Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Sukuma Gang na MATAGA wananyooshwa 😃😃😃Mama anaupiga mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma Gang na MATAGA wananyooshwa 😃😃😃Mama anaupiga mwingi
Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
SSH rais , I speek with confidence, na rais wetu ndio, ni kiongozi WETU ndio, ila WENDA Kuna kitu wakitaka TOKA KWA tz na wakilazimisha,au Kama hujui Basi wapo wabaya wako ndani ya serikali yako wanakitaka ili timiza malengo yao,View attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Yupo sana humu. Sema sheria za JF zinatubana, na sisi wengine si wavunja sheria.Natamani mama Samia Suluhu Hassan angekuwepo JamiiForums halafu aisome hii comment yako yenye lifespan ya miaka trillion nane
Habari itakuwa gaidi awa mwendazake mahabusuMbowe akifia mahabusu ni damage kubwa ambayo Samia kamwe hatorecover nayo, itakuwa too much kwake.
Hatoweza kamwe kusafishika kwa dhulma na uonevu huo!
The World is looking kwa ukaribu saaana......
Akifa dua zitazosomwa zitazidi alizosomewa mwendazake nakwambia.Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Keyboard worrior[emoji23][emoji23]Ata Mbowe wakimuua wakae wakijua madai ya katiba yapo palepale na
Huwezi kuua upinzani kwa kumuua MTU
Never!!
Maana walianza kwa appreciate namna alivyoruhusu uhuru wa kujieleza, utawala wa Sheria, kufuta makesi ya kubambikiza na kuweka mazingira ya kuvutia wawekezaji.Nakuunga mkono.
View attachment 1868936
Mwenyekiti Freeman Mbowe augua akiwa Mahabusu ya Polisi, Oysterbay Dar Es salaam.
Kubwa jinga wewe.Kuugua kwa gaidi ni nafuu kwa watanzania
Huwa mnakuwa na emaginations kubwa kuliko uhalisia wa mambo, alikuwa Rais wa nchi na nchi ikapita leo hii Mbowe ndo aitetemeshe Tz?Mbowe akifia mahabusu ni damage kubwa ambayo Samia kamwe hatorecover nayo, itakuwa too much kwake.
Hatoweza kamwe kusafishika kwa dhulma na uonevu huo!
Kigogo Alitahadhari kuwa watampa sumu ili afe. Naona wameshafanya yao
Hizo dua zisomeni Sasa Ili asijekufa.Akifa dua zitazosomwa zitazidi alizosomewa mwendazake nakwambia.