Dar: Gari 35 zazuiliwa kuendelea na safari stendi ya Magufuli

Dar: Gari 35 zazuiliwa kuendelea na safari stendi ya Magufuli

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mkuu wa Usalama Barabarani Kituo cha Mabasi cha Magufuli, Ibrahim Samwix ameyazuia mabasi 35 kuendelea na safari kutokana na ubovu mbalimbali aliogundua kwenye magari hayo kabla ya safari

Magari hayo hayataruhusiwa hadi yataka tengenezwa kwa kuwa yalikuwa yanahatarisha maisha ya wasafiri

Wito umetolewa kwa wenye magari kuyakagua na kuyatengeneza magari yao mara kwa mara ili kuepuka usumbufu

1619703196502.png
 
Mkuu wa Usalama Barabarani Kituo cha Mabasi cha Magufuli, Ibrahim Samwix ameyazuia mabasi 35 kuendelea na safari kutokana na ubovu mbalimbali aliogundua kwenye magari hayo kabla ya safari

Magari hayo hayataruhusiwa hadi yataka tengenezwa kwa kuwa yalikuwa yanahatarisha maisha ya wasafiri

Wito umetolewa kwa wenye magari kuyakagua na kuyatengeneza magari yao mara kwa mara ili kuepuka usumbufu

View attachment 1767667
Anataka kupandishwa cheo?
 
Hao jamaa hawafanyi kazi yao ipasavyo, basi zote hizo kuzuiliwa siku moja sio issue ndogo.
 
Hao jamaa hawafanyi kazi yao ipasavyo, basi zote hizo kuzuiliwa siku moja sio issue ndogo.

Ukaguzi wa kituoni ni bora zaidi na tofauti na ule wa barabarani


Kick za kitoto sana hizi, ukaguzi haufanyiki hivi? Huwezi kuzuia mabasi 35, ulikua wapi siku zote? Hii routine check up ni full magumashi

Kick tena🤔🤔
Wacha magari yakaguliwe kwa usalama wa wamiliki na raia pia
 
Ukaguzi wa kituoni ni bora zaidi na tofauti na ule wa barabarani




Kick tena🤔🤔
Wacha magari yakaguliwe kwa usalama wa wamiliki na raia pia
Ukaguzi haufanyiki kwa macho please, huyu ni mzembe na ni mhujumu uchumi! Ukaguzi hauko hivyo! Ni jambo jema kufanya ukaguzi ila haufanyiki kwa style hio, huwezi kukagua mabasi 35 kwa masaa, hakuna ukaguzi hapo labda kama anapima oil
 
Ukaguzi haufanyiki kwa macho please, huyu ni mzembe na ni mhujumu uchumi! Ukaguzi hauko hivyo! Ni jambo jema kufanya ukaguzi ila haufanyiki kwa style hio, huwezi kukagua mabasi 35 kwa masaa, hakuna ukaguzi hapo labda kama anapima oil

Kabla ya kuwabeza labda tujue machache...

Kwani walikagua vitu gani haswa?
Na wamefanya ukaguzi kwa masaa mangapi?
Na wakaguzi walikua wangapi?
Walitumia macho peke yake bila vifaa vingine vya ukaguzi?
 
Kabla ya kuwabeza labda tujue machache...

Kwani walikagua vitu gani haswa?
Na wamefanya ukaguzi kwa masaa mangapi?
Na wakaguzi walikua wangapi?
Walitumia macho peke yake bila vifaa vingine vya ukaguzi?
Soma hio tarifa, sikuwabeza nimesema kile ninachokijua! Magari yanatakiwa kukaguliwa na kuna ukaguaji wake! Narudia magari 35 ni mengi sana kukaguliwa kwa muda huo kama anavyoonekana kwenye picha.
 
Back
Top Bottom