miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kamkatili sana mwenzake. Kuna other thread nimeona eti ana mke na watoto wawili. Nazidi kupagawa. Yaan uts lijely neema was mchepuko. Kwann zungu ale vya meenzie kama alikua na maisha mengine?There you are darling [emoji122][emoji122]
Ina maana huyo marioo alikuwa anaishi kwenye nyumba ya akina neema? Mbona hili jamaa hili ni sengee hivo yaan ni kitonga PROMAX[emoji849][emoji849][emoji134]
Halafu lilivyo lifala eti lina mwanamke mwingine na mtoto na gharama hapo ni juu ya Neema na Neema akajua![emoji849]
Huyu katafuta kifo mwenyewe
Deeboyfrexh