Taarifa za Kamanda Muliro sasa zimeenda shule.Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kimapenzi.
MULIRO J.MULIRO- ACP
KAMANDA WA POLISI,
KANDA MAALUM,
At 25 tayari mwanamke anawaza kusettle na kuwa na familia, kwa wanaume hapo ndo kwanza anawaza kuruka ruka, angalau me wakigonga 30 akili inawaza kutulia.hii ni tafiti au umefikiria tu, au what is maturity kwa upande wako ?
Waogope Kaskazini wote..Nianze kuwaogopa wachaga au niaje![emoji23][emoji23], hapana aisee...ngoja kwanza!
Watu waepuka kuumiza wenzi wao kihisia hadharani ni hatari hafu wanaume hufanya bila kujali, huyu neema kachoma hadharani ila believe wanaume wengi huuliwa kwa sumu taratibu ndio maana watu hushangaa nyumba nyingi zina wajane kumbe mauaji ya kimya kimya
Hakuna cha strong women wala nini, mtu akishakuwa insane ni uncontrollable tu haijalishi ni strong ama vipi.Weak men cany handle strong women
Ninaomba kupinga a na hii dhana ya mwanamke wa Machame. Ogopa kabisa mwanamke asiye ongeaWachaga wa Machame wamefanya tukio tena. Rip mwana tulimshauri sana juu ya wanawake wa kichaga akakaiidi. Ona sasa.
Eti kaskazini yote[emoji23][emoji23][emoji23]. Unamkoleza mtu utam halafu unacheza na hisia zake!Waogope Kaskazini wote..
Kuna siku watakufanya kitu mbaya[emoji3]
Inauma sana. Tunakutana sana na such situations ktk maisha. Mtu anaangalia wapi atatobolea maisha. Hajali hisia za mwenzake. Watu wameyabeba maumivu sana mioyoni mwao. Neema naamini atahojiwa vyema na naamini atakua na kifungo cha muda. Nadhani akaelezea yaliyomo ndani kila mtu atashangaa ndo maana sutaki kbs mhukumu. Yaan naaminj ana ukatili ameupitia akauvumikia kwa muda sana. Sitaki kns kumwona ni mbaya ila kwa mm maamuzi ya kuuana sitaki. Kusumbuana polisi huko hapana aiseeHuyu mwanaume ni mpumbavu wa mwisho sijapata ona[emoji848][emoji134]
Sasa alitegemea nini baada ya hapa? Happily Marriage na huyo mwanamke mwingine[emoji849][emoji849][emoji134]
Malizia story mkuu..Mwanamke ukiachana nae achana nae kabsa mazima, maswala ya kurudi rudi matokeo yake ndo haya.
Mimi nishakoma kuna demu Tuliachana lakini mwisho wa siku akaanza kunibembeleza ooh nimekumisi naomba tukutane jamani. Na mimi karoho kakameza mate[emoji16] nilichokutana nacho huko Logde mwanamke akaficha funguo akadai nimlipe pesa kufidia muda aliopoteza kipindi tukiwa katika mahusiano. Dah
Mko wengi sana. Wenzenu wanafanya kwa upendo nyie munawatumia. Yawezekana kns wajiona mjanja lakini usoni pa Mungu unalo la kujibu aisee. Ni mbaya sana. Halipitagi bure hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hapa nimejifunza yule aliyekuwa ananipa hela na mbususu ananipa ngoja nimuache maana hata sim feel kabisa
Isome hii comment ya cariha vizuri ina madini ya kutosha, hii siri sikutaka kuisema ila huyu cariha kaitaja hapaAliesema love is a situation between two fools [emoji23] nafikiri yupo sahihi!
Wao wenyewe wanakutaka kwani sasaNianze kuwaogopa wachaga au niaje![emoji23][emoji23], hapana aisee...ngoja kwanza!
Aisee pole sanaMwanamke ukiachana nae achana nae kabsa mazima, maswala ya kurudi rudi matokeo yake ndo haya.
Mimi nishakoma kuna demu Tuliachana lakini mwisho wa siku akaanza kunibembeleza ooh nimekumisi naomba tukutane jamani. Na mimi karoho kakameza mate[emoji16] nilichokutana nacho huko Logde mwanamke akaficha funguo akadai nimlipe pesa kufidia muda aliopoteza kipindi tukiwa katika mahusiano. Dah
Haahaahaa...akaagwa na utamu wa mbususu badae ikageuka kuwa Petrol[emoji22][emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliochakata vizuri.. Baadaye akapewa anachostahili..
Hakuna mahali nimesema wananitaka, mimi ndio nimesema "niwaogope au niaje?", Don't take every bit seriously madam!Wao wenyewe wanakutaka kwani sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anagongwa nje na mimba juu, tena anakuoneshea kabisa kwamba hiyo mimba sio yako!Huyo ndo mwanamke akizidiwa sasa...
Mpaka kuona kafikia hatua hii ujue huyo jamaa alimfanyia vitu visivyoelezeka[emoji848]kiasi kwamba mwanaume hawezi kuvumilia!
Sasa hiyo ya kuua kikatili ni moja, kisasi kingine kibaya zaidi ya hiki huwa wanakifanya na wanaume hata hawajastukia[emoji849][emoji848] BAK unakumbuka ile mada ya visasi tuliizungumzia kwa uzi wa "I missed my wife" ni just mchana wa jana tulikuwa tukiongelea haya we ukaleta blah blah za sijui kisasi cha mwanamke ni kugongwa nje ovyo ovyo, of course atafanya hiyo, lkn bado moyo wake unakuwa haujaridhika! Mojawapo ya visasi vikubwa na vya kikatili ni kama hilo la petrol na kuna lingine tena kuubwa baba lao [emoji16][emoji16]
BAK
Duuuh shost unafichua mengi humu[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23] nilitamani tu Tena na utoto ule ningekuwa neema Sasa hivi ila nilivokuwa nikasema kila mtu afanye atakacho no attachments at all.ukiona mkeo anakufumania ana kuvumilia be careful my friend wanawake sisi ni hatari mno
Sasa jichanganye hata kwa mzaramo ndo utaelewa ukishakua mkavu kama kuti saa hiyo. Munapenda wanawake wanyonge muwaonee na kuwanyanyasa. Wengine makwao wamelelewa kwa upendo, confidence. Kujiamini na kujua haki zao. Akakutane na wewe kirambasi unamnyanyasa akuvumilie tu awe submissive siyo? Umpige akuangalie tu, umtukane akae kimya tu. Jichanganye ndk utaelewaHakuna cha strong women wala nini, mtu akishakuwa insane ni uncontrollable tu haijalishi ni strong ama vipi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakyanani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kachakata halafu kafanywa mshkaki! Nawaogopa wanawake kuanzia saa hii, hapa nilipo...