Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Taarifa za Kamanda Muliro sasa zimeenda shule.Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.
MULIRO J.MULIRO- ACP
KAMANDA WA POLISI,
KANDA MAALUM,
Ameacha kutumia msemo wa kijinga wa “wivu wa mapenzi” kama chanzo cha tatizo na badala yake kaongelea “mgogoro wa kimapenzi.”