa risasi, malaria nk, hutokufa KWA kifo hicho na ndivyo ilivyo mkuu
 
K

Kwa nini usianzishe chama chako ili hizo mbinu zako nzuri uzitumie?
Ni maoni yangu kama Mtanzania kwa Watanzania wenzangu. Chama cha Siasa ni mali ya wanachama hata kama nitaanzisha.

Fact kwamba CHADEMA ilianzishwa na mkwewe Freeman Mbowe, Mzee Edwin Mtei ndiyo inayomharibu Mbowe. Anajiona ni Mwenyekiti wa maisha na Chama ni chake.
 
Maana walianza kwa appreciate namna alivyoruhusu uhuru wa kujieleza, utawala wa Sheria, kufuta makesi ya kubambikiza na kuweka mazingira ya kuvutia wawekezaji.

Tukaona mwisho wa kesi ya Mdude Chadema, kurudi kwa Yusuf Manji na wao akina Mbowe kushinda RUFAA ya kesi ya Akwilina.

Bahati mbaya wakaanza kumshurutisha Rais kuwa akutane nao. Ingawa Rais alikuwa amejipangia ratiba yake ya kukutana na makundi masilahi mbalimbali. Kwenye kundi la vyama vya Siasa walisikika wakisema kuwa Rais akutane na CDM peke yake wao hawatahudhuria akiita vyama vyote kwa pamoja.

Suala la Katiba. Rais alikwisha sema kuwa kwa sasa anashughulikia kupanga uchumi, Katiba isubiri. Wao CDM wanasema hapana tunataka Katiba mpya sasa.

Mikutano ya hadhara. Kimsingi ni halali kikatiba, lakini Rais SSH ameikuta executive order ya kuifungia iliyowekwa na Magufuli. Kwa busara yake akasema ngoja kwanza ajiridhishe kuhusu hiyo mikutano ya hadhara. Lakini CDM hawaja taka kujua Wana deal na Rais muungwana. Wakaamua kupuuza na kuendelea na hiyo mikutano. Kwenye mkutano wa Barccuda wakampandisha yule mtukana matusi maarufu aliyekuwa rumande kuanzia mwaka jana na akawa ametoka recently na akatoa matusi mapya dhidi ya Rais. Kuwa atamnyoa kwa wembe aliomnyolea mtangulizi wake.

Na akina Mbowe hawakumchukulia hatua kumkanya, wakaona ni sawa tu.

Huyu Rais mpole na muungwana, anakubalika sana na wananchi. Ukiweka mkakati wa Siasa za kumvuruga kama Mwendazake CDM mtapoteza kukubalika kwenu na wananchi.
Nilikutana na mmoja wa vijana wa Chadema, msimamo wake ni msimamo wa Chama. Nikamuuliza maoni yako binafsi juu ya ajenda mnayokwenda nayo yapoje? Akabaki na msimamo uleule.

Ulichokiandika nakubaliana nacho kabisa na shukrani umenitanua kifikra zaidi. Miongoni mwa uliyoyaandika kuna dondoo ambazo nilimpatia. Lengo halikuwa kumuuonyesha kuwa siipendi Chadema kama wao kwa sasa wanavyotafsiri ukiwa na mtazamo tofauti na wao kwa ajenda bali ilikuwa ni kumuonyesha hatua mliyopiga Chadema itawapoteza zaidi.

Kingine lugha aliyoitoa Mdude anaweza akashitakiwa na asichomoke. Ukija kwenye uwanja wa uhalisiya vyama vya upinzani vilibanwa kila kona na rais aliyepita mpaka wengine wakakimbia nchi. Kwa hili baina ya Chadema na rais aliyepita ni nani aliyemnyoa mwenzake?

Baada ya hayo rais alifariki. Ashakum si matusi kwa wengine kwao ilitafsiriwa ni ahueni. Ukipima mizani ya kiuhalisiya siasa ikiwekwa pembeni alichokisema Mdude kinafahamika ni kipi! Yaani wanajitafutia matatizo ambayo ni rahisi kukwepeka.

Mwisho; nakuunga mkono, Mbowe akili yake imeshafikia mwisho wa jinsi ya kupambana na CCM. Waombe ushauri kwa wengine ili wawasukie mikakati. Kete hii waliyoisogeza wengi wa raia wanawaona wana vurugu, watu wanaopigania mambo yao binafsi .
 
Swali?
  1. Akifa mbowe katika mikono ya Police familia,wanachama na mataifa watakuwa na maswali mengi Juu ya Serikali ya SSH.
  2. Familia wakiakataa mwili wa Mbowe nani Atauchukua?
Unakijua kitengo cha mazishi cha manispaa? Ndio kazi yao kuzika waso na kwao.

Nawashauri acheni siasa za design hii hazisaidii
 
Nilikutana na mmoja wa vijana wa Chadema, msimamo wake ni msimamo wa Chama. Nikamuuliza maoni yako binafsi juu ya ajenda mnayokwenda nayo yapoje? Akabaki na msimamo uleule.

Ulichokiandika nakubaliana nacho kabisa na shukrani umenitanua kifikra zaidi. Miongoni mwa uliyoyaandika kuna dondoo ambazo nilimpatia. Lengo halikuwa kumuuonyesha kuwa siipendi Chadema kama wao kwa sasa wanavyotafsiri ukiwa na mtazamo tofauti na wao kwa ajenda bali ilikuwa ni kumuonyesha hatua mliyopiga Chadema itawapoteza zaidi.

Kingine lugha aliyoitoa Mdude anaweza akashitakiwa na asichomoke. Ukija kwenye uwanja wa uhalisiya vyama vya upinzani vilibanwa kila kona na rais aliyepita mpaka wengine wakakimbia nchi. Kwa hili baina ya Chadema na rais aliyepita ni nani aliyemnyoa mwenzake?

Baada ya hayo rais alifariki. Ashakum si matusi kwa wengine kwao ilitafsiriwa ni ahueni. Ukipima mizani ya kiuhalisiya siasa ikiwekwa pembeni alichokisema Mdude kinafahamika ni kipi! Yaani wanajitafutia matatizo ambayo ni rahisi kukwepeka.

Mwisho; nakuunga mkono, Mbowe akili yake imeshafikia mwisho wa jinsi ya kupambana na CCM. Waombe ushauri kwa wengine ili wawasukie mikakati. Kete hii waliyoisogeza wengi wa raia wanawaona wana vurugu, watu wanaopigania mambo yao binafsi .
Chadema haiwezi kufa, ilisha kuwa ni imani ndani ya nafsi za watu ,wapangao kudhuru chadema wataiacha asema bwana
 
Kwani mwenzake Heche anaendeleaje na tatizo lake la changamoto la upumuaji la delta? Huu ni ushahidi tosha kuwa hizo chanjo walizodungwa huko Dubai si cho chote mbele ya huyu virus. Askofu Gwajima kawaambia ukweli.
 
Ata Mbowe wakimuua wakae wakijua madai ya katiba yapo palepale na

Huwezi kuua upinzani kwa kumuua MTU

Never!!
Mbona mlinyanyua viuno juu magufuli alipofariki!!!

Ndio kwanza shughuli imeanza,mama anaupiga mwingi sana na golini kwake kaweka kontena.
 
Mbona mlinyanyua viuno juu magufuli alipofariki!!!

Ndio kwanza shughuli imeanza,mama anaupiga mwingi sana na golini kwake kaweka kontena.
Anakabia juu na nyuma kaweka kontena. Mama aendelee kuwabana hawa jamaa...
 
Wako hatua za mwisho kumuachia hawana cha kumfanya, maji yashazidi unga, aliye stage hii filamu kachemka mapema hata kabla ya cinema kuanza

Ssh hasani hawezi fanya ujinga wa kukamata watu wasio na hatia. Kuna kikundi ndani ya ccm kinatataka kumuharibia samia
 
Sasa anajiita kamanda wakati afya yenyewe tia maji tia maji
 
Back
Top Bottom