Dar: Gari 35 zazuiliwa kuendelea na safari stendi ya Magufuli

Dar: Gari 35 zazuiliwa kuendelea na safari stendi ya Magufuli

Soma hio tarifa, sikuwabeza nimesema kile ninachokijua! Magari yanatakiwa kukaguliwa na kuna ukaguaji wake! Narudia magari 35 ni mengi sana kukaguliwa kwa muda huo kama anavyoonekana kwenye picha.

Nimesoma vizuri kabisa kwamba magari hayo yana matatizo mbalimbali....

Sasa kama yote 35 yana shida yaruhusiwe kwenda yakaue watu au kuteketea kwa sababu tuu ni mengi sana kuzuiwa?

Na ndio maana ma bus yote yanayoenda mkoani yanatakiwa kulala pale ubungo ili yakaguliwe vizuri

Wacha kazi iendelee
 
Soma hio tarifa, sikuwabeza nimesema kile ninachokijua! Magari yanatakiwa kukaguliwa na kuna ukaguaji wake! Narudia magari 35 ni mengi sana kukaguliwa kwa muda huo kama anavyoonekana kwenye picha.
Kwani kukagua matairi na link zake ikiwemo brake inachukua dakika ngapi mkuu? Vitu hivyo ndivyo visababishi vikubwa vya ajali. Hata wewe ukiwa unaanza safari ya mbali ndiyo vitu vya kukagua kabla ya safari. Au unafikiri wanakagua kila kitu? Au hujawahi hata kumiliki gari mkuu??!!
 
Ukaguzi haufanyiki kwa macho please, huyu ni mzembe na ni mhujumu uchumi! Ukaguzi hauko hivyo! Ni jambo jema kufanya ukaguzi ila haufanyiki kwa style hio, huwezi kukagua mabasi 35 kwa masaa, hakuna ukaguzi hapo labda kama anapima oil
Kwani timu ilikuwa na watu wangapi?
 
Nimesoma vizuri kabisa kwamba magari hayo yana matatizo mbalimbali....

Sasa kama yote 35 yana shida yaruhusiwe kwenda yakaue watu au kuteketea kwa sababu tuu ni mengi sana kuzuiwa?

Na ndio maana ma bus yote yanayoenda mkoani yanatakiwa kulala pale ubungo ili yakaguliwe vizuri

Wacha kazi iendelee
Dada achana na huyo mburula hajui kitu. Kukagua gari siyo lazima wakague kila kitu ndiyo maana hata sisi watu wa kawaida huwa tunakagua gari kabla hujaanza safari hasa ndefu. Na wakati tunafundishwa kuendesha gari tulifundishwa vitu vya kucheki kabla ya kuanza safari.
 
Dada achana na huyo mburula hajui kitu. Kukagua gari siyo lazima wakague kila kitu ndiyo maana hata sisi watu wa kawaida huwa tunakagua gari kabla hujaanza safari hasa ndefu. Na wakati tunafundishwa kuendesha gari tulifundishwa vitu vya kucheki kabla ya kuanza safari.

Kakake inabidi kesho baada ya mama wa taifa kuchukua kiti chake tufurahi kidogo🍖🥂🍾
 
Kabla ya kuwabeza labda tujue machache...

Kwani walikagua vitu gani haswa?
Na wamefanya ukaguzi kwa masaa mangapi?
Na wakaguzi walikua wangapi?
Walitumia macho peke yake bila vifaa vingine vya ukaguzi?

Ungeongezea na weledi wa wakaguzi hasa elimu yao.

Kama wana hata degree na kwenye fani zipi, itapendeza zaidi kufahamu.

Siyo wasanii tu hawa wanaokagua matairi na rangi hawa?
 
Imekaa poa....itapendeza kuona zoezi hili linakua endelevu na lifanyike walau mara mbili kwa mwezi.
 
safi sana! usalama wa wananchi kwanza!

labda kama kuna lingine linaendelea... wenyekujua zaidi watatujuza!
 
Ungeongezea na weledi wa wakaguzi hasa elimu yao.

Kama wana hata degree na kwenye fani zipi, itapendeza zaidi kufahamu.

Siyo wasanii tu hawa wanaokagua matairi na rangi hawa?
Mbona kwenye garage nyingi tu tunapeleka kutengenezewa magari yetu mafundi hawana degree mkuu na gari zinapona mkuu?
 
Inatafutwa rushwa, talatibu tumeanza kujongea kule tulipokuwa.
 
Mbona kwenye garage nyingi tu tunapeleka kutengenezewa magari yetu mafundi hawana degree mkuu na gari zinapona mkuu?

Magari ya leo siyo yale yenu ya nyundo.

Au ndiyo nyie mnaopona corona kwa nyungu?

Kama nyungu ni dili mbona haiwasaidii nazo India?

Ukaguzi wa magari by mburula? Si waseme tu ni kutengeneza mchongo wa rushwa?
 
Hatua nzuri na ya kupongezwa,ila isitengeneze mazingura ya rushwa huko mbele.
 
Kabla ya kuwabeza labda tujue machache...

Kwani walikagua vitu gani haswa?
Na wamefanya ukaguzi kwa masaa mangapi?
Na wakaguzi walikua wangapi?
Walitumia macho peke yake bila vifaa vingine vya ukaguzi?
Mimi ndiyo ningekuwa Vehicle inspector
Wa kukagua magari nakuapia 85%
Ya magari ya usafishaji yangepaki haki yangu magari mengi Ni mabovu sana
 
Back
Top Bottom