Mimi ndiyo ningekuwa Vehicle inspector
Wa kukagua magari nakuapia 85%
Ya magari ya usafishaji yangepaki haki yangu magari mengi Ni mabovu sana
Naongea hivi nikiwa dereva mkongwe zaidi ya miaka 30 magari mengi Ni mabovu sanaOngea wewe Kingsharon92 sisi tukiongea tunaitwa wahujumu
Ila nimekapenda hako kautaratibu na nna uhakika saa hizi magari ya kesho yako garage
Mlandizi wapi mbali hivyo mkuu.Princess Muro wakati huo mkitoka Ubungo mnafika Mbezi tairi imepata pancha[emoji3]Wazuie na gari chakavu za Dar Moro! Nimepanda basi la BM Coach likazimwa maeneo ya mlandizi kuwashwa mpaka tukashuka kusukuma! Starter mbovu!
Mwaka 2020 kutembea na gari starter mbovu ni msiba
Bwashee mengi yamekodishwa kuwaleta Makada Dodoma, au ww wamekuacha nn?Mabasi yapo ya kumwaga bwashee!
Kabla ya kuwabeza labda tujue machache...
Kwani walikagua vitu gani haswa?
Na wamefanya ukaguzi kwa masaa mangapi?
Na wakaguzi walikua wangapi?
Walitumia macho peke yake bila vifaa vingine vya ukaguzi?
Hayo mabasi 35 hayana mwenyewe? Yataje majina na kampuni zaoMkuu wa Usalama Barabarani Kituo cha Mabasi cha Magufuli, Ibrahim Samwix ameyazuia mabasi 35 kuendelea na safari kutokana na ubovu mbalimbali aliogundua kwenye magari hayo kabla ya safari
Magari hayo hayataruhusiwa hadi yataka tengenezwa kwa kuwa yalikuwa yanahatarisha maisha ya wasafiri
Wito umetolewa kwa wenye magari kuyakagua na kuyatengeneza magari yao mara kwa mara ili kuepuka usumbufu
View attachment 1767667
Hahahah hawa wajinga gari nzuri wameweka ruti za Arusha, Dom, Mbeya na Mwanza 😂😂😂 huku kwengine wanatuwekea mi ngara ngara tu!Mlandizi wapi mbali hivyo mkuu.Princess Muro wakati huo mkitoka Ubungo mnafika Mbezi tairi imepata pancha[emoji3]
Hivi hii stand hapakua na jina lingine mpaka iitwe jina kama hili?Mkuu wa Usalama Barabarani Kituo cha Mabasi cha Magufuli, Ibrahim Samwix ameyazuia mabasi 35 kuendelea na safari kutokana na ubovu mbalimbali aliogundua kwenye magari hayo kabla ya safari
Magari hayo hayataruhusiwa hadi yataka tengenezwa kwa kuwa yalikuwa yanahatarisha maisha ya wasafiri
Wito umetolewa kwa wenye magari kuyakagua na kuyatengeneza magari yao mara kwa mara ili kuepuka usumbufu
View attachment 1767667
Soma hio tarifa, sikuwabeza nimesema kile ninachokijua! Magari yanatakiwa kukaguliwa na kuna ukaguaji wake! Narudia magari 35 ni mengi sana kukaguliwa kwa muda huo kama anavyoonekana kwenye picha.
Labda hauko TZ wewe mbona garage zote mafundi ni wazuri tu na hawana degree mkuu?? Ila uelewa wao ni mzuri tu gari zote za kisasa wanatengeneza? Tena za kisasa ni rahisi sana kutengeneza you just check problem through computer program.Magari ya leo siyo yale yenu ya nyundo.
Au ndiyo nyie mnaopona corona kwa nyungu?
Kama nyungu ni dili mbona haiwasaidii nazo India?
Ukaguzi wa magari by mburula? Si waseme tu ni kutengeneza mchongo wa rushwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Basi linaitwa Shambalai, kama limeponyoka labda kama leo halikua ubungo, lile likipita ni kama kichanja kinatembea...
Shunie bishaaaa....?????
Umekaa unashangaa kitu kinakugonga miguuni, ukiangalia kumbe kuna kuna aliyebeba kuku huko ametaga.
Labda hauko TZ wewe mbona garage zote mafundi ni wazuri tu na hawana degree mkuu?? Ila uelewa wao ni mzuri tu gari zote za kisasa wanatengeneza? Tena za kisasa ni rahisi sana kutengeneza you just check problem through computer program.
Huu msamiati kwa sasa tushauzika tafadhariWanyonge wanaanza kunyanyasika