Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

Kuchezea hisia za mtu huwa ni hatari Mimi simshangai neema kupenda ni kubaya Sana aisee hasa ukitendwa navunaye mpenda unaweza tenda kitu kibaya Sana, Mimi nikishaona hamna maelewano full udaganyifu kuliko nije nifanye kitu mbaya tuachane tu mazima na sirudii nyuma, ndio maana Bora kuwa na mtu wa hamu ikiisha pita na njia zako. Mimi silaumu anayeua kisa mapenzi. Love is a serious mental problem
Aliesema love is a situation between two fools 😂 nafikiri yupo sahihi!
 
Si kama yule wa magunia ya mkaa tu alivyojeruhiwa akaamua kumchoma Mke...

Ila tofauti ya hawa Wawili Yule wa Mkaa alitumia mbinu zote asijulikane.. Huyu Mwanamke kaamua kufanya wazi...

Ndipo unaweza kuelewa sasa Mwanamke akijeruhiwa inakuwaje...
Huwa mwanamke akifikia point hii hajali asee...

Huko gerezani ndo sense zitamrudia, kilio cha kusaga meno
 
Asee ni ukatili wa kutisha[emoji22]

Na k alimpa usiku haahaahaa ila wanawake bana!

Haya ndo malipo ya usaliti[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliochakata vizuri.. Baadaye akapewa anachostahili..
 
Na wewe ungemuua kweli, huwa niko makini sana na hasira zako [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] nilitamani tu Tena na utoto ule ningekuwa neema Sasa hivi ila nilivokuwa nikasema kila mtu afanye atakacho no attachments at all.ukiona mkeo anakufumania ana kuvumilia be careful my friend wanawake sisi ni hatari mno
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliochakata vizuri.. Baadaye akapewa anachostahili..
Hakyanani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kachakata halafu kafanywa mshkaki! Nawaogopa wanawake kuanzia saa hii, hapa nilipo...
 
Wanaume hawafadhiliki, mwanaume hapewi hela, mwanaume anapewa k na kuombwa hela....hata uwe na milioni na ye ana elfu kumi omba hela, tena legeza jicho beba elfu kumi yote.
Hahaha asante studio. Tumekoma ndugu. Tumejifunzaa. Ila wanatoaga kwa wanaowapenda tu. Kwa wale wanaowatumia ndo huwa wanataka kuchuna tu. Dawa ni hakuna kutoa
 
Aiseeee... huwa watu wanawezaje kuwachukulia wenzao for granted?

Seems huyu neema alivumilia mengi sana ikajenga hasira kali ndani yake. Ila kuuana miye hataa[emoji23][emoji23] kitimoto ya white house na kwa urassa zilivyo tamu kwakweli hapana. Ila zungu was so stuppid. Hafadhiliki aisee.
Huyu mwanaume ni mpumbavu wa mwisho sijapata ona[emoji848][emoji134]

Sasa alitegemea nini baada ya hapa? Happily Marriage na huyo mwanamke mwingine[emoji849][emoji849][emoji134]
 
Hakyanani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kachakata halafu kafanywa mshkaki! Nawaogopa wanawake kuanzia saa hii, hapa nilipo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa sijui alivyomaliza.. Alilala moto ukamkutia usingizini.. sijui[emoji23]
 
Nanyi hamsikii, utaoaje mchaga? Yale Ni mauaji makatili linapokuja suala la pesa. Na Wala so mapenzi, wachaga hawana mapenzi, Ni pesa
Ndio maana watu wanasema hata chadema chama cha kichaga ssio cha kukabidhi nchi. Kituwakabidhi nchi hii nchi haitafika mbali.

Wachaga sio watu.
 
Back
Top Bottom